Coz muizrael kwa muislam ni adui alie dhahirKuna jambo lolote baya likitokea Muslim kaacha kumsingizia Muisrael? Jibu Hakuna
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Coz muizrael kwa muislam ni adui alie dhahirKuna jambo lolote baya likitokea Muslim kaacha kumsingizia Muisrael? Jibu Hakuna
Because islam means peace and America is against peaceHivi ni kwanini waislamu kila jambo baya likwapata mnatafuta mchawi na kwanini dini yenu tu ndo inatumika na marekani kama mnavyosema wakati duniani kuna dini nyingi?
Peace in your mouth not in actionsBecause islam means peace and America is against peace
Nguvu kubwa mno inatumika humu ndani isiyo na tija,nabaki najiuliza:-
1. Hao waliowatuhumu wa Israel wanawasikia ??
2.Waisrael wanajua kuwa munawatetea na kuwapenda sana ??
3.Wewe unapungukiwa na nini kama mwarabu anamshutumu muisrael kiasi cha kufikia kumtusi/kumkejeli mtz/mweusi mwenzako kwa mambo yasiyokuhusu ??
4.Unamjumuhishaje muislamu asiyetoa neno lake kwenye hiyo kauli ???
5. Hivi ni kweli kabisa kabisa mtu mwenye akili ataumizwa na visivyo muhusu ???
Kaa kimya usiropoke ww [emoji35][emoji35] Jiulize Kwnn America haendi kupgana vita kwnye nchi za kikristo km Kongo, Burundi ambko kna watu wnatawala kwa mabavu na akaenda ncho km Libya na kusapoti waasi bdala y waasi wa M23 ? Ukijiulza hvyo utapata jbu kwmb Ukristo n UKAFIRIUkiwa tu mwislamu tayari umepata cheti cha kulalama ovyo,Na ukipata tatizo hutaacha kulaumu Marekani,Au wanakombilia sasa hivi kwenye nchi wanazoziita wao MAKAFIRI Ambako wanafata maisha bora(nchi za magharibi),Israel au Wakristo hawawezi kuacha visingizio.ishakuwa desturi zao nasikia siku hizi wanaitwa WAZEE WA KULALAMA
Haya mkuu amekusikiaMkuu hayo ni mapungufu yetu tivumiliane sawa boss
hata mvua isiponyesha sasa mtasema israel wamezuiaKuna duru zinadai.kuwa israel ilihusika kwa namna zote katika mashambulizi ya kigaidi yalotokea madina
kwa akili kama hizo ndo maana america inawashushiaga vipigo maana hamna namnaKaa kimya usiropoke ww [emoji35][emoji35] Jiulize Kwnn America haendi kupgana vita kwnye nchi za kikristo km Kongo, Burundi ambko kna watu wnatawala kwa mabavu na akaenda ncho km Libya na kusapoti waasi bdala y waasi wa M23 ? Ukijiulza hvyo utapata jbu kwmb Ukristo n UKAFIRI
Toka lini mkakosa visingizio???Kaa kimya usiropoke ww [emoji35][emoji35] Jiulize Kwnn America haendi kupgana vita kwnye nchi za kikristo km Kongo, Burundi ambko kna watu wnatawala kwa mabavu na akaenda ncho km Libya na kusapoti waasi bdala y waasi wa M23 ? Ukijiulza hvyo utapata jbu kwmb Ukristo n UKAFIRI
tulia kwanza huu mchezo hauhitaji hasira....Nguvu kubwa mno inatumika humu ndani isiyo na tija,nabaki najiuliza:-
1. Hao waliowatuhumu wa Israel wanawasikia ??
2.Waisrael wanajua kuwa munawatetea na kuwapenda sana ??
3.Wewe unapungukiwa na nini kama mwarabu anamshutumu muisrael kiasi cha kufikia kumtusi/kumkejeli mtz/mweusi mwenzako kwa mambo yasiyokuhusu ??
4.Unamjumuhishaje muislamu asiyetoa neno lake kwenye hiyo kauli ???
5. Hivi ni kweli kabisa kabisa mtu mwenye akili ataumizwa na visivyo muhusu ???
kwani alshabaab ni wayahudi? boko haram ?Waisraeli ni MAGAIDI
Sijawahi wala sitarajiwi kuwa na hasira na vichaa.tulia kwanza huu mchezo hauhitaji hasira....
Waisraeli ni magaidi kama boko haramkwani alshabaab ni wayahudi? boko haram ?
Niliwanukuu waisrael wakisema If you let them live... they will eat you all alive!Coz muizrael kwa muislam ni adui alie dhahir
Hasira za Waarabu ati Wayahudi wana elimu na walikataa kuwapa elimu na wao ndio Hasira wanawaita watu wa Kitabukwa nini hawa jamaa wanatupiana shutuma badala ya kutafuta suluhisho la kudumu?
Mimi katika Maisha nimejifunza kwamba usitafute Mchawi bali tafuta njia Bora ya kutatua tatizo bila kutoa shutuma kwa mwenzako.
Hiyo ndiyo njia Bora ya kutatua tatizo.
Because islam means peace and America is against peace
umejuwaje kama kuna vichaa kama wewe hukuUndergo process za ukichaa?Sijawahi wala sitarajiwi kuwa na hasira na vichaa.
kwani boko haram ni dini gani vileWaisraeli ni magaidi kama boko haram