MAFUTA YA UBUYU KWA WADADA: Kwa kuboresha tendo

MAFUTA YA UBUYU KWA WADADA: Kwa kuboresha tendo

Labda kunywa lol..... Manake huwa nasumbuliwa na vidonda vya tumbo sana ila kupaka papuchini hapana hahahaha

Kunywa utibu vidonda mwaya.......Pia Kunywa uwe mwororo zaidi na zaidi kwenye ngozi (najua ww ni ngozi nyororo tayari ila ongezea), yani utakuwa na mng'ao wa ajabu mwilini.....kwanza ukinywa tu bila hata kupaka kwenye kei huko mahala lazima changes zitaonekana tu.
 
Kunywa utibu vidonda mwaya.......Pia Kunywa uwe mwororo zaidi na zaidi kwenye ngozi (najua ww ni ngozi nyororo tayari ila ongezea), yani utakuwa na mng'ao wa ajabu mwilini.....kwanza ukinywa tu bila hata kupaka kwenye kei huko mahala lazima changes zitaonekana tu.

Hahahaha Sante kwa ushauri my dia Mrembo by Nature.....

Ila kiukweli wadada/ wamama kazi tunayo..... Wowowo mchina(feki), uso mkorogo (feki),haya tena papuchi mafuta ya ubuyu (feki) nywele, kope nazo feki uwiiiii yote hii ni nini jamani?
 
Last edited by a moderator:
Hahahaha Sante kwa ushauri my dia Mrembo by Nature.....

Ila kiukweli wadada/ wamama kazi tunayo..... Wowowo mchina(feki), uso mkorogo (feki),haya tena papuchi mafuta ya ubuyu (feki) nywele, kope nazo feki uwiiiii yote hii ni nini jamani?

Ubuyu sio feki bwana, ni kama mwali anavyopakwa pumba za mahindi na machicha ya nazi ili ang'ae siku ya harusi.....sasa unaweza sema haya ni fake? mwali hebu nisaidie
 
Ubuyu sio feki bwana, ni kama mwali anavyopakwa pumba za mahindi na machicha ya nazi ili ang'ae siku ya harusi.....sasa unaweza sema haya ni fake? mwali hebu nisaidie


Ubuyu sio feki mpendwa ila unaifanya papuchi kuwa fake...... Manake inaiondoa kutoka kwenye asili yake ya mwanzo na kuifanya mnato sijui joto lol...... Huu kwa mimi ni utumwa lol......ntapaka mpaka lini my dia?
 
Kweli vitu vinaongezewa matumizi, ila huenda ikawa ndio asili ya urembo wako. Kila la heri mabinti uliopata maujanja toka kwa bishostito mwenzenu.
 
Kweli vitu vinaongezewa matumizi, ila huenda ikawa ndio asili ya urembo wako. Kila la heri mabinti uliopata maujanja toka kwa bishostito mwenzenu.

Mie sijatumia bado, nitatumia rasmi muda wangu ukifika, ila mie ni kungwi so huwa nawapatia wali wangu ninaowafunda wanapokaribia ndoa zao.....na huwa inafanya kazi kweli....hii inaitwa GUSA UNASE
 
Ubuyu sio feki mpendwa ila unaifanya papuchi kuwa fake...... Manake inaiondoa kutoka kwenye asili yake ya mwanzo na kuifanya mnato sijui joto lol...... Huu kwa mimi ni utumwa lol......ntapaka mpaka lini my dia?


Hahahahahahaha mbona lotion unapaka daily???? mwali hutaki kuwa mtumwa ila tayari wewe ni mtumwa wa lotion sijui ndio nivea au revlon
 
Back
Top Bottom