Kaunara
JF-Expert Member
- Feb 4, 2013
- 249
- 452
Habari za mda huu!
Naenda kwenye mada fupi tu. Nimetaja mafuta hayo sababu common sana kwa wengi wetu. Ila kuna mafuta mengi yapo mtaani ambayo yanaganda.
Na uhakika wa haya mafuta kuwa yanaganda kwa asilimia 100. Na mafuta haya hutengenezwa na alizeti kwa mujibu wa watengenezaji, ila ukweli hamna mafuta ya alizeti yanayoganda. Pia mafuta mengi ya mimea huwa hayagandi.
Mafuta yanayoganda ni ya wanyama ambayo ni hatari sana kwa mlaji. Sasa nauliza hata kama ni wanyama wanapata wapi kiasi kingi hivi? Au ni ya nyangumi? Haya nimawazo yangu ila natamani sana kujua haya mafuta yanatokana na nini?
Naenda kwenye mada fupi tu. Nimetaja mafuta hayo sababu common sana kwa wengi wetu. Ila kuna mafuta mengi yapo mtaani ambayo yanaganda.
Na uhakika wa haya mafuta kuwa yanaganda kwa asilimia 100. Na mafuta haya hutengenezwa na alizeti kwa mujibu wa watengenezaji, ila ukweli hamna mafuta ya alizeti yanayoganda. Pia mafuta mengi ya mimea huwa hayagandi.
Mafuta yanayoganda ni ya wanyama ambayo ni hatari sana kwa mlaji. Sasa nauliza hata kama ni wanyama wanapata wapi kiasi kingi hivi? Au ni ya nyangumi? Haya nimawazo yangu ila natamani sana kujua haya mafuta yanatokana na nini?