ITR
JF-Expert Member
- Sep 22, 2022
- 6,096
- 16,390
Ina fuatana ame ua kwa lengo lipi.Yaani Commando aingie Moscow akijua ulinzi wake ulivyo afanikiwe kutoroka eneo la Tukio mpaka asubiri kukamatwa na FSB? Muda wote huo akijua kwamba hao FSB watamuokoa au??
Unaingia Moscow kufanya tukio ukijua chance of survival ni 50/50 na ukakaribia kukamatwa unajipa pistol kichwani.
Mtu anayeua watu hawezi kusubiri akamatwe