MAFUTA YA UBUYU KWA WADADA: Kwa kuboresha tendo

Kazi ipo sanaaaaa! Naipendaje jf jamani?
 
kazi kweli kweli...... soko likiwa kubwa feki kibao hii tz aada ya muda wadada watakuwa wameathirikaje
 
ukitaka kutajirika sasa hivi associate bidhaa zako na tendo la ndoa
 
Nimeona zao la mbuyu likitangazwa kutibu mengi, sishangai kwa toleo hili. Wateja ongezekeni niangalie uwezekano wa kujikita katika biashara ya baobab products.
 
aliyosema mdau ni kwel manake mi nimeucka kwa kias kikubwa sana.unaweza kuniPM.
 
Aseee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…