Magari kuchezewa Kilometa hata Japan wanachezea la msingi ni kuwa makini sana

Magari kuchezewa Kilometa hata Japan wanachezea la msingi ni kuwa makini sana

byakunu

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2016
Posts
583
Reaction score
1,318
Ishu ya kuuziwa gari na fake kilometers ni jambo la kawaida sana kwa mtu ambae hata kuwa na umakini wa "umakini" tumezoea magari Used kuchezewa kilometa kwenye yard za bongo, lakini kumbe hata Japan wanacheza nayo vile vile. Nina mfano hapa chini wa INSPECTION CERTIFICATE na EXPORT CERTIFICATE zinaonesha taarifa ya kustua sana,

Ushauri wangu, unapo agiza gari request nyaraka zote za gari kuanzia Auction sheet, condition report, export certificate na hata ikibidi service history ya gari husika, ili ikusaidie kwenye kuangalia trend ya historia ya gari kwenye service na mileage.

Sio unauziwa gari yenye km 378,000 halafu wana twist odometer to read 78,000 na tunachekelea tumeokota gari mpya.

d4d8be8d-543d-4117-be91-562f89a2a9bb.jpeg
da530f0d-9af9-4b9d-9ff7-34ee6d21e3c7.jpeg
 
Hiyo kampuni uliyonunulia inatia shaka
SBT,beforward,Autocom,Enhance sijakuna na case kama hiyo.
Michezo hii iko sana befoward. Nunua gari kama nne au tano utakutana na hili bomu kwenye gari moja wapo,
 
Hayo ndio yale ya 'clearance sale au Christmas sale'..
Unakimbilia kitonga cha bei kumbe chuma kibovu
 
Mtu unabakia kujiuliza tunaponea wapi?
 
Back
Top Bottom