Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekosa mimi, nimekosa sana, nakuomba unisameheAcha ushamba mkuu, hiyo gari ilivyo hata ukipewa bure utasema nikutafutie dereva, nikuwekee na mafuta
halafu huyu Algore inawezekana akawa ......View attachment 3262225
Hii ni stalet?View attachment 3261996
Leta 700k hiyo tukanywe supu ya samaki
Masuala ya magari ya watu wake, a new one, hawezi kufahamu, mara nyingi kwa uzowefu wangu gari ni engine, ikikusumbua kata engine funga half engine used, kwisha kabisa! Ukiniambia body mbovu hapo sipaweziUkipost gari bei chini ya million 5 unaambatanisha na namba za mafundi
Hahaha, Dooh!Hizo ni gari au mathematical set?
hahahaa anatafuta pa kufiaNajua hela huna(hilo nina uhakika)
Unatafuta mtu akupunguze stress.
Na mie sina time nakupisha tu.
Namba za mafundi za nini tena na wakati hao mafundi tayari tunao huku mtaani!Ukipost gari bei chini ya million 5 unaambatanisha na namba za mafundi