MAFUTA YA UBUYU KWA WADADA: Kwa kuboresha tendo

MAFUTA YA UBUYU KWA WADADA: Kwa kuboresha tendo

wajinga ndio waliwao,mmefikia hadi huku kuwa mafuta ya ubuyu na unyumba? is there any scientific proof of your facts?
 
dada vip kuhusu sabun za ubuyu?je zinafaa kwa kunawia uso tuu au kuna matumiz mengne?
 
Tanzania haishi vituko yaan hata papuch inaungwa/inakaangwa! khaa!!! jf nakupenda kwa moyo wote.
 
Tanzania haishi vituko yaan hata papuch inaungwa/inakaangwa! khaa!!! jf nakupenda kwa moyo wote.

Ohoo hii ndio tz bwana, kila kitu kina matumizi mbadala. Binadamu wana mambo, ndugu hapa wamesoma kimya kimya ila huko wanaenda kuyanunua na kupaka. Huu ndio ukweli
 
Yanaitwaje. Na yanapatikana wapi? Miye mwezenu sinaga hamu hata kidogo. Kuna muda napitiliza hata mwezi bila kumwona mista
 
Mrembo by Nature hii makitu imefanyiwa utafiti wapi samahani kama nimechelewa ebu niewekee reference mbili tatu, kuna kanyumba kadogo navizia mahali niongeze chances za kufanikiwa kama nitakapelekea haya maubuyu
 
Last edited by a moderator:
Mrembo by Nature hii makitu imefanyiwa utafiti wapi samahani kama nimechelewa ebu niewekee reference mbili tatu, kuna kanyumba kadogo navizia mahali niongeze chances za kufanikiwa kama nitakapelekea haya maubuyu
Kaizer acha uvivu bwana hebu fukunyua huko google utapata info, mbona zipo tuuuuuuu! ukiendekeza uvivu hata hiyo small house itakushinda teh teh teh
 
Last edited by a moderator:
mmmhhh! aisee kati ya vitu sivifanyii majaribia ni papuchi na uso.....
sitaki kabisa surprises...

Wifi FP wewe kama mimi lol..... Kuna vitu vya kufanyia majaribio mpenzi ila sehemu za siri na usoni hapana asee..... Huezi jua ukiacha kutumia nini kitatokea..... Mambo ya kujigeuza mtumwa na mwili wangu hapana my dia..... Mie muoga sana au labda ushamba unanisumbua lol
 
Last edited by a moderator:
Kwa wadada wenye wanaume wenye vibamia utakua umewasidia sana vinginevyo namuonya my wife asije akakimbia rum.
 
Kaizer acha uvivu bwana hebu fukunyua huko google utapata info, mbona zipo tuuuuuuu! ukiendekeza uvivu hata hiyo small house itakushinda teh teh teh

Sasa ikitokea mtumiaji ameacha kutumia nini kitampata?
 
Last edited by a moderator:
Wifi FP wewe kama mimi lol..... Kuna vitu vya kufanyia majaribio mpenzi ila sehemu za siri na usoni hapana asee..... Huezi jua ukiacha kutumia nini kitatokea..... Mambo ya kujigeuza mtumwa na mwili wangu hapana my dia..... Mie muoga sana au labda ushamba unanisumbua lol

Kunywa ni kwa ajili ya afya yako na si vinginevyo bana nawe mrembo
 
Back
Top Bottom