Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tanzania haishi vituko yaan hata papuch inaungwa/inakaangwa! khaa!!! jf nakupenda kwa moyo wote.
mmmhhh! aisee kati ya vitu sivifanyii majaribia ni papuchi na uso.....Hivi, mbona tunahangaingia sana papuchi??
anyway, ngoja tujaribu tuone ni nini.
Isije tu ikaanza kupukutika.
mmmhhh! aisee kati ya vitu sivifanyii majaribia ni papuchi na uso.....
sitaki kabisa surprises...
umeona eeehhh!Ndio maana ngastuka, isije ikapukutika
Kaizer acha uvivu bwana hebu fukunyua huko google utapata info, mbona zipo tuuuuuuu! ukiendekeza uvivu hata hiyo small house itakushinda teh teh tehMrembo by Nature hii makitu imefanyiwa utafiti wapi samahani kama nimechelewa ebu niewekee reference mbili tatu, kuna kanyumba kadogo navizia mahali niongeze chances za kufanikiwa kama nitakapelekea haya maubuyu
Unaitumia kwa biashara???!!! Niuzie basi kama ipo kiwango pls.umeona eeehhh!
sasa sijui utakuwa na mtaji gani tena!
mmmhhh! aisee kati ya vitu sivifanyii majaribia ni papuchi na uso.....
sitaki kabisa surprises...
Wifi FP wewe kama mimi lol..... Kuna vitu vya kufanyia majaribio mpenzi ila sehemu za siri na usoni hapana asee..... Huezi jua ukiacha kutumia nini kitatokea..... Mambo ya kujigeuza mtumwa na mwili wangu hapana my dia..... Mie muoga sana au labda ushamba unanisumbua lol
Kunywa ni kwa ajili ya afya yako na si vinginevyo bana nawe mrembo
Sasa ikitokea mtumiaji ameacha kutumia nini kitampata?