KERO Mafuta ya Petroli kuuzwa kwenye madumu kisha kusafirishwa katika magari ya Abiria sio salama, EWURA -Dodoma mpo?

KERO Mafuta ya Petroli kuuzwa kwenye madumu kisha kusafirishwa katika magari ya Abiria sio salama, EWURA -Dodoma mpo?

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Wewe si mzee wa code wewe ni mzee mnoko.
 
EWURA hii tabia ya wamiliki wa vituo vya mafuta kuuza nishati ya mafuta ya Petrol na Dizel kwenye madumu mtaikomesha lini huyu? Huyu kwenye picha ni mmoja kati ya Wananchi wanaonunua mafuta kwenye madumu katika Vituo vya Mafuta.

Watu kama hawa wanafanya manunuzi ya nishati hii katika Kituo cha Mafuta cha Puma hapa Dodoma Bahiroad, hatari zaidi amebeba mtoto mgongoni na mbaya zaidi amesafirisha mafuta haya kwa Pikipiki, na dereva Boda mwenyewe hajavaa kofia ngumu.

Jeshi la polisi kuna wakati linakuwa bize na dada poa na kuzuia maandamano lakini mambo kama haya awayaoni wala hawana muda wa kuzuia.

Safari hiyo ya huyu Dada hapo alielekea maeneo ya Iringa Road Maghorofani ambapo baadaye alifanya safari nyingine kwa kupakia madumu hayo kwenye gari la Abiria linalofanya safari za Iringa - Dodoma.

Akifika huko anakuwa anauza hayo mafuta kwa bei ya rejareja hasa kwa waendesha Bodaboda.

Natoa wito kwa EWURA, hivi mnasubiri siku watu waungue ndio mtoke ofisini kwa mtindo wa zimamoto kwa ajili ya kufanya ukaguzi?

Na wewe unatakiwa kukamatwa Mkuu unaruhusije aliekubeba kuovertake mkono wa kushoto?

Tena kwa kuwa unajua sheria unastahili kupewa adhabu inayofaa
 
Na wewe unatakiwa kukamatwa Mkuu unaruhusije aliekubeba kuovertake mkono wa kushoto?

Tena kwa kuwa unajua sheria unastahili kupewa adhabu inayofaa
Ni kweli mleta mada alikuwa kwenye hiyo pikipiki ya nyuma akipiga picha
 
EWURA hii tabia ya wamiliki wa vituo vya mafuta kuuza nishati ya mafuta ya Petrol na Dizel kwenye madumu mtaikomesha lini huyu? Huyu kwenye picha ni mmoja kati ya Wananchi wanaonunua mafuta kwenye madumu katika Vituo vya Mafuta.

Watu kama hawa wanafanya manunuzi ya nishati hii katika Kituo cha Mafuta cha Puma hapa Dodoma Bahiroad, hatari zaidi amebeba mtoto mgongoni na mbaya zaidi amesafirisha mafuta haya kwa Pikipiki, na dereva Boda mwenyewe hajavaa kofia ngumu.

Jeshi la polisi kuna wakati linakuwa bize na dada poa na kuzuia maandamano lakini mambo kama haya awayaoni wala hawana muda wa kuzuia.

Safari hiyo ya huyu Dada hapo alielekea maeneo ya Iringa Road Maghorofani ambapo baadaye alifanya safari nyingine kwa kupakia madumu hayo kwenye gari la Abiria linalofanya safari za Iringa - Dodoma.

Akifika huko anakuwa anauza hayo mafuta kwa bei ya rejareja hasa kwa waendesha Bodaboda.

Natoa wito kwa EWURA, hivi mnasubiri siku watu waungue ndio mtoke ofisini kwa mtindo wa zimamoto kwa ajili ya kufanya ukaguzi?

Unafeli mdau
 
EWURA hii tabia ya wamiliki wa vituo vya mafuta kuuza nishati ya mafuta ya Petrol na Dizel kwenye madumu mtaikomesha lini huyu? Huyu kwenye picha ni mmoja kati ya Wananchi wanaonunua mafuta kwenye madumu katika Vituo vya Mafuta.

Watu kama hawa wanafanya manunuzi ya nishati hii katika Kituo cha Mafuta cha Puma hapa Dodoma Bahiroad, hatari zaidi amebeba mtoto mgongoni na mbaya zaidi amesafirisha mafuta haya kwa Pikipiki, na dereva Boda mwenyewe hajavaa kofia ngumu.

Jeshi la polisi kuna wakati linakuwa bize na dada poa na kuzuia maandamano lakini mambo kama haya awayaoni wala hawana muda wa kuzuia.

Safari hiyo ya huyu Dada hapo alielekea maeneo ya Iringa Road Maghorofani ambapo baadaye alifanya safari nyingine kwa kupakia madumu hayo kwenye gari la Abiria linalofanya safari za Iringa - Dodoma.

Akifika huko anakuwa anauza hayo mafuta kwa bei ya rejareja hasa kwa waendesha Bodaboda.

Natoa wito kwa EWURA, hivi mnasubiri siku watu waungue ndio mtoke ofisini kwa mtindo wa zimamoto kwa ajili ya kufanya ukaguzi?

Kuna tatizo gani hapo je kama ana trekta lake shamba huko na hakuna kituo Cha mafuta afanyaje?, au gari limezima njiani alibebe?, pia hiyo ni ajira ya mtu
 
Kuuza mafuta kwenye vidumu ni hatari kwa usalama wako wako na hatari kwa afya yako. Badala yake jenga kituo kidogo cha gharama nafuu.


EWURA hii tabia ya wamiliki wa vituo vya mafuta kuuza nishati ya mafuta ya Petrol na Dizel kwenye madumu mtaikomesha lini huyu? Huyu kwenye picha ni mmoja kati ya Wananchi wanaonunua mafuta kwenye madumu katika Vituo vya Mafuta.

Watu kama hawa wanafanya manunuzi ya nishati hii katika Kituo cha Mafuta cha Puma hapa Dodoma Bahiroad, hatari zaidi amebeba mtoto mgongoni na mbaya zaidi amesafirisha mafuta haya kwa Pikipiki, na dereva Boda mwenyewe hajavaa kofia ngumu.

Jeshi la polisi kuna wakati linakuwa bize na dada poa na kuzuia maandamano lakini mambo kama haya awayaoni wala hawana muda wa kuzuia.

Safari hiyo ya huyu Dada hapo alielekea maeneo ya Iringa Road Maghorofani ambapo baadaye alifanya safari nyingine kwa kupakia madumu hayo kwenye gari la Abiria linalofanya safari za Iringa - Dodoma.

Akifika huko anakuwa anauza hayo mafuta kwa bei ya rejareja hasa kwa waendesha Bodaboda.

Natoa wito kwa EWURA, hivi mnasubiri siku watu waungue ndio mtoke ofisini kwa mtindo wa zimamoto kwa ajili ya kufanya ukaguzi?

EWURA hii tabia ya wamiliki wa vituo vya mafuta kuuza nishati ya mafuta ya Petrol na Dizel kwenye madumu mtaikomesha lini huyu? Huyu kwenye picha ni mmoja kati ya Wananchi wanaonunua mafuta kwenye madumu katika Vituo vya Mafuta.

Watu kama hawa wanafanya manunuzi ya nishati hii katika Kituo cha Mafuta cha Puma hapa Dodoma Bahiroad, hatari zaidi amebeba mtoto mgongoni na mbaya zaidi amesafirisha mafuta haya kwa Pikipiki, na dereva Boda mwenyewe hajavaa kofia ngumu.

Jeshi la polisi kuna wakati linakuwa bize na dada poa na kuzuia maandamano lakini mambo kama haya awayaoni wala hawana muda wa kuzuia.

Safari hiyo ya huyu Dada hapo alielekea maeneo ya Iringa Road Maghorofani ambapo baadaye alifanya safari nyingine kwa kupakia madumu hayo kwenye gari la Abiria linalofanya safari za Iringa - Dodoma.

Akifika huko anakuwa anauza hayo mafuta kwa bei ya rejareja hasa kwa waendesha Bodaboda.

Natoa wito kwa EWURA, hivi mnasubiri siku watu waungue ndio mtoke ofisini kwa mtindo wa zimamoto kwa ajili ya kufanya ukaguzi?

 
Back
Top Bottom