Magambo kutoka Geita, kawafunika wote waliopewa mikopo na serikali

Magambo kutoka Geita, kawafunika wote waliopewa mikopo na serikali

ngaiwoye

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2014
Posts
2,150
Reaction score
3,225
Nipo hapa nafuatilia mkutano mkuu wa CCM.
Magambo ndie msanii peke yake aliyeimba vizuri, msanii asiyebana pua, rapper kutoka mchangani lakini amewafunika wote jukwaan, kawafunika woote hao wasanii walipewa mikopo na serikali.
Amewazid wote mpaka huyo almas, na tembo na kiba

APEWE mkopo haraka sana
 
Back
Top Bottom