Magaidi walioshambulia Urusi tayari washakamtwa

Magaidi walioshambulia Urusi tayari washakamtwa

Nimesoma taarifa eti Isis wanadai "walipanga kushambulia mkusanyiko wa wakristo"

Jamani waislamu wapo kweny Ramadan hawa wanatokea wapi😅😅😅...Ishu za kupangwa hizi nahisi dunia itajua ukweli wote wale jamaa sio waislamu
 
Kuna sehemu Russia wamesema Navalny kauliwa na wao?
Wao kina nani Russia au West
Wewe uliniambia kila jambo baya linalo ikuta Russia umesema na itaja US?
Ndiyo
Sasa why wewe umeitaja Russia kwenye swala la Navalny?Kitu gani kilicho kusukuma kusema hivyo?
Kwa sababu mimi nimetaja, sio wewe uliyetaja. Nimesema Putin's Russia imemuua Navalny na ndicho kilichotokea. Wewe kwa kawaida yako utatafuna namna hapo uitaje West. Yani Russia ikitokea mapinduzi, itatajwa West kabla ya Mrusi yeyote kutajwa
 
Ugaidi hautabiriki popote pale, unakuta mtu anailaumu Israel ilikuaje ikavamiwe vile ghafla. Hizi ishu ni kutotamani ukutane nazo japo nchi kama US na UK huko ni hatari zaidi, wakikunusa tu una vichembechembe vya ugaidi unafyekwa mazima bila huruma ya aina yoyot
US na UK hawa wanaounda makundi ya kigaidi na kuyafadhiloi kila siku au US na UK za kule Peponi???
 
Wao kina nani Russia au West

Ndiyo

Kwa sababu mimi nimetaja, sio wewe uliyetaja. Nimesema Putin's Russia imemuua Navalny na ndicho kilichotokea. Wewe kwa kawaida yako utatafuna namna hapo uitaje West. Yani Russia ikitokea mapinduzi, itatajwa West kabla ya Mrusi yeyote kutajwa
Wewe umetaja kuna sehemu Russia wamesema?

So kwakuwa wewe umetaja basi kweli?

Hivi unatizamaga vyombo hivi vikubwa vya habari na kuwasiliza hawa wachambuzi wa matukio makubwa ya kijasusi/kimataifa,hushawahi kuona wana conclude ..........

Okay una ushahidi wowote kama Russia wana uhusika? Kama unao tuambie kwa faida ya wote.
 
Kwanza tangu lini isis wakafanya shambulio na kutoroka, wakiogopa kuuwawa?😃
Nimesoma taarifa eti Isis wanadai "walipanga kushambulia mkusanyiko wa wakristo"

Jamani waislamu wapo kweny Ramadan hawa wanatokea wapi😅😅😅...Ishu za kupangwa hizi nahisi dunia itajua ukweli wote wale jamaa sio waislamu
 
Gaidi mmoja wapo aliekamtwa huyu hapa, USHAURI KWAKE TAFADHALI wakuu😊🙏
 

Attachments

  • IMG_20240323_145423.jpg
    IMG_20240323_145423.jpg
    154.9 KB · Views: 2
Habari za hivi punde no kwamba,

Shirika la habar la Serikali ya urusi RUSSIA TODAY (RT) limeripoti kwamba magaid hao wamekamtwa mkoani BRYANSKI walipokua katika juhudi za kutoroka kupitia mpaka wa Ukraine na wamebainika kua na mawasiliano na wenzao walioko Ukraine.

Pia ripoti kutoka shirika la intelijensia la urusi imesema kwamba magaid hao wanawashikiria na sasa wanasafirishwa kurudishwa moscow.

Source: Russia today (Rt)
Hawwa jamaa wanaweza hata wakatoa taarifa za uongo kujifuta aibu. Kwani hakuna anayeweza kuthibitisha taarifa hizo.
 
Gaidi wa kwanza uyo Apo, keshawekwa mtu Kati, kafinywa kakiri kuhusika.

Wale mliokua mnasema isis wanahusika njoo mtwambie uyu nae ni ISIS au nani
Hawa mbona ni wazungu tofauti na picha za mwanzo tulizo oneshwa?
 
Ni wazi CIA/Mosad wako nyuma ya hili. SIS hawa wakati walipokuwa wako kweli na wana trend hawakuwahi kushambulia Russia. Wakati kuungwa mkono wa vita huko Ghaza vinapoteza washirika kila siku hata leo ukifungua CNN lugha tofauti na siku za nyuma. Lengo kuwaingiza Russia katika mtego huu wa magaidi. Hawa SIS baada ya miaka 10 kupotezwa kweli leo waibuke Russia? CIA na UK walikuwa na info zote na sehemu gani yaani hawa jamaa hatari sana.
 
Urusi walipewa tahadhari na West, Putin akazipuuza na akasema hizo ni taarifa za kuzua taharuki tu kwa Urusi(hadi video iko mitandaoni), sasa unafikiri atakubali ni ISIS??
Sasa mbona walikuwa wana kimbilia Ukraine?
 
Gaidi mmoja wapo aliekamtwa huyu hapa, USHAURI KWAKE TAFADHALI wakuu😊🙏
Yaani Commando aingie Moscow akijua ulinzi wake ulivyo afanikiwe kutoroka eneo la Tukio mpaka asubiri kukamatwa na FSB? Muda wote huo akijua kwamba hao FSB watamuokoa au??

Unaingia Moscow kufanya tukio ukijua chance of survival ni 50/50 na ukakaribia kukamatwa unajipa pistol kichwani.

Mtu anayeua watu hawezi kusubiri akamatwe
 
Back
Top Bottom