Abeeee
nineskia kwa mbaaaali unaniita!
si ndo nkaona andawea,nkajua u were really serious!
nikuje huko au hapa?
Umenifanya nipakumbuke Hall 3 UDSM kule juu kabisa.Hii hufanywa sana na watu wazima haswa kwenye parking spaces za maofisini...
Watu huenda ghorofa ya juu kwenye slot ya mwisho kabisa wakati wa lunch time, na huko hufanya mambo yao pasipo wasiwasi wowote.
Umenifanya nipakumbuke Hall 3 UDSM kule juu kabisa.
Bado kuna maeneo ambayo mila na desturi zinaheshimiwa maana watu wenye magari ni wachache ikilinganishwa na wasio nayo. Hata hivyo, kinachotakiwa ni jamii nzima kukemea mambo hayo kila yanapoonekana kutendeka. Ukikutana na watu wanatenda jambo hli sehemu ambayo sio mahali pake, ita watu mtembeze mkong'oto kwa sana. charminglady, ni kweli kwamba mila za kule nyumbani hazipo tena ?
Umenifanya nipakumbuke Hall 3 UDSM kule juu kabisa.
Naona jua limeshazama
Binafsi nimewahi fanya ila haizidi mara tatu... kwakweli ilikua poa sana japo nili-underperform kutokana na wasiwasi na kulazimika kurudia mechi sehem muafaka.. ila zile moment tu huwa sizisahau...
Shuka kama nawewe ulishawahi na ilikuaje
ili iweje labda?