Magenge ya utapeli Tanzania: Tupe stori kama umekumbana na kadhia zao

1. Papa Msofi
2. Ndama mtoto ya Ng'ombe
3. Mzamiri Katunzi
4. Jack Pemba!

Hawa watu kaa nao mbali sana,unapigwa pesa huku unajiona!
Papa Msofe walikua na ofisi ya Madini Mtaa wa Allykhan Upanga,wako vizuri mno ukiingia kwenye anga huchomoki
 
Ukiwa mtu wa kupenda kubishana Kwa hoja kutapeliwa ni vingum Sana maana matapel hawa pend watu wanao jifanya wajuaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…