MAFUTA YA UBUYU KWA WADADA: Kwa kuboresha tendo

MAFUTA YA UBUYU KWA WADADA: Kwa kuboresha tendo

Hakuna kikupatacho zaidi ya kufubaa ngozi na kupungua joto kunako (ila huchukua muda sana) hasa kwa wale wanaopaka mwilini na kunywa

hayo mafuta nnayo ndani lita nzima babaBeata aliyanunua anywe akajiskia kutapika baada ya kunywa kijiko ki1 tu nikawa nimeyaweka kama makumbusho, sasa yamepata kazi hahahaa
 
hayo mafuta nnayo ndani lita nzima babaBeata aliyanunua anywe akajiskia kutapika baada ya kunywa kijiko ki1 tu nikawa nimeyaweka kama makumbusho, sasa yamepata kazi hahahaa

Kuyanywa inataka moyo hasa la sivyo urembo utatushinda hahahahahaha
 
Mmmmmmh !
Nimecheka mpaka basi aiseee...! Nimesoma comments zooote 105 yaani watu humu wakileta mada kama hizi wanakuwa kama wehuuu flani hivi...
 
Hahahahahahaha mbona lotion unapaka daily???? mwali hutaki kuwa mtumwa ila tayari wewe ni mtumwa wa lotion sijui ndio nivea au revlon

Mrembo by Nature lotion haina tatizo bana hata nikiikosa mwezi mzima wala hainipi mawazo, sasa hiyo papuchi leo mume aikute mnato kesho mdebwedo khaaaa si bora ajizoelee tu jaman
 
Last edited by a moderator:
Hahahaha Sante kwa ushauri my dia Mrembo by Nature.....

Ila kiukweli wadada/ wamama kazi tunayo..... Wowowo mchina(feki), uso mkorogo (feki),haya tena papuchi mafuta ya ubuyu (feki) nywele, kope nazo feki uwiiiii yote hii ni nini jamani?

Kazi mnayo kweli, kila kitu feki... ili iweje jamani? Kumridhisha mwanaume? Huyu jamaa haridhiki dada zangu.
 
Last edited by a moderator:
Kazi mnayo kweli, kila kitu feki... ili iweje jamani? Kumridhisha mwanaume? Huyu jamaa haridhiki dada zangu.

Nani kakwambia tunafanya ili aridhike?? kwani mng'ao au afya ya mwili si kwa faida ya mtu mwenyewe???au hata lotion watu wanazopaka pia ni kwa ajili ya watu?? lakini hata ingekuwa kwa ajili ya watu sio ajabu sana kwani hata Mead alisema we do things for others thats why ukiwa room peke yako waweza hata kaa uchi ila ukitoka lazima ujiangalie.....so sio mapya....ukiona vinakukwaza ujue Havikuhusu!!!! au nawe siku hizi una papuchi?????
 
Nani kakwambia tunafanya ili aridhike?? kwani mng'ao au afya ya mwili si kwa faida ya mtu mwenyewe???au hata lotion watu wanazopaka pia ni kwa ajili ya watu?? lakini hata ingekuwa kwa ajili ya watu sio ajabu sana kwani hata Mead alisema we do things for others thats why ukiwa room peke yako waweza hata kaa uchi ila ukitoka lazima ujiangalie.....so sio mapya....ukiona vinakukwaza ujue Havikuhusu!!!! au nawe siku hizi una papuchi?????

Mhhhh.... i rest my case, i ain't that kind of guy to start unnecessary fights, good luck in your adventure.
 
Back
Top Bottom