Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Exactly!Hahaa nimecheka kinoma nilipoona ferrari f50, hiyo gari ni zaidi ya billion 10 za kibongo huyu sijui sijui alikua analiendeshea wapi
Tawala hizi ni za kinafiki hence za kuogopwa sana; za kidini, kijamaa/komunisti; chama dola; kidikteta. Tawala za hivyo zina uchafu wa ajabu under the carpet. They always pretend to be government by the people and for the people but practically is quietly different.Hebu ona hii collection ya magari ya kifahari ya dikteta Assad!
Na inaripotiwa kuwa hii ni moja tu ya collection yake ya hayo magari ya kifahari.
Huyu fala alikuwa anayaendesha wapi hayo magari? Muda mwingi alikuwa mafichoni.
Popote alipokuwa anaenda alikuwa alikuwa anaendeshwa.
Ni lini alikuwa anaendesha hayo magari kwenye mitaa ya Damascus?
Fala sana huyo jamaa.
View: https://youtu.be/pUrnEbnoOK8?si=tGc8kyc1Z7pLaq-l
Kuna tofauti na CCM?Hebu ona hii collection ya magari ya kifahari ya dikteta Assad!
Na inaripotiwa kuwa hii ni moja tu ya collection yake ya hayo magari ya kifahari.
Huyu fala alikuwa anayaendesha wapi hayo magari? Muda mwingi alikuwa mafichoni.
Popote alipokuwa anaenda alikuwa alikuwa anaendeshwa.
Ni lini alikuwa anaendesha hayo magari kwenye mitaa ya Damascus?
Fala sana huyo jamaa.
View: https://youtu.be/pUrnEbnoOK8?si=tGc8kyc1Z7pLaq-l
Waarabu ndo wanaongoza kwa corruption za wazi kabisa bora hata Africa wanajificha, kuna mfalme wa Bahrain sijui , Jamaa Ana super high end cars kama buku aisee, sijui nilikua naangalia collection yake nikiwa nawaza what a waste.... maintenance tu ya hayo magari ambayo mengi hayatumiki ni kiasi gani..Exactly!
Ni wapi na lini alikuwa akiyaendesha hayo magari?
Na hata kama alikuwa anayaendesha mara moja moja, magari yote hayo ya nini?
Huyo jamaa na baba yake waliifanya Syria kama kampuni yao binafsi.
Tawala hizi ni za kinafiki hence za kuogopwa sana; za kidini, kijamaa/komunisti; chama dola; kidikteta. Tawala za hivyo zina uchafu wa ajabu under the carpet. They always pretend to be government under the people and for the people but practically is quietly different.
Yup!Mimi nimemuona mshenzy sana kwa zile jela za ardhini.
Mnyama sana huyu kiumbe
Huko CCM kuna watu wana majumba Dubai hujalalamika kwamba hawalali mle na wametuibia wátanganyika, unatoa povu kwa Assad!Exactly!
Ni wapi na lini alikuwa akiyaendesha hayo magari?
Na hata kama alikuwa anayaendesha mara moja moja, magari yote hayo ya nini?
Huyo jamaa na baba yake waliifanya Syria kama kampuni yao binafsi.
Kabla hajatimuliwa mlikaa kimyaa, kwanini?Yup!
Alikuwa anawatendea raia wake kama wanyama wasiostahili heshima ya utu/ ubinadamu.
Hebu ona hii collection ya magari ya kifahari ya dikteta Assad!
Na inaripotiwa kuwa hii ni moja tu ya collection yake ya hayo magari ya kifahari.
Alikuwa anayaendesha wapi hayo magari? Muda mwingi alikuwa mafichoni.
Popote alipokuwa anaenda alikuwa alikuwa anaendeshwa.
Ni lini alikuwa anaendesha hayo magari kwenye mitaa ya Damascus?
View: https://youtu.be/pUrnEbnoOK8?si=tGc8kyc1Z7pLaq-l
Umenifanya ni go back to song 😅Arab Money by Busta Rhymes
Umenifanya ni go back to song 😅
Hawa viongozi ni wa ajabu sana.Hebu ona hii collection ya magari ya kifahari ya dikteta Assad!
Na inaripotiwa kuwa hii ni moja tu ya collection yake ya hayo magari ya kifahari.
Alikuwa anayaendesha wapi hayo magari? Muda mwingi alikuwa mafichoni.
Popote alipokuwa anaenda alikuwa alikuwa anaendeshwa.
Ni lini alikuwa anaendesha hayo magari kwenye mitaa ya Damascus?
View: https://youtu.be/pUrnEbnoOK8?si=tGc8kyc1Z7pLaq-l