Mageuzi kiteknolojia katika Ulinzi wa Rais Trump


Naona ktk video mara kadha kidole gumba na vidole vingine vya bodyguard vikiwa vinaonesha kukunjwa . Nadhani ni pozi lake adrenalin ikiwa juu kujitayarisha kumnyakua first lady kukitokea tishio pia kwa ajili ya wepesi wa kutoa silaha ndani ya koti lake kama itabidi kufanya hivyo au pia kuvuta uzi kufyatua moshi mzito kama wa kwenye fiesta za bongo utakaozuia Rais na First lady kuonekana kirahisi ktk harakati za kuwaondoa eneo hatarishi kama itatokea haja hiyo.
 
Hayuko peke yake Yupo na Mdada pembeni mwa jamaa (kushoto kwake)..
nae pia mkono wa kushoto una move lkn wa kulia uko vilevile (bandia).
Mkono halisi upo ndani bila shaka.
 
Hayuko peke yake Yupo na Mdada pembeni mwa jamaa (kushoto kwake)..
nae pia mkono wa kushoto una move lkn wa kulia uko vilevile (bandia).
Mkono halisi upo ndani bila shaka.
 
Ukitaka kujua kama mkono ni wake angalia size ya kichwa chake ,hivi vitu huwa vinaendana

Ni mbinu mpya niliyoigundua baada ya kumwangalia jamaa [emoji38]
 
Ameshika sub machie gun dani ya koti.
 
Mbona huo ulinzi niwakizani Saana, au haujawai kuitazama move ya Antonio berderese
 
SS ni nani?
 
Wangejilinda wasife au ningewaona wajanja ...
 
I salute you Sir!
 
kabla ya siku yenyewe watu wa usalama lazima kuangalia na kujaribu kuotea nini kinaweza kutokea, tazama zoezi hili
 
nmejaribu kuiangalia video naona ni mikono yake ila yuko well trained...wanajamvi naombeni muangali video kuanzia 2:47 - 2:55 mtaona mikono inamove kidogo.....au ni macho yangu mabovu.......
Ni kweli, ilikuwa inataka kurudishia koti. Ile mikono aieleweki lakini inacheza
 
Ni mikono yake halisi.. ukiangalia kwa makini utaona kuna movement inafanya hiyo mikono.. kuanzia dakika ya 2. Na kuendelea..
Mimi najiuliza kwa style hii. Kweli viwanda vitafunguliwa kweli. Maana watu wengi fikra zao zina waza tofauti na system ya viwanda

Na ndio maana trump [emoji448] anatusema waafrika na Waarabu
 
Haha hamna cha fake hands wala nini, tizameni video yote ya parade ya trump siku ya inauguration! Kuna video yenye 1:28:03; ukianza dakika ya 44-47 ndio utaelewa vyema! Hiyo ni mikono yake halisi!
 
Huo ni mpango uliofeli mpaka mimi najua bodguard ana mikono fake? Haina haja tena ya kuitumia
 
Ni kweli mkuu kila mtu ananamna yake ya kujiposition kutokana na situation! Jamaa alikua karibu kabisa na anaowalinda na ukizingatia factors nyingi kama wingi wa watu, kutokubalika kwa trump na watu wengi ilikua lazima ajiandae haswa kwa lolote! Yeye aliona better kuwa vile! Hakuna ufake wowote pale!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…