Twin Tower
JF-Expert Member
- Jan 13, 2023
- 2,170
- 3,067
Mie nitaugawa katika vijiwe vya bodaboda na bajaji. [emoji3][emoji3][emoji3]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo nayo ni Habar ya mpaka kuandika. Kikosi cha wezi wa Escrow wanatoa tamko na yenyewe iwe habar ya maaanaJana kulikuwa na tetesi kuwa vyombo vyote vya habari vimepewa amri ya kutoandika habari za waraka wa TEC.
Haiwezi kuwa coincidence, yoooote yasiandike. Ni kweli Nape aliyapa maagizo ya kutoandika.
Suluhisho amelindika Askofu mwamakula
View attachment 2723015
Leo hulali, kuna kitu kimekukaba kutoka kwenye waraka huuHiyo nayo ni Habar ya mpaka kuandika. Kikosi cha wezi wa Escrow wanatoa tamko na yenyewe iwe habar ya maaana
Cha muhimu ujumbe umefika kwa watanzania.Jana kulikuwa na tetesi kuwa vyombo vyote vya habari vimepewa amri ya kutoandika habari za waraka wa TEC.
Haiwezi kuwa coincidence, yoooote yasiandike. Ni kweli Nape aliyapa maagizo ya kutoandika.
Suluhisho amelindika Askofu mwamakula
View attachment 2723015
Povu hiloNani shoga?
Hatuna hizo za kulalamika nadhani historia hamsomi TEC ilianza kuwa imara hata wakati wa mwalimu.Mbona hamsemi shule ngapi zilitolewa na TEC kuwa public je hamuoni hapo wakristo walidhulumika.Magazeti yamefanya Jambo la msingi Kabisa haya Tec nendeni mkashitaki Vatican
Kama nipumba mbona mnajadili?Gazeti gani litaandika PUMBA za TEC. These TEC guys are confused and outdated. KAMA TEC wangeandika waraka wa kupinga ushoga na ulawiti wa watoto unaofanywa na mapadri wao ningekuwa mtu wa kwanza kuwapongeza!
tuna serikali ya hovyo sanaJana kulikuwa na tetesi kuwa vyombo vyote vya habari vimepewa amri ya kutoandika habari za waraka wa TEC.
Haiwezi kuwa coincidence, yoooote yasiandike. Ni kweli Nape aliyapa maagizo ya kutoandika.
Suluhisho amelindika Askofu mwamakula
View attachment 2723015
Serikali haiwezi pambana na wananchi wake,hasa wananchi wakiamuaAugust Imekuwa Ngumu Na Chungu Hasa Kuhusu Dubai Port World
Tutaficha Wapi Sura Zetu, Ila Sasa Jambo Limezua Jambo
Magazeti Hayajaandika Lolote Kuhusu Waraka Wa TEC
Sasa TEC Wenyewe Wameupeleka Huo Waraka Sehemu Ambako Gazeti Haliwezi Kufika
Na Endapo Gazeti Likifika Ni Baada Ya Mwezi Na Wananchi Hawawezi Kulinunua
TEC Wao Wana Vishwambi Wamerushiana Tanzania Yote Haa Haa
Waraka umefika Leo Jumapili vizuri Hadi ngazi ya shida(jumuiya)
Uzuri wake tumepewa Hadi photocopy ya waraka
Sasa ndio umefika kwenye familia.
Tunasimama na viongozi wetu.
Mkitiana nyie mkaambukizana gono itapendeza zaidi si nyie mnafanya ngonoKwa hiyo unataka wakutie wewe?
Bangi na gongo ni mfano, nakubaliana na wewe.. makundi ya watsap mengi tu yamsambaza. Na watu wanasoma habari kupitia watsap kuliko magazetiKanuni kuu ya kuhabarisha ni kuwa, kwa kadri unapozuia habari ya muhimu isiwafikie watu, ndivyo habari hiyo inavyokuwa bidhaa muhimu ya kutafutwa na watu wengi zaidi na mwisho wa siku watu wengi wataipata.
Hapo chacha, watu hawakatai uwekezaji tatizo mkataba kandamizi upande wetu watanganyika.Msigwa alishawapa mgao, sio ishu...
Hoja kuu zinazohitaji majibu ni hizi hapa
1.) Tofauti ya ‘Makubaliano’ na ‘Mkataba’ ni ipi hasa kiasi mseme ule sio mkataba, kwamba ni makubaliano tu ya awali, na je Mkataba huo (makubaliano hayo) ni wa miaka mingapi? (UKOMO)
2.) Ni kwa faida ya nani kwamba DPW anapewa haki ya bandari zote za Tanganyika, kwamba hakuna mwekezaji mwingine yeyote anaweza kuja kufanya uwekezaji kwenye bandari za Tanganyika bila udalali wa DPW, je, ukiritimba huu ni kwa faida ya nani?
3.) Ni kwa faida ya nani, DPW apewe haki ya kudai kipande chochote cha ardhi yenye ukubwa wowote anaoutaka yeye ndani ya ‘Territory’ ya Tanganyika na sisi tumpe ardhi hiyo kwa kuondoa watu na miradi yote ndani ya eneo alilolitaka, na tumpatie bire kabisa kwa gharama zetu sisi, hata fidia tulipe sisi ili kuondoa watu kumpisha, huu uwendawazimu ni kwa faida ya nani?
4.) Ni kwa faida ya nani, kwamba sisi tuliowekeza matrillion ya mikopo kuendeleza bandari na tukiwa kama wamiliki wa rasimali ya bandari, tupate 0% ya faida itakayotokana na uendeshaji wa huduma za kibandari, yaani ni kana kwamba yeye kawekeza 100% na hivyo achukue 100%? Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
5.) Ni kwa faida ya nani, kwamba mkataba unahusisha bandari za Tanganyika tu na sio za Zanzibar, ilihali bandari ni suala la Muungano? Je, Zanzibar haitaki kunufaika au yenyewe haitaki matunda ya mkataba huu? Ukizingatia walioongia huu mkataba wote ni waZanzibari, kuanzia Samiah Suluhu Hassan, Makame Mbarawah, Hamza Johari na wenzao, kwamba hawataki Zanzibar yao ipate matunda mazuri ya mkataba huu?!
6.) Ni kwa faida ya nani kusema kwamba, hata DPW akavunja mkataba na kukiuka kanuni na taratibu zote zinazotambulika kimataifa, bado hatutaweza kuvunja , kuusema vibaya au kujitoa kwenye mkataba, milele! Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
7.) Ni kwa faida ya nani kwamba pamoja na kuwa DPW watachukua 100% ya faida, bado tena faida hiyo watapewa Msamaha wa kodi kwa 100%, yaani hata hicho wanachovuna nacho hatuchukui kodi, na wakti huo huo tunakamuliwa kodi za miamala, uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?