Mkoroshokigoli
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 14,593
- 5,581
ipo kazi hapa na hio papuchi isipoota mmea wa ubuyu
teh teh teh uwiiiiiiiiiiiiiii ile ya kuzama sio?
Ahahaha Maumbile hayaruhusu nitafute hiyo uliyo andika teh teh teh
ha hahaha uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii baba mchanga mama mkinga!!!
naona sasa dada Suzane unacheka kilema changu!
Sikupenda niwe hivi na wala sikuomba so usininyanyapae,ni kilema hiki jamani kama vilema vingine!Ahahaha
Yanapatikana wapi hapa Dar?
Shikamooni,
Kama wewe ni mwanamke jaribu kununua mafuta ya ubuyu uwe unayanywa na kuyapaka. Dozi : 1) Kunywa vijiko viwili vya chakula mara mbili kwa siku (nusu saa kabla au baada ya kula chochote (usiyachemshe pls) (2) yapake kwenye papuchi kila siku afta kuoga (panga mengi). Itasaidia kuzidisha hamu ya tendo la ndoa na kuongeza joto plus mnato kunako.
Note: Hakikisha ni yenyewe kutoka kiwandani sio yale yalochakachuliwa.
Tumia baada ya mwezi alafu ulete majibu kuprove ukweli wa hili.
Samahani kama hii post imekukwaza.
SHUKURANI: Nawashukuru sana wale wote mliofika PM kuulizia kuhusu upatikanaji na matumizi ya mafuta haya. Usisite kuuliza ili upate msaada zaidi. Hata wale wanaojifanya kupotezea ila kimoyomoyo wameyakubali na wameshaanza kuyatumia nawatakia kila la heri na mafanikio katika mchakato huu wa kuunga Papuchi a.k.a punani zenu.
Hii thread imesababisha upungufu wa ghafla wa haya mafuta ya Ubuyu huku Arusha, imekuwa gumzo wakina dada wameya changamkia yote. Kwa kifupi hayapo tena nimeyatafuta kwa ajili ya kunisaidia kupunguza BP nimeeambiwa hadi wiki ijayo yataletwa toka Dodoma.
Haya afuta ya Ubuyu yanakuwa na brand name ipi?. Naomba jibu tafadhali.
Najiandaa kuwa supplier mkuu wa mafuta haya DSM na ARUSHA.....naomba uniunge mkono babu masanilo
Utaokoa ndoa nyingi sana! Ila cha muhimu hakikisha hayachakachuliwi, Kuna washenzi wanachanganya na mafuta ya alizeti sisi wagonjwa wa BP tukitumia tunaharisha. Nakuunga mkono sana tu..
nitayapata wapi hayo mafuta ya ubuyu au kwenye maduka tu yapo
Nitayafwata kiwandani mwenyewe......najua wapi nitayapata dodoma...ila yanaadimika kwani wanasema mbegu za ubuyu hazina mafuta mengi na hivyo huchukua muda sana wakati wa ukamuaji hadi kufikia kiwango kinachotakiwa....
Pls niandalie wateja kabisa wewe utakuwa unapata bure