KERO Mafuta ya Petroli kuuzwa kwenye madumu kisha kusafirishwa katika magari ya Abiria sio salama, EWURA -Dodoma mpo?

KERO Mafuta ya Petroli kuuzwa kwenye madumu kisha kusafirishwa katika magari ya Abiria sio salama, EWURA -Dodoma mpo?

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Mzee wa Code

Member
Joined
Sep 23, 2024
Posts
61
Reaction score
91
EWURA hii tabia ya wamiliki wa vituo vya mafuta kuuza nishati ya mafuta ya Petrol na Dizel kwenye madumu mtaikomesha lini huyu? Huyu kwenye picha ni mmoja kati ya Wananchi wanaonunua mafuta kwenye madumu katika Vituo vya Mafuta.

Watu kama hawa wanafanya manunuzi ya nishati hii katika Kituo cha Mafuta cha Puma hapa Dodoma Bahiroad, hatari zaidi amebeba mtoto mgongoni na mbaya zaidi amesafirisha mafuta haya kwa Pikipiki, na dereva Boda mwenyewe hajavaa kofia ngumu.

Jeshi la polisi kuna wakati linakuwa bize na dada poa na kuzuia maandamano lakini mambo kama haya awayaoni wala hawana muda wa kuzuia.

Safari hiyo ya huyu Dada hapo alielekea maeneo ya Iringa Road Maghorofani ambapo baadaye alifanya safari nyingine kwa kupakia madumu hayo kwenye gari la Abiria linalofanya safari za Iringa - Dodoma.

Akifika huko anakuwa anauza hayo mafuta kwa bei ya rejareja hasa kwa waendesha Bodaboda.

Natoa wito kwa EWURA, hivi mnasubiri siku watu waungue ndio mtoke ofisini kwa mtindo wa zimamoto kwa ajili ya kufanya ukaguzi?

20241021_123736.png

Screenshot 2024-10-22 095025.png

Screenshot 2024-10-22 095158.png

 
Ewura hii tabia ya wamiliki wa vituo vay mafuta kuuza nishati hii kwenye madumu mtaikomesha lini huyu Dada amefanya manunuzi ya nishati hii katika kituo cha mafuta cha Puma Jijini Dodoma Bahiroad hatari zaidi amebeba mtoto mgongoni na mbaya zaidi amesafirisha mafuta haya kwa pikipipi, na mwendesha pikipiki huyu ajavaa kofia ngumu jeshi la polisi wapo busy na madada poa na Kuzuaia maandamano lakini mambo kama haya awayaoni wala hawana muda wa kuzuia

Nilimuhoji Dada huyu mafuta anapeleka wapi akajibu anaenda kijijini maana bodaboda alimshusha katika kituo cha kupakia abaria cha Iringa road maghorofani ambapo baadae alifanya hatari nyingine kwa kupakia madumu aya kwenye gari la Abiria linalofanya safari za Iringa Dodoma la nani kaona, hii Nchi viongozi wanaongoza kwa matukio kwa Ewura mnasubiri siku watu waungue Ndio mtoke ofisini kwa mtindo wa Zima moto kwa ajili ya kufanya ukaguzi Ovyoo kabisa...
UKUDA HUO....ULITAKA ALIBEBE GENERATOR AJE NALO MJINI?
 
We ni mwehu yaan unaacha kutafuta mambo yenye tija upige PICHA mafisadi na MATRAFIKI MAPOLISI wala rushwaunaanika picha za watu tna mdada masikini anaojitafutia RIDHIKI kwa halali kwa shida kuu

Futa hiyo picha unawekaje picha ya mtoto mtandaoni bila kuificha
Hvi unadhani familia yake itajisikiaje ikiona hivi unamuanika mtoto wao mdogo
 
We ni mwehu yaan unaacha kutafuta mambo yenye tija upige PICHA mafisadi na MATRAFIKI MAPOLISI wala rushwaunaanika picha za watu tna mdada masikini anaojitafutia RIDHIKI kwa halali kwa shida kuu

Futa hiyo picha
Hana ushahidi kuwa hayo madumu ni ya mafuta akiburuzwa mahakamani huyo
Mambo mengine ni matatizo ya kujitakia ohh niliona wapi ushahidi kuwa ni mafuta anao? Kama kabeba dumu tupu je? Kinachomthibitishia kuwa hayakuwa madumu matupu,au yalikuwa yana mafuta ya kupikia au ya maji

Aache umbeya a mind his own business ya watu mabarabarani aachane nayo
 
Ewura hii tabia ya wamiliki wa vituo vay mafuta kuuza nishati hii kwenye madumu mtaikomesha lini huyu Dada amefanya manunuzi ya nishati hii katika kituo cha mafuta cha Puma Jijini Dodoma Bahiroad hatari zaidi amebeba mtoto mgongoni na mbaya zaidi amesafirisha mafuta haya kwa pikipipi, na mwendesha pikipiki huyu ajavaa kofia ngumu jeshi la polisi wapo busy na madada poa na Kuzuaia maandamano lakini mambo kama haya awayaoni wala hawana muda wa kuzuia

Nilimuhoji Dada huyu mafuta anapeleka wapi akajibu anaenda kijijini maana bodaboda alimshusha katika kituo cha kupakia abaria cha Iringa road maghorofani ambapo baadae alifanya hatari nyingine kwa kupakia madumu aya kwenye gari la Abiria linalofanya safari za Iringa Dodoma la nani kaona, hii Nchi viongozi wanaongoza kwa matukio kwa Ewura mnasubiri siku watu waungue Ndio mtoke ofisini kwa mtindo wa Zima moto kwa ajili ya kufanya ukaguzi Ovyoo kabisa...
Kwahiyo generator likiisha mafuta tunalihamishia petrol stations?
 
Bro ukiishiwa mafuta mbali na kituo cha mafuta utalikokota gari Hadi kituo cha mafuta au utachukua kidum na kudandia boda kufuata mafuta chap?

Hasara za kuuza mafuta kwenye dum si nying Kama faida zake.

Au wew ndio wamilik wa vituo vya mafuta mnaochezea vipimo Una hofu ya kuumbuka?
 
Ewura hii tabia ya wamiliki wa vituo vay mafuta kuuza nishati hii kwenye madumu mtaikomesha lini huyu Dada amefanya manunuzi ya nishati hii katika kituo cha mafuta cha Puma Jijini Dodoma Bahiroad hatari zaidi amebeba mtoto mgongoni na mbaya zaidi amesafirisha mafuta haya kwa pikipipi, na mwendesha pikipiki huyu ajavaa kofia ngumu jeshi la polisi wapo busy na madada poa na Kuzuaia maandamano lakini mambo kama haya awayaoni wala hawana muda wa kuzuia

Nilimuhoji Dada huyu mafuta anapeleka wapi akajibu anaenda kijijini maana bodaboda alimshusha katika kituo cha kupakia abaria cha Iringa road maghorofani ambapo baadae alifanya hatari nyingine kwa kupakia madumu aya kwenye gari la Abiria linalofanya safari za Iringa Dodoma la nani kaona, hii Nchi viongozi wanaongoza kwa matukio kwa Ewura mnasubiri siku watu waungue Ndio mtoke ofisini kwa mtindo wa Zima moto kwa ajili ya kufanya ukaguzi Ovyoo kabisa...
Una ukuda shazi.
 
Another bullshit.
 

Attachments

  • 20241015_163822.jpg
    20241015_163822.jpg
    121.7 KB · Views: 4
Alafu mleta mada kamcholesha huyo dada


hata kuficha picha kashindwa
Mleta mada hana hata adabu mama watu maisha magumu huku kabeba mtoto,huku kabeba madumu anahangaikia mwanawe halafu hili bwege leta mada linaleta ujinga humu

Ukimwangalia huyo dada alichobeba ni madumu matupu

Dumu moja linakuwa na lita 20 kulibeba tu hata mwanaume kwa mkono ni zito mno.Sembuse kubeba mawili kila mkono dumu moja lita 20 na ukiwa kwenye bodaboda sio rahisi

Mleta mada kambyanyapaa huyo dada wazi kabisa
 
Ha
Mleta mada hana hata adabu mama watu maisha magumu huku kabeba mtoto,huku kabeba madumu anahangaikia mwanawe halafu hili bwege leta mada linaleta ujinga humu

Ukimwangalia huyo dada alichobeba ni madumu matupu

Dumu moja linakuwa na lita 20 kulibeba tu hata mwanaume kwa mkono ni zito mno.Sembuse kubeba mawili kila mkono dumu moja lita 20 na ukiwa kwenye bodaboda sio rahisi

Mleta mada kambyanyapaa huyo dada wazi kabisa
Hakika mkuu
 
Ewura hii tabia ya wamiliki wa vituo vay mafuta kuuza nishati hii kwenye madumu mtaikomesha lini huyu Dada amefanya manunuzi ya nishati hii katika kituo cha mafuta cha Puma Jijini Dodoma Bahiroad hatari zaidi amebeba mtoto mgongoni na mbaya zaidi amesafirisha mafuta haya kwa pikipipi, na mwendesha pikipiki huyu ajavaa kofia ngumu jeshi la polisi wapo busy na madada poa na Kuzuaia maandamano lakini mambo kama haya awayaoni wala hawana muda wa kuzuia

Nilimuhoji Dada huyu mafuta anapeleka wapi akajibu anaenda kijijini maana bodaboda alimshusha katika kituo cha kupakia abaria cha Iringa road maghorofani ambapo baadae alifanya hatari nyingine kwa kupakia madumu aya kwenye gari la Abiria linalofanya safari za Iringa Dodoma la nani kaona, hii Nchi viongozi wanaongoza kwa matukio kwa Ewura mnasubiri siku watu waungue Ndio mtoke ofisini kwa mtindo wa Zima moto kwa ajili ya kufanya ukaguzi Ovyoo kabisa.View attachment 3132068
View attachment 3132069
View attachment 3132070
Ni sehemu ya UTAFUTAJI
 
Ewura hii tabia ya wamiliki wa vituo vay mafuta kuuza nishati hii kwenye madumu mtaikomesha lini huyu Dada amefanya manunuzi ya nishati hii katika kituo cha mafuta cha Puma Jijini Dodoma Bahiroad hatari zaidi amebeba mtoto mgongoni na mbaya zaidi amesafirisha mafuta haya kwa pikipipi, na mwendesha pikipiki huyu ajavaa kofia ngumu jeshi la polisi wapo busy na madada poa na Kuzuaia maandamano lakini mambo kama haya awayaoni wala hawana muda wa kuzuia

Nilimuhoji Dada huyu mafuta anapeleka wapi akajibu anaenda kijijini maana bodaboda alimshusha katika kituo cha kupakia abaria cha Iringa road maghorofani ambapo baadae alifanya hatari nyingine kwa kupakia madumu aya kwenye gari la Abiria linalofanya safari za Iringa Dodoma la nani kaona, hii Nchi viongozi wanaongoza kwa matukio kwa Ewura mnasubiri siku watu waungue Ndio mtoke ofisini kwa mtindo wa Zima moto kwa ajili ya kufanya ukaguzi Ovyoo kabisa.View attachment 3132068
View attachment 3132069
View attachment 3132070
Halafu hilp jina la NANI KAONA ni la Mchizi wangu Ahmed Bisher (Huwel) wa Iringa long time......iko kama nae unamchawia.....mkuu umejawa na fitna sana tena U mchawi mkubwa wee
 
Back
Top Bottom