Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Vita inaanza sasa hivi huko Nigeria
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu omba Mungu, maana binadamu aliyeumba anatabia ya kulipiza kisasi. Kisasi huwa na madhara zaidi ya yule alifanya kosa la kwanza.Slimuni ili muwe na amani unless watoto wenu watakabaki mayatima.
Kuna dini nyingine za hovyo sana,yani zinamsaidia baba yao ibilisi kazi 100%.Kuna watu hili tukio litawapeleka peponi na zawadi kedekede!!!
Wana % kubwa kwenda sehemu salama kuliko yule asiyezini,asiyeiba wala kufitini.
It's amazing....ain't it?
Ila hata kichaa akitumia ile akili yake ndogo ya kutambua ugali na mboga hawezi kuingia kwenye ile dini ya kipumbavuKuna watu hili tukio litawapeleka peponi na zawadi kedekede!!!
Wana % kubwa kwenda sehemu salama kuliko yule asiyezini,asiyeiba wala kufitini.
It's amazing....ain't it?
Slimuni ili muwe na amani unless watoto wenu watakabaki mayatima.
Slimuni ili muwe na amani unless watoto wenu watakabaki mayatima.
Hunaakili.Slimuni ili muwe na amani unless watoto wenu watakabaki mayatima.
Qur'an 2:190Nimeamrishwa kupigana na watu mpaka watakaposilimu na kusema La ila ila Allah au wajisalimishe kulipa jizya, wasipofanya hivyo damu yao,mali zao ni halali ya upanga wangu.
-Prophet Muhammad (610 AD)
thanksQur'an 2:190
Fight in the cause of Allah 'only' against those who wage war against you,but do not exceed the limit.Allah does not like transgressors
Qur'an 2:256
There's no compulsion in religion.The right way stands clearly distinguished from the wrong
Qur'an 5:32
Whoever kills one person unless it be for murder or spread corruption it shall as if he killed whole of humanity
JOSHUA 7:6Ukichungulia misikitini walivyo serious wana binuka binuka eti wanasali unaweza dhani hawa watu wana akili, kumbe majinga
Na wala hamna lolote,likitangazwa leo ,mbona tunawafuta wote ulimwenguni nyie mashetani wa pepo muhamed?Slimuni ili muwe na amani unless watoto wenu watakabaki mayatima.
ila kiukweli hizi dini maandiko yake yanapotafsiriwa tofauti huleta tatizo kama mahubiri ya sheikh rogoVya kuambiwa changanya na zako,baba ake mdogo Mtume Muhammad ndie aliyemlea mpaka anakuwa Mtume,alimpa ushirikiano wote katk masuala ya dini.
Huyo baba ake mdogo mpaka anaingia kaburini hakuwahi kusilimu na kuwa mwislamu.
Kwa nini hakuchinjwa.
Kwahiyo msikitini wanaanguka kifudifudi?JOSHUA 7:6
Yoshua akararua mavazi yake,akaanguka kifudifudi mbele ya sanduku la bwana..
MWANZO 17:3
Hapo Abram akasujudu,naye Mungu akamwambia...
KUTOKA 34:8
Musa akainama chini Mara,akamwabudu Mungu
NUMBERS 16:22
But Moses and Aaron fell facedown and said o God,the God of..
MATHAYO 26:39
(Yes)akaenda mbele kidogo,akaanguka kifudifudi akaomba/he went a little further,he fell on his face and prayed