Magaidi walioshambulia Urusi tayari washakamtwa

ISIS walikuwa na mawasiliano na upande wa UKRAINE katika mission ya ku-cross border? Hapo Zelensky atamwambia nini Putin aeleweke?
 
ISIS walikuwa na mawasiliano na upande wa UKRAINE katika mission ya ku-cross border? Hapo Zelensky atamwambia nini Putin aeleweke?
Putin atafanya nini cha tofauti kwani hata kama ingekuwa ni kweli?
 
Tuambie Intelligencia yako umewashika wangapii
 
Wangemuua Putin ningefurahi sana sana , Ningeenda kule kitambaa Cheupe kukesha nikiwa nakunywa jägermeister
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…