Magaidi wenye itikadi za kidini (Boko Haram), wachinja wakulima 10 na kuteka 9

Mbona kwenye story hakuna sehemu imeandikwa hayo maelekezo ya "mungu" muarabu kuwaamuru kuwaua waafrika wenziwao?
Huyo ni zumbukuku na stori zake Huwa sisomi kabisa,
 
Wapumulie waaapumuliee waapuuuumuuuuuliiiieeeeeeeeee
 
Utumishi wako umetukuka.
 
Ubarikiwe mtumish wa Mungu MK254
 
Aya za shetani ni zaidi ya bangi
Mla kitimoto siyo rahisi akuchinje lakini mtu wa diin ya haki anakuchinja.
 
Ila hawa jamaa bhana kutwa kumsingizia mmarekan hv inamaana huyo mmarekani hawaoni walokole ili nao awatumie kuua watu hadi iwe kwawafusi wamudi pekee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…