Numero Uno
JF-Expert Member
- Apr 14, 2020
- 607
- 1,302
Marioo toto bad, G wagon
Young Lunya mbuzi, Range Rover
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii G wagon ni milioni 600 amepigia picha tu hilo hana revenue ya kumiliki hiyo chumaView attachment 2126131
Marioo toto bad, G wagon
View attachment 2126132
Young Lunya mbuzi, Range Rover
😁😄😃😀Ni gari za ndoto zao🤣
Nakaziaile roloyc ya mondi iko wapi na chopa au zilikuw za kupigia picha
Diamond ipo , juzi kaingia nayo mliman city na kwenye matukio meng tu anazama nayo , labda useme helicopter ambayo haina mchongo mjini ....hao wengine level zao ni crown ,Nakazia
Hii G wagon ni milioni 600 amepigia picha tu hilo hana revenue ya kumiliki hiyo chuma
Ivi tako la nyani ipo na crown pia au harrierMario kapiga picha wakati ana shoot wimbo wake flani..
Namkubali lakini nafikiri mwisho wa uwezo wake Ni tako la nyani crown..
Na huyu najiita mbuzi mwisho wa uwezo wake Ni passo
Mbuzi yake ni kamba tuu.cha uhakia zaid ni kwatoMbuzi naye anamiliki nini ati?
Tako la nyani na crown ndio saizi ya marioIvi tako la nyani ipo na crown pia au harrier