Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuliza kishundu hicho wanaume tuko kaziniNyie ni wajinga sana. Mnasema waraka unesomwa makanisani alafu mnakuja hapa mnalalamika magazeti hayajaandika. Hivi nyie watu mna akili kweli? Au ndo kuchanganyikiwa huku?
Hapa karibu yangu Kuna ustadh ameomba nimrushie waraka Wa TEC na nimefanya hivyo .Kanuni kuu ya kuhabarisha ni kuwa, kwa kadri unapozuia habari ya muhimu isiwafikie watu, ndivyo habari hiyo inavyokuwa bidhaa muhimu ya kutafutwa na watu wengi zaidi na mwisho wa siku watu wengi wataipata.
Huo sio uanaume ni ujingaTuliza kishundu hicho wanaume tuko kazini
Sisi tumeupata waraka ibadani leo,waumini wote wameshangilia kwa nderemoJana kulikuwa na tetesi kuwa vyombo vyote vya habari vimepewa amri ya kutoandika habari za waraka wa TEC.
Haiwezi kuwa coincidence, yoooote yasiandike. Ni kweli Nape aliyapa maagizo ya kutoandika.
Catholic huwa hatutegemei vyombo hivyo vya habari kutufikishia ujumbe popote pale, tuna utaratibu wetu wa kuwasiliana na kufikisha ujumbe popote.Jana kulikuwa na tetesi kuwa vyombo vyote vya habari vimepewa amri ya kutoandika habari za waraka wa TEC.
Haiwezi kuwa coincidence, yoooote yasiandike. Ni kweli Nape aliyapa maagizo ya kutoandika.
Bora umesaidia kumjibu huyo jamaa akili yake fyatu kabsaKwani mkataba wa bandari unahusu ngono?
Wewe mjuaji wa raha ya ngono jiue basi ukapate mabikira 70 ungonoke mpaka basi.Mmesomewa na watu wasiojua raha ya ngono, nyie ni wajinga kabisa.
Kwa siku kama sijakosea kila mkoa upata magezeti hayazidi 500, sasa kipi bora gazeti au jumuiya/kanisa, serikali inajidanganyaHujaandika magazetini lakini waraka umesomwa kanisani kila misa, kuanzia kwenye jumuia,kigango,parokiani hadi jimboni hiyo ni zaidi ya magazeti mjomba!!
Nipashe wameandika
Si wangetumia Redio Maria kusambaza sumu.
Mbona wakati Magufuli anatuibia kura kitudhulumu TEC walikuwa kimya
Kelele za waganga njaa haziwezi kuzuia shughuli za bandari kuboreshwa nyie pigeni kelele zote.Wakaribishe kwa mamako na mmeo wawashughulikie kiarabu
Hawajawahi kukaa kimya labda kama umezaliwa jana, Askofu aliyenyanganywa pasport hivi alikuwa nani? aliyekemea utumbuaji usio na staha unakumbuka alikuwa nani? Vuta kumbukumbu Mkuu utanipa jibu, Askofu Bagonza umemsahau mara hii? Unakumbuka walimuita magufuri kupa honyo kuhusu mauaji horela akagoma kwenda huko tec.Mbona wakati Magufuli anatuibia kura kitudhulumu TEC walikuwa kimya