Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Ndugu watanzania nafikiri imefika sasa kuelezana dhambi ya ukweli!!!
kuna hoja tumeziona nyingi watu wakilalamika kuchafuana ,mkuchika anafanaya kazi gani,na mengineyo!!!
samahani wana JF labda ntatofautiana kidogo na baadhi ya wenzangu,kilichofanyika na kinachofanyika hakuna tofauti na kinachofanyika humu ndani Jamii forums,ndugu wana jamii mbinguni ni nzuri sana kama tutakuwa wa wazi na wa kweli...
HOJA:
Mkuchika alichofanya ni kuendekeza mbea bila kutafuta ukweli uko wapi,wengi walikuja hapa kumlalamikia "AFANDE MASHA""Aalipotoa siku saba,sasa basi kila mtu anajua kilichomkuta masha ,swali langu ni moja tu tunaposema mkuchika kwa nini amechelewa kutoa seven days nahisi atutawatendea haki hasa waandishi wa habari,
MASWALI:
Taifa letu na SEMA KWELI walikuja na hoja za
1))MASHA ALIWASILIANA NA WAKUU WA SAGEM KULE GINIVA
2))KARAMAGI AENDEKEZA WAKE ZA WATU
Ok!!naomba kuuliza hiyo story ya karamagi humu ndani imesemwa lini??na ninani aliepiga kelele JF tufungiwe??humu ndani hakukuwa na kificho walimtaja mpaka mkuu wa wilaya !!!!alieibiwa mkewe!!!
SWALI:
JE si kweli karamagi anamtafuna mke wa MONGELLA.. je si kweli wametengana??je sikweli yule mwanamke walipelekwa kwenye masomo fasta akaja kupolekewa pale airport dar??je si kweli mongela alikuwepo hapo???
Ndugu Wadau,hakuna uongo hata mmoja ulifanyika kuhusu hoja za lile gazeti::
kweli huo upuuzi ulifanyika na watu wakaleta daata hapa na si hiyo hilo tu wanajua hapa dar kila uchau anaofanya karamagi.je kosa analosema mh mkuchika kusema siri za viongozi, Je kama kiongozi anashindwa kujiheshimu kwanini asianikwe hadharani!!ama leo hii anapitisha hoja ruksa kula wake za watu??je huyu ni binadamu na kionghozi anaetufaa kweli??je si yeye anaeitaji siku saba kutueleza wapi sherria ya nchi inaruhusu kula wake za watu
2)1))MASHA ALIWASILIANA NA WAKUU WA SAGEM KULE GINIVA
JE si kweli masha aliwasiliana na hawa wahuni ,,na si kweli masha alienda huko giniva,,nafikiri hapa kinachotakiwa kufanywa na mtu kama huyu ni kuchunguza je kweli hizi anazosema udaku ni za kweli!!!
USHAURI:
NI VYEMA TUSIWAKATISHE TAMAA HAWA WA MAGAZETI KAMA KUNA UKWELI TUWAPONGEZE NA KAMA KUNA UONGO TUSIACHE KUWASEMA
HAPPY VALENTINE
kuna hoja tumeziona nyingi watu wakilalamika kuchafuana ,mkuchika anafanaya kazi gani,na mengineyo!!!
samahani wana JF labda ntatofautiana kidogo na baadhi ya wenzangu,kilichofanyika na kinachofanyika hakuna tofauti na kinachofanyika humu ndani Jamii forums,ndugu wana jamii mbinguni ni nzuri sana kama tutakuwa wa wazi na wa kweli...
HOJA:
Mkuchika alichofanya ni kuendekeza mbea bila kutafuta ukweli uko wapi,wengi walikuja hapa kumlalamikia "AFANDE MASHA""Aalipotoa siku saba,sasa basi kila mtu anajua kilichomkuta masha ,swali langu ni moja tu tunaposema mkuchika kwa nini amechelewa kutoa seven days nahisi atutawatendea haki hasa waandishi wa habari,
MASWALI:
Taifa letu na SEMA KWELI walikuja na hoja za
1))MASHA ALIWASILIANA NA WAKUU WA SAGEM KULE GINIVA
2))KARAMAGI AENDEKEZA WAKE ZA WATU
Ok!!naomba kuuliza hiyo story ya karamagi humu ndani imesemwa lini??na ninani aliepiga kelele JF tufungiwe??humu ndani hakukuwa na kificho walimtaja mpaka mkuu wa wilaya !!!!alieibiwa mkewe!!!
SWALI:
JE si kweli karamagi anamtafuna mke wa MONGELLA.. je si kweli wametengana??je sikweli yule mwanamke walipelekwa kwenye masomo fasta akaja kupolekewa pale airport dar??je si kweli mongela alikuwepo hapo???
Ndugu Wadau,hakuna uongo hata mmoja ulifanyika kuhusu hoja za lile gazeti::
kweli huo upuuzi ulifanyika na watu wakaleta daata hapa na si hiyo hilo tu wanajua hapa dar kila uchau anaofanya karamagi.je kosa analosema mh mkuchika kusema siri za viongozi, Je kama kiongozi anashindwa kujiheshimu kwanini asianikwe hadharani!!ama leo hii anapitisha hoja ruksa kula wake za watu??je huyu ni binadamu na kionghozi anaetufaa kweli??je si yeye anaeitaji siku saba kutueleza wapi sherria ya nchi inaruhusu kula wake za watu
2)1))MASHA ALIWASILIANA NA WAKUU WA SAGEM KULE GINIVA
JE si kweli masha aliwasiliana na hawa wahuni ,,na si kweli masha alienda huko giniva,,nafikiri hapa kinachotakiwa kufanywa na mtu kama huyu ni kuchunguza je kweli hizi anazosema udaku ni za kweli!!!
USHAURI:
NI VYEMA TUSIWAKATISHE TAMAA HAWA WA MAGAZETI KAMA KUNA UKWELI TUWAPONGEZE NA KAMA KUNA UONGO TUSIACHE KUWASEMA
HAPPY VALENTINE