Magenge ya utapeli Tanzania: Tupe stori kama umekumbana na kadhia zao

Magenge ya utapeli Tanzania: Tupe stori kama umekumbana na kadhia zao

Kuna jamaa alikuwa amepiga hatua sana kwenye biashara huko Mbeya, matapeli wakaanza kumchekecha zaidi ya miaka miwili.
Cha kwanza wakamuamisha Mbeya wakamleta Dsm, na biashara akabadili..
Wakaanza kumkopesha mzigo mpka wa mil 200,siku anakuja kupigwa aliliwa zaid ya mil 500..
Saiz hana kitu anapiga mpka mizinga ya buku 10. Ila huko Mbeya waswahili wanadai alikosea masharti [emoji3][emoji3] wengine et mganga wake kafa.
Duh hii staili hata uwe Genius kiasi gani lazima unase
 
Nimetoka kupigwa 2.85M wiki iliyopita. Tukio notasimilia siku nyingine nikisha deal nao. Naona kuna watu ugali eso utamwagika hapa maana inasemekana polis wanna taatifa zao.
 
Nimetoka kupigwa 2.85M wiki iliyopita. Tukio notasimilia siku nyingine nikisha deal nao. Naona kuna watu ugali eso utamwagika hapa maana inasemekana polis wanna taatifa zao.
Duh pole sana mkuu,hiyo ni mtaji tosha
 
Kuna jamaa anaitwa Ephraimu k lusonga ni tapel huyu jamaa acha kabisa usiombe kukutana nae
 
Duh asee nimetoka kulizwa na jamaa kwenye mitandao ya simu...hapa sijui naanzia wapi maan kwa niliyoyasikia mpk sasa kwa wadau,,hakuna aliyefanikiw na kuwezesha kupat haki yake...ili hali naona kuna mamlaka inayoshughulika na suala hili na sijawahi kusikia chochote kimefanyika juu ya hawa matapeli.dah maisha ni magum na bado upate ugum wa kupamban na matapeli.
Toa story umelizwaje
 
Kwa wanaosaka ajira sina cha kuwalaumu,maisha magumu sana wako njia panda ni rahisi sana kuwapiga maskini ya Mungu.

Ila hawa wa kwenye maisha ya kawaida,hapana kwakweli.tulizeni akili jamani.

Alikuja jamaa kijiweni kwetu akasema anaunga vifurushu vya internet bila kikomo kwa elfu 15,[emoji28][emoji28]mimi kupewa taarifa nikabisha maana huwa mjuaji sana kwa kawaida.jamaa yangu akanitoa hofu na kunionyesha applications mbili ambazo jamaa huziweka kwenye simu yako,kisha kuingiza code ambazo yeye huziita pin kutoka kwa sever za boss wake[emoji16][emoji16],nikalainika.kumbuka kwamba taarifa hapa napewa na jamaa yangu ambaye kwa wakati huo anaperuzi kwa kasi ya 4g,mhusika keshaondoka.

Nikamkubalia jamaa kwamba ampigie jamaa huyo na kumweleza nia yangu,tunamcheki jamaa anauliza nyie akina nani,sisi-tunataka huduma yako ya vifurushi.akakataa hafanyi hiyo kazi[emoji16]nikamtizama jamaa kwa ishara kwamba baba umepigwa.
Lisaa mojabele na intenet ikakata[emoji1][emoji1].
 
Iripoti fasta kupitia 15040 .. Shiriki hii kanpeni ya kutokomeza utapeli mitandaoni kupitia mawasiliano ya simu
Shukran mkuu yani Kama Mungu nasoma uzi huu Kuna boya kanipigia kadai mhudumu wa voda .nmemlipoti now namba yake+255672703002
 
Toa story umelizwaje
Ilikuwa ivi asee,,,mtu mzma mwenye hekima zake zote kafika kwenye ofisi yangu ya huduma za kifedha akitaka kutoa pesa...ila kabla alikuja na story kadhaa ooh ndugu ofisi yako nzur ila ingependez uweke hiki na hiki ili iwe bora zaidi nikamsikiliza vizuri sna na nikamjib ushauri wako mzuri ntaufanyia kazi...sasa akasema nahitaj kutoa pesa kiasi cha laki 3 sijui makato saivi yakoje..nikamjib wanakata kiasi fulani akasikitika san ,,basi nikaona anapiga simu anaongea na mtu nitumie basi hiyo hela nitumie hiyo hela makato ni kiasi fulani ,,kakaa kam dk 1 akaniuliza ivi una namba ya voda anitumie kwa namba yako..nikamjib ndio basi niandikie na jina lako nimtumie,nikasema sio kesi acha atume tu si ntaitoa mwenyewe hapa hap ofisi bana..hakuna shida...dah basi mzee kamtumia namb yangu na jina,,,ghafla hela ikaingia nusu km laki 2 na elf8,,nikamwambia mbona katuma kidgo akapiga sim kuongea naye anamwambia ebana tuma hela yote mi nadaiwa rafiki ang,,kweli jamaa akatuma yote iliyobaki lak1 na elf2...nikamwambia mzee tayari katuma yote ipo hapa laki3 na elf10. ...basi mi nikaanza process za kuichomoa hela ,,wakt huo hela yake laki3 ipo mkononi nimeishika sijampa ...sasa wakti nafanyia process ya kuitoa nikaona aahh huyu mzee ngoja nimpe hela yake tu niitoe tu hapa taratibu..basi mzee kaondoka km dk 1 naingiza kiasi naona sms kiasi cha laki 1 kimerudishwa...dah nkastuka nikatoa haraka haraka palepale nkaingiza laki 2 iliyobaki kweny akaunti...coz natumia smartphone ilidisplay sms juu...ndio maana nikafanikiwa kuona hiyo sms ya kurudishwa kwa muamala huo...kweli nikafanikiwa kuokoa laki 2,,laki moja jamaa akafanikiwa kuirudisha...dah kwnza nikala pozi kwa dakika kadhaa nikimtafakari yule mzee ni mtu mzma sana akosi 55 naah yule...nikaanza kuuliza majirani zangu wakasema wanamuonaga sehem fulani anapenda kukaa tu...basi nikawaambia kanitapeli hapa uyo mzee km laki 1 wakasikitika tu basi, sasa kuhus wanamuonaga sehem fulani nikaenda kuuliza wakasema anakujaga hapa basi hatujui anapokaa...nikaenda voda kufatilia namba ile iyotuma pesa kwangu...nikagundua huyu mtu hakua mbali na hay maeneo, kozi aliweka pesa kwa wakal mwngine ndio akaja kwangu kuitoa kupitia namba yangu binafsi....

KOSA Kwangu:
Kukubali aondoke kabla hela sijaitoa yote..pili kuruhusu mm km wakal kutumia namb yang binafsi kutumiwa pesa ,tatu kumpatia pesa kabla sijamaliza kutoa pesa.
USHAURI:
Ww kama wakal sehem yoyote ulipo USIMUAMINI mtu yoyote yule akija ofisini kwako...mbinu matapeli wanatumia ni nyingi sana...na wengine wanatumia mbinu za zamani baada ya kukusoma uelekeo wako katik biashara hii...mwngne anaweza kuja kwako kupata huduma akiwa ana nia ya kutapeli lakin akagundua udhaifu ulipo akatumia kama fursa ya kuja tena siku ingne kukutapeli..

Pia mwisho namalizia kusema makosa binadam tunafanya mengi san ila ndio mwanzo wa kujifunza..
Ni hayo tu kwa herini.
Toa story umelizwaje
 
Kwa wanaosaka ajira sina cha kuwalaumu,maisha magumu sana wako njia panda ni rahisi sana kuwapiga maskini ya Mungu.

Ila hawa wa kwenye maisha ya kawaida,hapana kwakweli.tulizeni akili jamani.

Alikuja jamaa kijiweni kwetu akasema anaunga vifurushu vya internet bila kikomo kwa elfu 15,[emoji28][emoji28]mimi kupewa taarifa nikabisha maana huwa mjuaji sana kwa kawaida.jamaa yangu akanitoa hofu na kunionyesha applications mbili ambazo jamaa huziweka kwenye simu yako,kisha kuingiza code ambazo yeye huziita pin kutoka kwa sever za boss wake[emoji16][emoji16],nikalainika.kumbuka kwamba taarifa hapa napewa na jamaa yangu ambaye kwa wakati huo anaperuzi kwa kasi ya 4g,mhusika keshaondoka.

Nikamkubalia jamaa kwamba ampigie jamaa huyo na kumweleza nia yangu,tunamcheki jamaa anauliza nyie akina nani,sisi-tunataka huduma yako ya vifurushi.akakataa hafanyi hiyo kazi[emoji16]nikamtizama jamaa kwa ishara kwamba baba umepigwa.
Lisaa mojabele na intenet ikakata[emoji1][emoji1].
Hatare
 
Ilikuwa ivi asee,,,mtu mzma mwenye hekima zake zote kafika kwenye ofisi yangu ya huduma za kifedha akitaka kutoa pesa...ila kabla alikuja na story kadhaa ooh ndugu ofisi yako nzur ila ingependez uweke hiki na hiki ili iwe bora zaidi nikamsikiliza vizuri sna na nikamjib ushauri wako mzuri ntaufanyia kazi...sasa akasema nahitaj kutoa pesa kiasi cha laki 3 sijui makato saivi yakoje..nikamjib wanakata kiasi fulani akasikitika san ,,basi nikaona anapiga simu anaongea na mtu nitumie basi hiyo hela nitumie hiyo hela makato ni kiasi fulani ,,kakaa kam dk 1 akaniuliza ivi una namba ya voda anitumie kwa namba yako..nikamjib ndio basi niandikie na jina lako nimtumie,nikasema sio kesi acha atume tu si ntaitoa mwenyewe hapa hap ofisi bana..hakuna shida...dah basi mzee kamtumia namb yangu na jina,,,ghafla hela ikaingia nusu km laki 2 na elf8,,nikamwambia mbona katuma kidgo akapiga sim kuongea naye anamwambia ebana tuma hela yote mi nadaiwa rafiki ang,,kweli jamaa akatuma yote iliyobaki lak1 na elf2...nikamwambia mzee tayari katuma yote ipo hapa laki3 na elf10. ...basi mi nikaanza process za kuichomoa hela ,,wakt huo hela yake laki3 ipo mkononi nimeishika sijampa ...sasa wakti nafanyia process ya kuitoa nikaona aahh huyu mzee ngoja nimpe hela yake tu niitoe tu hapa taratibu..basi mzee kaondoka km dk 1 naingiza kiasi naona sms kiasi cha laki 1 kimerudishwa...dah nkastuka nikatoa haraka haraka palepale nkaingiza laki 2 iliyobaki kweny akaunti...coz natumia smartphone ilidisplay sms juu...ndio maana nikafanikiwa kuona hiyo sms ya kurudishwa kwa muamala huo...kweli nikafanikiwa kuokoa laki 2,,laki moja jamaa akafanikiwa kuirudisha...dah kwnza nikala pozi kwa dakika kadhaa nikimtafakari yule mzee ni mtu mzma sana akosi 55 naah yule...nikaanza kuuliza majirani zangu wakasema wanamuonaga sehem fulani anapenda kukaa tu...basi nikawaambia kanitapeli hapa uyo mzee km laki 1 wakasikitika tu basi, sasa kuhus wanamuonaga sehem fulani nikaenda kuuliza wakasema anakujaga hapa basi hatujui anapokaa...nikaenda voda kufatilia namba ile iyotuma pesa kwangu...nikagundua huyu mtu hakua mbali na hay maeneo, kozi aliweka pesa kwa wakal mwngine ndio akaja kwangu kuitoa kupitia namba yangu binafsi....

KOSA Kwangu:
Kukubali aondoke kabla hela sijaitoa yote..pili kuruhusu mm km wakal kutumia namb yang binafsi kutumiwa pesa ,tatu kumpatia pesa kabla sijamaliza kutoa pesa.
USHAURI:
Ww kama wakal sehem yoyote ulipo USIMUAMINI mtu yoyote yule akija ofisini kwako...mbinu matapeli wanatumia ni nyingi sana...na wengine wanatumia mbinu za zamani baada ya kukusoma uelekeo wako katik biashara hii...mwngne anaweza kuja kwako kupata huduma akiwa ana nia ya kutapeli lakin akagundua udhaifu ulipo akatumia kama fursa ya kuja tena siku ingne kukutapeli..

Pia mwisho namalizia kusema makosa binadam tunafanya mengi san ila ndio mwanzo wa kujifunza..
Ni hayo tu kwa herini.
Da mzee katika ubora wake
 
mtu anataka mwenyewe kutapeliwa bwana....maana ata hao matapeli huwa wanaangalia na mtu mwenyewe wa kumtaperi...kuna wengine mnajirahisi sana kwa matapeli hadi mnawapa nafasi...pole sana rafiki yangu
 
Ushuhuda wangu kwenye utapeli,nilitapeliwa 4,500 TZS

Nakumbuka after chuo ile kuapply kazi , kuna post niliiona nikavutiwa kuapply, few days later nikaona email nimekua shortlisted for an interview na itafanyikia posta,i was excited ila nilishangaa hiyo interview eti itakua na part ya Refreshment yaani ni coffee sijui so tunatakiwa kutuma just 4,500/= kabla ya siku hiyo mmh nilisita ila home wakasema we tuma mbona ni kiasi kidogo tu basi nikatuma na nikaanza kujiandaa na nondo za interview 🤪 siku ikafika mapema nipo Posta nikakuta watu kibao nikiwauliza wanasema ni hiyo interview na wameshatuma hizo 4,500/= kama waliambiwa , basi tukaendelea kusubiri tunaona mda wa interview umefika ila ofisi hata haijafunguliwa wapo walinzi tu mmh, tukawauliza leo kuna interview hapa mbona kama hatuelewi eh walinzi wanashangaa na wanasema hawana taarifa yoyote kama kungekua na interview leo. Basi kuwapigia simu sasa hawapokei. Ndiyo tukajua tumetapeliwa. Nilimind kupotezewa muda na ila huruma wengine walikua wametoka mbali Bukoba, Mwanza huko nauli+accomodation ,dah fresh gradutes tunapitia magumu, na walipata pesa nyingi tu maana ni kiasi kidogo sawa ila kwa watu wengii😬

Now nimekua over conscious hata mtu aniambie lete buku tu tukusaidie nini nampiga mkwara namreport TCRA ni tapeli 😀😃
Umenikumbusha wakati dogo kamaliza chuo anatafuta pa kujishikiza...sasa kuna graduate mwenzao akajulishwa na maza mmoja anamfahamu kuwa Pepsi wametoa ajira so atafute wenzake ili huyo maza akawasaidie kupata hizo nafasi.

Huyo graduate akaanza kuwapigia wenzake anawa-connect na yule maza. Then yule maza anapopigiwa na kila graduate aliyekuwa connected basi anawaambie kila mmoja atoe 20k ili yeye akampoze HR isaidie wao kupata nafasi kirahisi.

Haikuwa rahisi kwa wao kujua kama wanapigwa maana aliye wa-connect ambaye ni graduate mwenzao aliwahakikishia kuwa huyo maza anamfahamu.

Kimbembe kikaja kuwa huyu maza kila alipokuwa akitumiwa hiyo 20k anamwambia mhusika naye atafute wenzake wawili na wawahi kwani nafasi ni chache.

Alipozikusunya 20k za kutosha...akatoka hewani. Ha ha ha, ndipo vijana waliokuwa desperate kupata ajira baada ya ku graduate ndiyo wanagundua kuwa wamepigwa. Aliyewa connect naye akabakia kushangaa tu asijue la kufanya. Wakawa wamepigwa kwa style hiyo.
 
Dah acheni tu haya maisha ..Yani mtu anakupiga na bila huruma anapotea dah..!! Hapa jf kuweni makini sana aise..
 
Matapeli bana, eti anajifanya yeye ni kamishna wa polisi na ana siku chache sana kabla hajastaafu Ila serikali imempa mchongo mwingine wa yeye kuwa mkuu wa usalama katika mradi wa ujenzi wa bomba la mafuta huko Tanga. So amepewa nafasi mbili za kutafuta madereva! Ili kuipata hiyo nafas akataka laki tatu na nusu Ila kwanza apewe laki, halafu nyingine itafuata. Basi bana tulikuwa Mimi na mwenzangu, jamaa yangu akanishawishi nikaingia king. Tukatoa laki laki! Baada ya hapo lile tapeli likawa linafos limaliziwe kiasi kilichobaki. Mmh nikaanza kupata wasiwasi, nilarudi nyuma! Mwenzangu akamalizia 250k iliyobaki. Mpaka Leo jamaa kapotea!
Mbona mmetapeliwa kikuda hvyo 😄😄😄
 
Back
Top Bottom