Magaidi wamtia kiberiti kasisi wa kanisa la katoliki kule Nigeria

Magaidi wamtia kiberiti kasisi wa kanisa la katoliki kule Nigeria

Kuna watu hili tukio wanaamini litawapeleka peponi na kupewa zawadi kedekede!!!

Wao wanaamini wana % kubwa kwenda sehemu salama kuliko yule asiyezini,asiyeuwa kama wao,asiyeiba wala kufitini.

It's amazing....ain't it?
 
Slimuni ili muwe na amani unless watoto wenu watakabaki mayatima.

Kwa mkristo wa kweli,kuuawa kwa sababu ya ukristo wake Wala siyo inshu. Nakukumbusha tu Kristo mwenyewe aliuawa na wanafunzi wake wote pia waliuawa kasoro mmoja tu ambaye ni Yohana.

Ukristo ni upendo,siyo kisasi na chuki. Mungu anawatafuta watu Kama nyinyi wakina Sauli ili ili awageuze muwe wakina Paulo
 
Slimuni ili muwe na amani unless watoto wenu watakabaki mayatima.

Mathayo 24:9-14
9“Kisha watawatoeni ili mteswe na kuuawa. Mataifa yote yatawachukieni kwa sababu ya jina langu. 10Tena, wengi wataiacha imani yao, watasalitiana na kuchukiana. 11Watatokea manabii wengi wa uongo watakaowapotosha watu wengi. 12Kwa sababu ya ongezeko la uhalifu, upendo wa watu wengi utafifia. 13Lakini atakayevumilia mpaka mwisho ndiye atakayeokolewa. 14Ila, kabla ya mwisho kufika, hii Habari Njema ya ufalme wa Mungu itahubiriwa ulimwenguni kote kama ushuhuda kwa mataifa yote.

Sasa imeisha andikwa Kwaiyo ata wao wanajua yanayowatokea yameisha tabiriwa kabla ata ya hao wahuwaji hawana jua hiyo iman yao ongezea na LUKA 21
 
Nimeamrishwa kupigana na watu mpaka watakaposilimu na kusema La ila ila Allah au wajisalimishe kulipa jizya, wasipofanya hivyo damu yao,mali zao ni halali ya upanga wangu.
-Prophet Muhammad (610 AD)
Qur'an 2:190
Fight in the cause of Allah 'only' against those who wage war against you,but do not exceed the limit.Allah does not like transgressors
Qur'an 2:256
There's no compulsion in religion.The right way stands clearly distinguished from the wrong
Qur'an 5:32
Whoever kills one person unless it be for murder or spread corruption it shall as if he killed whole of humanity
 
Qur'an 2:190
Fight in the cause of Allah 'only' against those who wage war against you,but do not exceed the limit.Allah does not like transgressors
Qur'an 2:256
There's no compulsion in religion.The right way stands clearly distinguished from the wrong
Qur'an 5:32
Whoever kills one person unless it be for murder or spread corruption it shall as if he killed whole of humanity
thanks
 
Ukichungulia misikitini walivyo serious wana binuka binuka eti wanasali unaweza dhani hawa watu wana akili, kumbe majinga
JOSHUA 7:6
Yoshua akararua mavazi yake,akaanguka kifudifudi mbele ya sanduku la bwana..
MWANZO 17:3
Hapo Abram akasujudu,naye Mungu akamwambia...
KUTOKA 34:8
Musa akainama chini Mara,akamwabudu Mungu
NUMBERS 16:22
But Moses and Aaron fell facedown and said o God,the God of..
MATHAYO 26:39
(Yes)akaenda mbele kidogo,akaanguka kifudifudi akaomba/he went a little further,he fell on his face and prayed
 
Slimuni ili muwe na amani unless watoto wenu watakabaki mayatima.
Na wala hamna lolote,likitangazwa leo ,mbona tunawafuta wote ulimwenguni nyie mashetani wa pepo muhamed?
Uislamu unaweza ukaharamishwa duniani mkaishi kwa mashaka na hayo makusanyiko yenu haramu mnazoziita mataifa yakavurugwa na kufutwa.
Uwezo upi mnao?
Msiliwashe abadan, mnaweza kuja kujutia.
 
Vya kuambiwa changanya na zako,baba ake mdogo Mtume Muhammad ndie aliyemlea mpaka anakuwa Mtume,alimpa ushirikiano wote katk masuala ya dini.

Huyo baba ake mdogo mpaka anaingia kaburini hakuwahi kusilimu na kuwa mwislamu.

Kwa nini hakuchinjwa.
ila kiukweli hizi dini maandiko yake yanapotafsiriwa tofauti huleta tatizo kama mahubiri ya sheikh rogo
 
JOSHUA 7:6
Yoshua akararua mavazi yake,akaanguka kifudifudi mbele ya sanduku la bwana..
MWANZO 17:3
Hapo Abram akasujudu,naye Mungu akamwambia...
KUTOKA 34:8
Musa akainama chini Mara,akamwabudu Mungu
NUMBERS 16:22
But Moses and Aaron fell facedown and said o God,the God of..
MATHAYO 26:39
(Yes)akaenda mbele kidogo,akaanguka kifudifudi akaomba/he went a little further,he fell on his face and prayed
Kwahiyo msikitini wanaanguka kifudifudi?
 
Back
Top Bottom