- Thread starter
- #181
ndio inawezekana mkuu. piga simu 0686-168624. tuongee.Sawa sawa mkuu na vipi kama nataka kurejesha mkopo wote baada ya miezi 7 na si kila mwezi inawezekana?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndio inawezekana mkuu. piga simu 0686-168624. tuongee.Sawa sawa mkuu na vipi kama nataka kurejesha mkopo wote baada ya miezi 7 na si kila mwezi inawezekana?
TATA XENON pick up zinapatikana.simu 0686168624
Well explained.kama ni mfanyabiashara au mtu binafsi anataka mkopo wa kununua Gari za Tata anatakiwa alete vitu vifuatavyo;
lete copy ya leseni ya biashara ya kampuni yako.
lete copy ya tin na vat namba ya kampuni yako.
Bank statement ya akaunti yako ya miaka 2 iliyopita, 2018 hadi 2016.
kama wahasibu wetu wakiridhika na documents zako basi tunaingia mkataba. lazima ulipe asilimia 30 advance ya gari. tuna mkopo wa miezi 6, mwaka hadi miaka 2 na unakuwa unalipa kwa instalments ya kila mwezi , riba inategemea na unachukua mkopo wa muda gani kulipa. riba inaanzia asilimia 8 mpaka 20.
tata ace kirikuu. mpya kwa bei nzuri. karibuni 0686-168624.
tata ace kirikuu. mpya kwa bei nzuri. karibuni 0686-168624.
TATA XENON pick up zinapatikana.simu 0686168624
tata magna bus. zipo stock. 0686-168624. 0737-017866. Mr jon
Mbona umepost picha moja ya bus mkuu wangu hakuna nyingine?tata magna bus. zipo stock. 0686-168624. 0737-017866. Mr jon
njoo whatsapp bosi. 0686-168624. ukihitaji picha za aina zote za mabus ya tata. nakutumia.Mbona umepost picha moja ya bus mkuu wangu hakuna nyingine?
mkuu mbona haujaja inbox, whatsapp 0686-168624njoo whatsapp bosi. 0686-168624. ukihitaji picha za aina zote za mabus ya tata. nakutumia.
TATA XENON pick up zinapatikana.simu 0686168624
TATA XENON pick up zinapatikana.simu 0686168624
tata ace kirikuu. mpya kwa bei nzuri. karibuni 0686-168624.
sasa magari ni mapya ni zero km kutoka kiwandani. au ulidhani ni magari mtumba kutoka Japan ???Magari ya mhindi alafu mnauza ghali hivyo!
sasa magari ni mapya ni zero km kutoka kiwandani. au ulidhani ni magari mtumba kutoka Japan ???
Soma tangazo vizuri uelewe bosi.
nenda toyota pale showroom ya nyerere road uliza bei za magari yao halafu uje uangalie na bei za tata nilizoweka hapa ni nafuu.