KERO Mafuta ya Petroli kuuzwa kwenye madumu kisha kusafirishwa katika magari ya Abiria sio salama, EWURA -Dodoma mpo?

KERO Mafuta ya Petroli kuuzwa kwenye madumu kisha kusafirishwa katika magari ya Abiria sio salama, EWURA -Dodoma mpo?

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Uchawi sio mpaka uwe na magunguli hata hili ni uchawi. Huwezi kuuona umuhimu wa wauza mafuta kwenye makopo kama unakaa mjini ambalo kila mita 500 Kuna kituo. Huku bush tunatembea km 40 mpaka 60 ndo unakuta kituo Cha mafuta na Hawa wauzaji wanafanya boda ziishi kwahiyo acha ukuda.
 
Haijalishi ulitaka kufikisha ujumbe gani lakini umekosea sana kuweka hiyo picha ya bidada na mwanae na namba za usajili za pikipiki bila kuzificha, unaona wao wamefanya makosa lakini wewe umefanya makosa zaidi
 
Mods njooni mfute uzi huku au kuondoa picha,tabia mbaya ya kuanika sura za watu,Hata kama dada anachofanya ni hatarishi kwake na kwa wengine(kama amebeba mafuta na sio maji maana wanasheria wa jeiefu wakija hapa wanakupopoa mawe 🤣🤣 )lakini Kama unamjali kweli usingeweka uso wake hata ungeficha na mtoto wake pia.
Moderator
 
Hili suala lina utata sana.
Wauza petrol kwa vichupa ni hatari Sana kwao na watu wanao wazunguka.
Lakini Kuna watumiaji mashine mbalimbali za diesel na petrol ambazo hawawezi kuzibeba kwenda kujazia mafuta petrol filling station.
Utafutwe utaratibu mzuri siyo kuzuia tu kununua kwenye madumu bila vifaa mbadala.
 
Hana ushahidi kuwa hayo madumu ni ya mafuta akiburuzwa mahakamani huyo
Mambo mengine ni matatizo ya kujitakia ohh niliona wapi ushahidi kuwa ni mafuta anao? Kama kabeba dumu tupu je? Kinachomthibitishia kuwa hayakuwa madumu matupu,au yalikuwa yana mafuta ya kupikia au ya maji

Aache umbeya a mind his own business ya watu mabarabarani aachane nayo
Mnasomaga kujibu na kupinga tu eti..... Si amekwambia hapo mpaka kituo Cha mafuta alichonunua!!??..... Na vituo vya mafuta vyote vina camera ...haya mpeleke wewe mahakamani.....
 
Kabla hujaanza kuprovoke mamlaka juu ya kumchukulia hatua mtu fulani basi ni vyema kwanza kujua the reason behind!
 
Bro ukiishiwa mafuta mbali na kituo cha mafuta utalikokota gari Hadi kituo cha mafuta au utachukua kidum na kudandia boda kufuata mafuta chap?

Hasara za kuuza mafuta kwenye dum si nying Kama faida zake.

Au wew ndio wamilik wa vituo vya mafuta mnaochezea vipimo Una hofu ya kuumbuka?
Huyo ana kituo Cha mafuta ni wezi sana.wanaogopa sababu wanajua wakiweka umo utaona hayajafika kwenye kipimo vzr.
 
Ewura hii tabia ya wamiliki wa vituo vay mafuta kuuza nishati hii kwenye madumu mtaikomesha lini huyu Dada amefanya manunuzi ya nishati hii katika kituo cha mafuta cha Puma Jijini Dodoma Bahiroad hatari zaidi amebeba mtoto mgongoni na mbaya zaidi amesafirisha mafuta haya kwa pikipipi, na mwendesha pikipiki huyu ajavaa kofia ngumu jeshi la polisi wapo busy na madada poa na Kuzuaia maandamano lakini mambo kama haya awayaoni wala hawana muda wa kuzuia

Nilimuhoji Dada huyu mafuta anapeleka wapi akajibu anaenda kijijini maana bodaboda alimshusha katika kituo cha kupakia abaria cha Iringa road maghorofani ambapo baadae alifanya hatari nyingine kwa kupakia madumu aya kwenye gari la Abiria linalofanya safari za Iringa Dodoma la nani kaona, hii Nchi viongozi wanaongoza kwa matukio kwa Ewura mnasubiri siku watu waungue Ndio mtoke ofisini kwa mtindo wa Zima moto kwa ajili ya kufanya ukaguzi Ovyoo kabisa.View attachment 3132068
View attachment 3132069
View attachment 3132070
Ni suala linalohitaji muda siyo kukurupuka tu.
 
Ewura hii tabia ya wamiliki wa vituo vay mafuta kuuza nishati hii kwenye madumu mtaikomesha lini huyu Dada amefanya manunuzi ya nishati hii katika kituo cha mafuta cha Puma Jijini Dodoma Bahiroad hatari zaidi amebeba mtoto mgongoni na mbaya zaidi amesafirisha mafuta haya kwa pikipipi, na mwendesha pikipiki huyu ajavaa kofia ngumu jeshi la polisi wapo busy na madada poa na Kuzuaia maandamano lakini mambo kama haya awayaoni wala hawana muda wa kuzuia

Nilimuhoji Dada huyu mafuta anapeleka wapi akajibu anaenda kijijini maana bodaboda alimshusha katika kituo cha kupakia abaria cha Iringa road maghorofani ambapo baadae alifanya hatari nyingine kwa kupakia madumu aya kwenye gari la Abiria linalofanya safari za Iringa Dodoma la nani kaona, hii Nchi viongozi wanaongoza kwa matukio kwa Ewura mnasubiri siku watu waungue Ndio mtoke ofisini kwa mtindo wa Zima moto kwa ajili ya kufanya ukaguzi Ovyoo kabisa.View attachment 3132068
View attachment 3132069
View attachment 3132070
Hayo mahojiano yapo wapi akikuambia kanunua mafuta kituo cha puma?picha akiwa puma filling station? tutaangalie wapi kwenye ayo madumu kujua kama yamebeba mafuta au maji? We unawachafua hao Puma, kingine hata kama nikweli ulitaka abebe jenereta aje nalo hapo kituo cha mafuta?
 
Ewura hii tabia ya wamiliki wa vituo vay mafuta kuuza nishati hii kwenye madumu mtaikomesha lini huyu Dada amefanya manunuzi ya nishati hii katika kituo cha mafuta cha Puma Jijini Dodoma Bahiroad hatari zaidi amebeba mtoto mgongoni na mbaya zaidi amesafirisha mafuta haya kwa pikipipi, na mwendesha pikipiki huyu ajavaa kofia ngumu jeshi la polisi wapo busy na madada poa na Kuzuaia maandamano lakini mambo kama haya awayaoni wala hawana muda wa kuzuia

Nilimuhoji Dada huyu mafuta anapeleka wapi akajibu anaenda kijijini maana bodaboda alimshusha katika kituo cha kupakia abaria cha Iringa road maghorofani ambapo baadae alifanya hatari nyingine kwa kupakia madumu aya kwenye gari la Abiria linalofanya safari za Iringa Dodoma la nani kaona, hii Nchi viongozi wanaongoza kwa matukio kwa Ewura mnasubiri siku watu waungue Ndio mtoke ofisini kwa mtindo wa Zima moto kwa ajili ya kufanya ukaguzi Ovyoo kabisa.View attachment 3132068
View attachment 3132069
View attachment 3132070

Huo mda na nguvu zako ungetumia kujua hicho kijiji na kuwasogezea kituo cha mafuta, ungekua mtu wa maana sana, ila sio hicho ulichofanya.
 
Ewura hii tabia ya wamiliki wa vituo vay mafuta kuuza nishati hii kwenye madumu mtaikomesha lini huyu Dada amefanya manunuzi ya nishati hii katika kituo cha mafuta cha Puma Jijini Dodoma Bahiroad hatari zaidi amebeba mtoto mgongoni na mbaya zaidi amesafirisha mafuta haya kwa pikipipi, na mwendesha pikipiki huyu ajavaa kofia ngumu jeshi la polisi wapo busy na madada poa na Kuzuaia maandamano lakini mambo kama haya awayaoni wala hawana muda wa kuzuia

Nilimuhoji Dada huyu mafuta anapeleka wapi akajibu anaenda kijijini maana bodaboda alimshusha katika kituo cha kupakia abaria cha Iringa road maghorofani ambapo baadae alifanya hatari nyingine kwa kupakia madumu aya kwenye gari la Abiria linalofanya safari za Iringa Dodoma la nani kaona, hii Nchi viongozi wanaongoza kwa matukio kwa Ewura mnasubiri siku watu waungue Ndio mtoke ofisini kwa mtindo wa Zima moto kwa ajili ya kufanya ukaguzi Ovyoo kabisa.View attachment 3132068
View attachment 3132069
View attachment 3132070
We ni fala, kama unalipwa mshahara wa bure hapo ulipo maana muda wa umbeya sijui unautoa wapi mtoto wa kiume.
 
Ukiona hivi ujue mtoa mada hamiliki hata bodaboda..😁😁

Maana ingekuwa anamiliki chombo chochote cha moto kinachotumia mafuta asingeweza kuandika alichoandika sababu angeweka akiba ya maneno kwamba ipo siku angepatwa na dharula ya hiyo nishati sehemu ambayo haina kituo cha mafuta karibu na angeagiza bodaboda akamletee hiyo nishati kwenye dumu kama hivyo kwenye picha ili maisha yaendelee.
 
  • Thanks
Reactions: apk
Hili suala lina utata sana.
Wauza petrol kwa vichupa ni hatari Sana kwao na watu wanao wazunguka.
Lakini Kuna watumiaji mashine mbalimbali za diesel na petrol ambazo hawawezi kuzibeba kwenda kujazia mafuta petrol filling station.
Utafutwe utaratibu mzuri siyo kuzuia tu kununua kwenye madumu bila vifaa mbadala.
Tafuteni jerry can
Ndiyo mtumie

Ova
 
Back
Top Bottom