MAFUTA YA UBUYU KWA WADADA: Kwa kuboresha tendo

Me nauza haya mafuta lita 1 ni elfu 35
kwa waliopo dar tuwasiliane kwa namba 0713890628 kuna wadau kadhaa hapa JF nimewauzia na sijapata malalamiko kama hayana ubora,yanatengenezwa dodoma,ukihitaj nakuletea hadi hapo ulipo,kwa WATU WA DAR
PIA KWA WALE WA DODOMA NAMBA 0756251187-NDOSA
 
Nataka nionje kwanza ya kwako ili nione kama uliyoeleza hapo juu yana ukweli wowote.
 
ha hahaha uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii baba mchanga mama mkinga!!!

naona sasa dada Suzane unacheka kilema changu!
Sikupenda niwe hivi na wala sikuomba so usininyanyapae,ni kilema hiki jamani kama vilema vingine!Ahahaha
 
naona sasa dada Suzane unacheka kilema changu!
Sikupenda niwe hivi na wala sikuomba so usininyanyapae,ni kilema hiki jamani kama vilema vingine!Ahahaha

jamani mbona unaniwazia mambo mabaya?
 
Mrembo by Nature unaoonekana mkali wa tafiti ile ile, nishauri nitumie dawa gani ili kupunguza nguvu za kiume mak nahisi ni nyingi sana kwani, nikiingia kwenye game hadi niende mara 12 kufika asubuhi, nahisi nakuwa nachosha sana!
 
Haya afuta ya Ubuyu yanakuwa na brand name ipi?. Naomba jibu tafadhali.
 


Hii thread imesababisha upungufu wa ghafla wa haya mafuta ya Ubuyu huku Arusha, imekuwa gumzo wakina dada wameya changamkia yote. Kwa kifupi hayapo tena nimeyatafuta kwa ajili ya kunisaidia kupunguza BP nimeeambiwa hadi wiki ijayo yataletwa toka Dodoma.
 

Najiandaa kuwa supplier mkuu wa mafuta haya DSM na ARUSHA.....naomba uniunge mkono babu masanilo
 
Najiandaa kuwa supplier mkuu wa mafuta haya DSM na ARUSHA.....naomba uniunge mkono babu masanilo


Utaokoa ndoa nyingi sana! Ila cha muhimu hakikisha hayachakachuliwi, Kuna washenzi wanachanganya na mafuta ya alizeti sisi wagonjwa wa BP tukitumia tunaharisha. Nakuunga mkono sana tu..
 
Utaokoa ndoa nyingi sana! Ila cha muhimu hakikisha hayachakachuliwi, Kuna washenzi wanachanganya na mafuta ya alizeti sisi wagonjwa wa BP tukitumia tunaharisha. Nakuunga mkono sana tu..

Nitayafwata kiwandani mwenyewe......najua wapi nitayapata dodoma...ila yanaadimika kwani wanasema mbegu za ubuyu hazina mafuta mengi na hivyo huchukua muda sana wakati wa ukamuaji hadi kufikia kiwango kinachotakiwa....

Pls niandalie wateja kabisa wewe utakuwa unapata bure
 


Usikonde kabisa utakimbia wateja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…