Sawa kabisa na yameandikwa kabisa kuwa ni mawese. Na yale ya alizeti inaitwa korie sundrop( sunflower )Safi na korie sio alizeti
Ni mawese toka Thailand
Wanaleta toka nje wanakuja kusafisha wanapack
Soma hata package zao hazijaandikwa alizeti
Korie ni mawese., periodHabari za mda huu!
Naenda kwenye mada fupi tu. Nimetaja mafuta hayo sababu common sana kwa wengi wetu. Ila kuna mafuta mengi yapo mtaani ambayo yanaganda.
Na uhakika wa haya mafuta kuwa yanaganda kwa asilimia 100. Na mafuta haya utengenezwa na alizeti kwa mujibu wa watengenezaji, ila ukweli hamna mafuta ya alizeti yanayoganda. Pia mafuta mengi ya mimea huwa hayagandi.
Mafuta yanayoganda ni ya wanyama ambayo ni hatari sana kwa mlaji. Sasa nauliza hata kama ni wanyama wanapata wapi kiasi kingi hivi? Au ni ya nyangumi? Haya nimawazo yangu ila natamani sana kujua haya mafuta yanatokana na nini?
Hawa ni wazembeTMDA
Kwa hiyo ukawagawia wengine ili wafe au sio, kwa nini hukuya-dispose tu??nilinunua hayo mafuta wanadai n alizeti ahsee nimekaa nayo kama mwez ivi nakuta kweny kidum yameganda yote kama baraf vile
Nikaon nigawe tu Maan duh hata kuyamimina kutok kweny dumu n kazi yan mpka uyaanike ahse!
Ni hivi kiwanda cha kuzalisha korie kinaitwa murzah nadhaniSawa kabisa na yameandikwa kabisa kuwa ni mawese. Na yale ya alizeti inaitwa korie sundrop( sunflower )
Kwahiyo palm ni alizeti!Habari za mda huu!
Naenda kwenye mada fupi tu. Nimetaja mafuta hayo sababu common sana kwa wengi wetu. Ila kuna mafuta mengi yapo mtaani ambayo yanaganda.
Na uhakika wa haya mafuta kuwa yanaganda kwa asilimia 100. Na mafuta haya hutengenezwa na alizeti kwa mujibu wa watengenezaji, ila ukweli hamna mafuta ya alizeti yanayoganda. Pia mafuta mengi ya mimea huwa hayagandi.
Mafuta yanayoganda ni ya wanyama ambayo ni hatari sana kwa mlaji. Sasa nauliza hata kama ni wanyama wanapata wapi kiasi kingi hivi? Au ni ya nyangumi? Haya nimawazo yangu ila natamani sana kujua haya mafuta yanatokana na nini?
Kwanza si mara ya kwanza kuona haya mafuta yaliyoganda kwa watu wengin ila Kwang ndio ilikuw mara ya kwanza kukutana nayo mimi kama mm so sikujua athari zake na pia sikuyapenda tok yaanze kukanda.Kwa hiyo ukawagawia wengine ili wafe au sio, kwa nini hukuya-dispose tu??
mafuta ya kondoo wa mturukiHabari za mda huu!
Naenda kwenye mada fupi tu. Nimetaja mafuta hayo sababu common sana kwa wengi wetu. Ila kuna mafuta mengi yapo mtaani ambayo yanaganda.
Na uhakika wa haya mafuta kuwa yanaganda kwa asilimia 100. Na mafuta haya hutengenezwa na alizeti kwa mujibu wa watengenezaji, ila ukweli hamna mafuta ya alizeti yanayoganda. Pia mafuta mengi ya mimea huwa hayagandi.
Mafuta yanayoganda ni ya wanyama ambayo ni hatari sana kwa mlaji. Sasa nauliza hata kama ni wanyama wanapata wapi kiasi kingi hivi? Au ni ya nyangumi? Haya nimawazo yangu ila natamani sana kujua haya mafuta yanatokana na nini?
halafu wavaa kobaz wanapenda hiyo kituYasijekuwa Mafuta Ya Mkuu Wa MEZA
Serikali gani? Serikali hii chovu isiyoweza hata kuendesha bandari ndiyo itaweza kulima? Wananchi nao ni wavivu wamebaki kukata viuno tu.Serikali ifanye mchakato wa kuzalisha mafuta hapa hapa nchini haya mambo ya kuagiza mafuta ya kupikia wakati tuna alizeti na mawese ya kutosha ni miyeyusho matokeo yake binti mdogo anaonekana kama mshangazi.
Ukiona mafuta ya kiwandani yanaganda then jua wametengeneza kwa kutumia artificial materials kupata product.Habari za mda huu!
Naenda kwenye mada fupi tu. Nimetaja mafuta hayo sababu common sana kwa wengi wetu. Ila kuna mafuta mengi yapo mtaani ambayo yanaganda.
Na uhakika wa haya mafuta kuwa yanaganda kwa asilimia 100. Na mafuta haya hutengenezwa na alizeti kwa mujibu wa watengenezaji, ila ukweli hamna mafuta ya alizeti yanayoganda. Pia mafuta mengi ya mimea huwa hayagandi.
Mafuta yanayoganda ni ya wanyama ambayo ni hatari sana kwa mlaji. Sasa nauliza hata kama ni wanyama wanapata wapi kiasi kingi hivi? Au ni ya nyangumi? Haya nimawazo yangu ila natamani sana kujua haya mafuta yanatokana na nini?
kakudanganya nani mafuta ya wanyama ndio hatari?mafuta hatari kwa afya yako ni hayo mafuta ya mbegu yakiwemo ya alizeti ukiona unakula nyama inakudhuru sio kwa sababu ya yale mafuta ya kwenye nyma bali ni yale mafuta unayoyapaka kwenye nyama wakati unachoma lakini nyama ukichoma kwa mafuta yake hayana madhara yoyote.Habari za mda huu!
Naenda kwenye mada fupi tu. Nimetaja mafuta hayo sababu common sana kwa wengi wetu. Ila kuna mafuta mengi yapo mtaani ambayo yanaganda.
Na uhakika wa haya mafuta kuwa yanaganda kwa asilimia 100. Na mafuta haya hutengenezwa na alizeti kwa mujibu wa watengenezaji, ila ukweli hamna mafuta ya alizeti yanayoganda. Pia mafuta mengi ya mimea huwa hayagandi.
Mafuta yanayoganda ni ya wanyama ambayo ni hatari sana kwa mlaji. Sasa nauliza hata kama ni wanyama wanapata wapi kiasi kingi hivi? Au ni ya nyangumi? Haya nimawazo yangu ila natamani sana kujua haya mafuta yanatokana na nini?
Elimu ya Afya imepinduka kabisa. Wengine leo wanasema Nafaka ndiyo mbaya kuliko nyama, tafiti nazo zinadi seed oils ni mbaya afadhali mafuta ya wanyama. Lakini wamasai ni ushahidi hai.kakudanganya nani mafuta ya wanyama ndio hatari?mafuta hatari kwa afya yako ni hayo mafuta ya mbegu yakiwemo ya alizeti ukiona unakula nyama inakudhuru sio kwa sababu ya yale mafuta ya kwenye nyma bali ni yale mafuta unayoyapaka kwenye nyama wakati unachoma lakini nyama ukichoma kwa mafuta yake hayana madhara yoyote.
Watu wanakula nyama tu maisha yao yote na wanaishi miaka 100 leo ukatuambie mafuta ya wanyama hatari wanatangaza biashara zao tu.Elimu ya Afya imepinduka kabisa. Wengine leo wanasema Nafaka ndiyo mbaya kuliko nyama, tafiti nazo zinadi seed oils ni mbaya afadhali mafuta ya wanyama. Lakini wamasai ni ushahidi hai.
yaani watu wengi wamekaririshwa hv, sijui mjinga gani alileta hii nadhariakakudanganya nani mafuta ya wanyama ndio hatari?mafuta hatari kwa afya yako ni hayo mafuta ya mbegu yakiwemo ya alizeti ukiona unakula nyama inakudhuru sio kwa sababu ya yale mafuta ya kwenye nyma bali ni yale mafuta unayoyapaka kwenye nyama wakati unachoma lakini nyama ukichoma kwa mafuta yake hayana madhara yoyote.