Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmesomewa na watu wasiojua raha ya ngono, nyie ni wajinga kabisa.Hata wasipoandika tumesomewa makanisani leo nchi nzima.
Waandike wasiadike leo umesomwa makanisani kote hivyo habari zimewafikia watu wengi zaidi kuliko kama zingekuwa kwenye vipeperushi vya napeJana kulikuwa na tetesi kuwa vyombo vyote vya habari vimepewa amri ya kutoandika habari za waraka wa TEC.
Haiwezi kuwa coincidence, yoooote yasiandike. Ni kweli Nape aliyapa maagizo ya kutoandika.
Jana kulikuwa na tetesi kuwa vyombo vyote vya habari vimepewa amri ya kutoandika habari za waraka wa TEC.
Haiwezi kuwa coincidence, yoooote yasiandike. Ni kweli Nape aliyapa maagizo ya kutoandika.
Hakuna watu wanafiki kama wale kila mtaa Wana vimada wamewazalisha, asa kama wameweza kudanganya Hadi nafsi zao watashindwa kupiga propaganda hawa?Mmesomewa na watu wasiojua raha ya ngono, nyie ni wajinga kabisa.
Waambie wapite wanasoma kila nyumba na hakuna kitachobadilika DP world must come soon.Waandike wasiadike leo umesomwa makanisani kote hivyo habari zimewafikia watu wengi zaidi kuliko kama zingekuwa kwenye vipeperushi vya nape
Kwani mkataba wa bandari unahusu ngono?Mmesomewa na watu wasiojua raha ya ngono, nyie ni wajinga kabisa.
Hahaa[emoji23][emoji23] wewe mafuta sio bureMmesomewa na watu wasiojua raha ya ngono, nyie ni wajinga kabisa.
Wekeni kwenye maombi muwe mnaomba kila jumapiliWaandike wasiadike leo umesomwa makanisani kote hivyo habari zimewafikia watu wengi zaidi kuliko kama zingekuwa kwenye vipeperushi vya nape
BREAKING: Kampuni moja ya habari inaturipotia kwamba, Waziri Nape Nnauye Amepiga simu mwenyewe, simu ya vitisho kuvionya baadhi ya vyombo vya habari, TV, Radio na Magazeti kutokuandika chochote kuhusu TAMKO LA BARAZA LA MAASKOFU KATOLIKI TANZANIA (TEC).Jana kulikuwa na tetesi kuwa vyombo vyote vya habari vimepewa amri ya kutoandika habari za waraka wa TEC.
Haiwezi kuwa coincidence, yoooote yasiandike. Ni kweli Nape aliyapa maagizo ya kutoandika.