Iko hv , mafuta yote tunayotumia hap nchini na dunia kwa ujumla kwa kupikia ukitoa mafuta ya alizeti ,yote yanatokana na mawese (palm fruit).
Japo kuwa Kuna canola oil, soybean oil n.k haya hayatumiki Africa Sana .
Sasa hayo mafuta ya korie yanaganda kwa sababu ifutayo.
1. Cloud point (cp).
Is the temperature at which a liquid begin to form cloudy or wax crystals.
Ni jotoridi ambayo kiminika huanza kuganda.
Mafuta ya mawese ambayo hayachakatwa Wala kusafishwa(CPO), huwa yanapitishwa kweny mashine ambapo huchanganywa na kemikali tofaut tofaut(swez kuztaja zote maelezo yatakuwa marefu) ili kupata mafuta yaliyo Safi (Refined (RBD)palm oil), hvyo Basi katika mashine huwa yana-sort-iwa Ima yawe cp6 au cp10 au cp8, hii Ni kumaanisha yaanze kuganda au kutengeneza cloud katika temperature ipi? Ima 8celcius au 6celcius au 10celcius.
Hvyo kuganda inategemea umehfadh wap na mafuta yako Yana cloud point ngap, Mara nyng Tanzania tunatumia cp10.
2.RBD palm olein au RBD palm oil.
Pia kuganda inategemea mafuta yako yamefkia stage gani ya kusafishwa (refinery) , RBD palm olein haya Ni mafuta ambayo yamesafshwa hayana RBD stearin,hii ndo inasababsha kuganda sababu huwa Ni solid at room temperature, na hutolewa kutoka kweny RBD palm oil kwa fractionation ili ikatumike kutengeneza margarine (samli).
RBD palm oil haya ndo ambayo huganda sababu yanakuwa hayajafanyiwa fractionation , lakn RBD palm olein hagandi kamwe mpka ifkie Ile cp yake.