Mafuta ya Safi na Korie yanatokana na Alizeti gani inayoganda?

Biashara za watu hzo wanatukataza kutumia health foods hili watuuzie madawa tukiugua watawapata wasiotafuta maarifa
 
Serikali gani? Serikali hii chovu isiyoweza hata kuendesha bandari ndiyo itaweza kulima? Wananchi nao ni wavivu wamebaki kukata viuno tu.
mwananchi unamuonea tu ww jembe la mkono atalima nini?akilima sana ekari 2
 
Korie ni mafuta ya zamani sana kama Tanbond ya miaka ya 1970s huko...Korie yalikuwa yanawekwa kwende Debe.
 
mwananchi unamuonea tu ww jembe la mkono atalima nini?akilima sana ekari 2
Uvivu wa mwananchi ni uzembe wake kwenye kuisimamia serikali. Tuna chuo kikuu cha kilimo, wangeweza kabisa kuwa na idara yenye mashamba ya kuzalisha mafuta ya kula ya kuitosheleza Tanzania yote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…