Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
Nini maana ya huu uzi?Nani kalalamika?...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nini maana ya huu uzi?Nani kalalamika?...
Hahaha kumbe hata bichwa la habari hujalisoma?Nani kalalamika?...
Kweli Kabisa,Bahati nzuri wasomaji wenyewe wa hayo magazeti kwa sasa wanahesabika. Hivyo hakuna athari yoyote ile hata wasipoandika.
Hilo lisikupe shida kabisa, umesikia kuhusu mapapai?TV Imaan imeshaanza kuutangaza. Nina uhakika kila muislam atausikia.
Kwani wakiandika kuna athari ipi?Bahati nzuri wasomaji wenyewe wa hayo magazeti kwa sasa wanahesabika. Hivyo hakuna athari yoyote ile hata wasipoandika.
Ninyi mliosomewa sala ya waraka ni 5%-9% ya watanzania,ukitoa wale wenzangu na mie wavivu wa ibada,no impact at all.Hata wasipoandika tumesomewa makanisani leo nchi nzima.
Ajuza hujachelewa..rudi shule...mwandishi anatoa taarifa wewe unasema analalamika...Hahaha kumbe hata bichwa la habari hujalisoma?
Rekebisheni haraka kasoro za huo mkataba wenu kabla ya mambo kuharibika kabisa. Ifikie wakati mtofautishe kati ya dini na maslahi ya Taifa.Kwani wakiandika kuna athari ipi?
Watu tupo busy na mageuzi ya kiuchumi tanayojadiliwa Arusha saa hizi.
Amri kutoka kwa Nape NnauyeJana kulikuwa na tetesi kuwa vyombo vyote vya habari vimepewa amri ya kutoandika habari za waraka wa TEC.
Haiwezi kuwa coincidence, yoooote yasiandike. Ni kweli Nape aliyapa maagizo ya kutoandika.
Mbwa mwenyewe na ukoo wako woteWe mzee acha uongo lofa we, hiyo kampuni imekuripotia wewe peke yako, mbwa kasoro mkia.
Magazeti ni mtindo wa kizamani sana mHata wasipoandika tumesomewa makanisani leo nchi nzima.
Waliotoa hiyo amri wamejosa maarifa. Shida ya kuwapa uwaziri watu ambao wana upeo mdogo.Jana kulikuwa na tetesi kuwa vyombo vyote vya habari vimepewa amri ya kutoandika habari za waraka wa TEC.
Haiwezi kuwa coincidence, yoooote yasiandike. Ni kweli Nape aliyapa maagizo ya kutoandika.
Nape na Balile ni watu hatari sana katika tasinia ya Habari. Hasa Nape hafai hata kuheshimiwa.Jana kulikuwa na tetesi kuwa vyombo vyote vya habari vimepewa amri ya kutoandika habari za waraka wa TEC.
Haiwezi kuwa coincidence, yoooote yasiandike. Ni kweli Nape aliyapa maagizo ya kutoandika.