Magaidi wenye itikadi za kidini (Boko Haram), wachinja wakulima 10 na kuteka 9

Mimi ni mkristo sijawahi kusoma Koran - wewe maandiko ya Koran ulijifunza wapi kama wewe si ndumila kuwili who can trust you - na kwa nini unakuwaga overly obsessed na dini ya Kiislaam, kwani Waislaam waliwahi kukukwaza nini kimaisha au physically - kuwa mkweli hapa maanake chuki zako kwa Waislaam siza kawaida - kuna kitu.
 
Mkuu MK254 unaupiga mwingi saaaana.
 
Hakuna kundi la kigaidi la waislamu hayo ni makundi ya wahuni mfadhili wao mkuu ni USA ili kuleta political instability sehemu zenye raslimali
Somalia kuna rasilimali zipi? Msumbiji kuna rasilimali? Kwanini asianzishe ugaidi huko Saudi, Russia, Kuwait n.k kwenye utajiri mkubwa wa kutisha wa rasilimali?

Maandiko yenu mliyoachiwa hayasemi kuwaua wale ambao sio wa imani yenu?
 
Boko haramu ni kikundi cha kigaidi cha kiislamu.
Ikiwa ndivyo hivyo basi hawajakosea wanafuata maamirisho ya mutme wao Yesu alipowaambia sikuja kuleta amani bali ni mifarakano. Mathayo 10:34
Msidhani kuwa nilikuja duniani kuleta amani. Sikuja kuleta amani. Nilikuja kuleta vita
 
Hakuna aya nyepezi na ya wazi kama hii ya Yesu katika Mathayo 10:34
Msidhani kuwa nilikuja duniani kuleta amani. Sikuja kuleta amani. Nilikuja kuleta vita.
 
Naona unajizima data
Mimi nachomoa betri kabisa.
Yesu anasema katika Mathayo 10:34
Msidhani kuwa nilikuja duniani kuleta amani. Sikuja kuleta amani. Nilikuja kuleta vita.
 

hehehe sheikh niliwaambia nitawapumulia mpaka mjikane, maandiko yako wazi kwenye kitabu chenu hicho na ndio mnatumia kuchinja watu.
Yameandikwa tena kwenye lugha nyepesi

“Slay the unbelievers wherever you find them – 2.191”
“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
“Make war on the infidels living in your neighbourhood – 9.123”
“Do not hanker for peace with the infidels; nehead them when you catch them – 47.4”
 
Hakuna aya nyepezi na ya wazi kama hii ya Yesu katika Mathayo 10:34
Msidhani kuwa nilikuja duniani kuleta amani. Sikuja kuleta amani. Nilikuja kuleta vita.

hehehe hapo Yesu hajataja aina ya vita, maana ni kweli ukiamua Ukristo huwa umetangaza vita, utachukiwa na freemason, na waislamu na wachawi na kila mtu, kwanza waislamu watakukata kichwa kabisa kama walivyoagizwa na "mungu" wao muarabu

“Slay the unbelievers wherever you find them – 2.191”
“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
“Make war on the infidels living in your neighbourhood – 9.123”
“Do not hanker for peace with the infidels; nehead them when you catch them – 47.4”
 
Kwani upanga kazi yake ni nini? Kukatia kachumbari?
Yesu anasema:-
Mathayo 10:34
Msidhani kwamba nimekuja kuleta amani duniani. Sikuja kuleta amani bali upanga.

Luka 12:51 Yesu anasema:-
Mnadhani nilikuja kuleta amani ulimwenguni? Hapana, nilikuja kuugawa ulimwengu!
 

Neno la Mungu ni kama upanga ukatao pande mbili.....
Nyie mumeagizwa kuchinja watu na mnachinja kabisa tena mnachinja wakulima waafrika wenzenu ambao hawana hatia kisa muarabu amewaagiza

“Slay the unbelievers wherever you find them – 2.191”
“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
“Make war on the infidels living in your neighbourhood – 9.123”
“Do not hanker for peace with the infidels; nehead them when you catch them – 47.4”
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…