Lusungo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 28,259
- 41,416
Dini yenu mnawazia ngono tu ndio maana mko watu wa hovyo sana!Mmesomewa na watu wasiojua raha ya ngono, nyie ni wajinga kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dini yenu mnawazia ngono tu ndio maana mko watu wa hovyo sana!Mmesomewa na watu wasiojua raha ya ngono, nyie ni wajinga kabisa.
Lakini bado mnalalamika upuuzi wa Tec haujaandikwa ktk hayo magazeti ya makabwela na vifungashio vya dagaa.Siku hizi Magazeti yanasomwa na makabwela na kofungia dagaa
Hakuna mtu anae pinga uwekezaji. Ila tunapinga baadhi ya vifungu katika mkataba wa makubalianoWaambie wapite wanasoma kila nyumba na hakuna kitachobadilika DP world must come soon.
uzuri watanzania hadi vijijini kuna simu za smart, hivyo wanapata kila kinachoendelea kwa instagram na whatsapp, na facebook. siku hizi magazeti hayana dili, mimi sijasoma gazeni nina miaka 5 na sihitaji kwasababu kile nitakachokisoma nimeshakisoma tayari mitandaoni. ccm hawajajua nguvu ya mitandao na watakuja kujua baadaye sana wakiwa wamechelewa.Jana kulikuwa na tetesi kuwa vyombo vyote vya habari vimepewa amri ya kutoandika habari za waraka wa TEC.
Haiwezi kuwa coincidence, yoooote yasiandike. Ni kweli Nape aliyapa maagizo ya kutoandika.
TEC ni takataka fulani tu hawana impact .....
Wala hilo si tatizo! Taarifa ishafika panapostahili.Jana kulikuwa na tetesi kuwa vyombo vyote vya habari vimepewa amri ya kutoandika habari za waraka wa TEC.
Haiwezi kuwa coincidence, yoooote yasiandike. Ni kweli Nape aliyapa maagizo ya kutoandika.
hawezi kuja, akija yatatimiaWaambie wapite wanasoma kila nyumba na hakuna kitachobadilika DP world must come soon.
Ni TEC na KKKT tu kipindi cha uongonzi wa Magufuli waliweza kuongea na kumkemea.Mbona wakati Magufuli anatuibia kura kitudhulumu TEC walikuwa kimya
Bora ujinga naweza elimika kuliko ushoga hauna marekebusho utabaki kuwa kitafunwa hadi unaingia kaburini.Huo sio uanaume ni ujinga
Wale wote ni University graduates with bachelor, Masters and PhDs!Waandike ile takataka ya TEC ?
Bahati mbaya mimi mara ya mwisho kusoma gazeti ni 2016, waandike wasiandike ujumbe umefika kwa kasi snJana kulikuwa na tetesi kuwa vyombo vyote vya habari vimepewa amri ya kutoandika habari za waraka wa TEC.
Haiwezi kuwa coincidence, yoooote yasiandike. Ni kweli Nape aliyapa maagizo ya kutoandika.
Suluhisho amelindika Askofu mwamakula
View attachment 2723015
Sio kweli, wanaijua sana raha ya zinaa hao jamaa ndo mana hawaoiMmesomewa na watu wasiojua raha ya ngono, nyie ni wajinga kabisa.
Kwa hiyo unataka wakutie wewe?Wamesoma makada na makatibu wa CCM ambao wanaugua gono sasa hivi kwa ngono
Nani shoga?Bora ujinga naweza elimika kuliko ushoga hauna marekebusho utabaki kuwa kitafunwa hadi unaingia kaburini.
Unajisahaulisha wakati dunia mzima inajua mapadri ndio wanalawiti.watoto.makanisaniWewe mpumbavu hujauliza Kwanini masheikh wenu wanabaka na kulawiti watoto kwenye miskiti?.
Bahati nzuri wasomaji wenyewe wa hayo magazeti kwa sasa wanahesabika. Hivyo hakuna athari yoyote ile hata wasipoandika.
BREAKING: Kampuni moja ya habari inaturipotia kwamba, Waziri Nape Nnauye Amepiga simu mwenyewe, simu ya vitisho kuvionya baadhi ya vyombo vya habari, TV, Radio na Magazeti kutokuandika chochote kuhusu TAMKO LA BARAZA LA MAASKOFU KATOLIKI TANZANIA (TEC).