Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 28,916
- 40,479
So Hillarious.....Exactly!
Ni wapi na lini alikuwa akiyaendesha hayo magari?
Na hata kama alikuwa anayaendesha mara moja moja, magari yote hayo ya nini?
Huyo jamaa na baba yake waliifanya Syria kama kampuni yao binafsi.
Bora amepinduliwa mpumbavu huyu, Waasi wameenda kuchoma kaburi la Baba yake
Hata kama ni tamaa ya mali, this is too much
Mtu ananunua magari ambayo hata hayaendeshi YANINI???