Maggid Mjengwa achambua hoja za Jaji Sinde Warioba

Maggid Mjengwa achambua hoja za Jaji Sinde Warioba

Tafakuri Jadidi:

Ninapotafakari Alichosema Mzee Warioba?

Makamu wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu Mstaafu, Mheshimiwa Jaji Joseph Sinde Warioba jana ameongea mbele ya Wahariri wa Vyombo Vya Habari.

Nimemsikiliza kwa makini Mzee Warioba. Huyu ni mmoja wa Viongozi Wastaafu wenye busara na hekima. Ni wenye kuheshimika sana.

Kwetu Wachambuzi, Mzee Warioba ni aina ya Viongozi unayepaswa kumsikiliza kwa kituo, kwa kila tungo inayotoka kinywani mwake. Kila tungo yake yumkini huacha tafsiri pana.

Kwa kumsikiliza, ni dhahiri Mzee Warioba alikuwa na bungo limemkwama kooni kwa muda mrefu. Kwamba alitaka kulitema. Hata hivyo, kuna niliyojiuliza;

Je, Mzee Warioba alilenga kufikisha ujumbe wake kwa Wananchi au Serikali? Au, hilo la mwisho kupitia la kwanza?

Kama ni hilo la mwisho, kwanini Mzee Warioba , kama anavyosema mwenyewe, ni mwenye kuongea na wengi bila mipaka, achague njia hiyo?

Si raia wengi wa Jamhuri ya Muungano wenye kuweza kufunguliwa milango wakati wote kwa mazungumzo na Rais wa Jamhuri, au kupokelewa simu zao wakati wowote wakiwa na jambo kubwa.

Naamini Mzee Warioba ni mmoja wa raia wachache hao wenye nafasi hiyo. Ni kwanini Mzee Warioba alitumia njia ya kwanza kufikisha ujumbe wake kwa Serikali?

Je, njia hiyo itasaidia kuimarisha umoja, upendo, amani na mshikamano wetu?

Maswali?
Na swali la kwanza Kwa Mzee Warioba likatoka kwa Mhariri na mwanahabari mwandamizi Deodatus Balile
Huyu alikuwa na mawili; la idadi ndogo ya wagombea wa upinzani kwenye Serikali za Mitaa na vurugu na vitendo vya mauaji bila kujali ni wafuasi wa vyama gani.

Balile anaulizia lilipo tatizo kama nafasi zilikuwa 64,000 na wapinzani waliweka wagombea 14,000.

Tafsiri yangu:

Inahusu uhaba wa wagombea wa upinzani. Hivyo, je, tudhani pia ni nakisi ya demokrasia?

Je, tudhani pia tatizo la uhaba wa wagombea wa upinzani ni CCM?
Wajibu wa polisi?

Mzee Warioba amewalaumu polisi, na zaidi Serikali kuwaingiza polisi kwenye siasa.

Jambo jema ni kuwa, Mzee Warioba hakusema wala kupendekeza jeshi hilo lifutwe.

Maana, ni kweli Jeshi la Polisi lina mapungufu yake na linahitaji kujengewa uwezo zaidi, lakini, hakuna mbadala wake na nchi ikatulia.

Kama taasisi, polisi ina wachache wasio na uadilifu, lakini, tuna polisi wengi nchi hii wanaojitoa mhanga kwa ajili ya kulinda raia na mali zao.

Ni polisi hao hao, moja ya majukumu yao waliopangiwa, ni kuwalinda viongozi wetu wakiwemo wastaafu.

Mzee Warioba ni mmoja wa wastaafu hao wanaolindwa saa 24 na Jeshi la Polisi. Ni kwa sheria na amri za kijeshi, bila kujali polisi hao ni wapenzi wa vyama gani.

Ni Tafakuri Jadidi.
Maggid Mjengwa.

Pia soma
Aliwalaumu polisi ndiyo lakini ona kule Nkasi waalimu nao wameunga juhudi za polisi na watendaji.
 
Tafakuri Jadidi:

Ninapotafakari Alichosema Mzee Warioba?

Makamu wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu Mstaafu, Mheshimiwa Jaji Joseph Sinde Warioba jana ameongea mbele ya Wahariri wa Vyombo Vya Habari.

Nimemsikiliza kwa makini Mzee Warioba. Huyu ni mmoja wa Viongozi Wastaafu wenye busara na hekima. Ni wenye kuheshimika sana.

Kwetu Wachambuzi, Mzee Warioba ni aina ya Viongozi unayepaswa kumsikiliza kwa kituo, kwa kila tungo inayotoka kinywani mwake. Kila tungo yake yumkini huacha tafsiri pana.

Kwa kumsikiliza, ni dhahiri Mzee Warioba alikuwa na bungo limemkwama kooni kwa muda mrefu. Kwamba alitaka kulitema. Hata hivyo, kuna niliyojiuliza;

Je, Mzee Warioba alilenga kufikisha ujumbe wake kwa Wananchi au Serikali? Au, hilo la mwisho kupitia la kwanza?

Kama ni hilo la mwisho, kwanini Mzee Warioba , kama anavyosema mwenyewe, ni mwenye kuongea na wengi bila mipaka, achague njia hiyo?

Si raia wengi wa Jamhuri ya Muungano wenye kuweza kufunguliwa milango wakati wote kwa mazungumzo na Rais wa Jamhuri, au kupokelewa simu zao wakati wowote wakiwa na jambo kubwa.

Naamini Mzee Warioba ni mmoja wa raia wachache hao wenye nafasi hiyo. Ni kwanini Mzee Warioba alitumia njia ya kwanza kufikisha ujumbe wake kwa Serikali?

Je, njia hiyo itasaidia kuimarisha umoja, upendo, amani na mshikamano wetu?

Maswali?
Na swali la kwanza Kwa Mzee Warioba likatoka kwa Mhariri na mwanahabari mwandamizi Deodatus Balile
Huyu alikuwa na mawili; la idadi ndogo ya wagombea wa upinzani kwenye Serikali za Mitaa na vurugu na vitendo vya mauaji bila kujali ni wafuasi wa vyama gani.

Balile anaulizia lilipo tatizo kama nafasi zilikuwa 64,000 na wapinzani waliweka wagombea 14,000.

Tafsiri yangu:

Inahusu uhaba wa wagombea wa upinzani. Hivyo, je, tudhani pia ni nakisi ya demokrasia?

Je, tudhani pia tatizo la uhaba wa wagombea wa upinzani ni CCM?
Wajibu wa polisi?

Mzee Warioba amewalaumu polisi, na zaidi Serikali kuwaingiza polisi kwenye siasa.

Jambo jema ni kuwa, Mzee Warioba hakusema wala kupendekeza jeshi hilo lifutwe.

Maana, ni kweli Jeshi la Polisi lina mapungufu yake na linahitaji kujengewa uwezo zaidi, lakini, hakuna mbadala wake na nchi ikatulia.

Kama taasisi, polisi ina wachache wasio na uadilifu, lakini, tuna polisi wengi nchi hii wanaojitoa mhanga kwa ajili ya kulinda raia na mali zao.

Ni polisi hao hao, moja ya majukumu yao waliopangiwa, ni kuwalinda viongozi wetu wakiwemo wastaafu.

Mzee Warioba ni mmoja wa wastaafu hao wanaolindwa saa 24 na Jeshi la Polisi. Ni kwa sheria na amri za kijeshi, bila kujali polisi hao ni wapenzi wa vyama gani.

Ni Tafakuri Jadidi.
Maggid Mjengwa.

Pia soma
Si busara kabisa kumjadili Warioba badala ya hoja aliyoitoa kuepusha chaguzi za shari na hatari. Aidha, kila mtu ana uhuru wa maoni na kutoa dukuduku lake kwa mujibu wa katiba, akiwemo Warioba.

Tusihoji njia aliyotumia kutoa ujumbe wake, bali tuhoji mantiki ya ujumbe wake kwa mustakabali mwema wa taifa letu.
 
Tafakuri Jadidi:

Ninapotafakari Alichosema Mzee Warioba?

Makamu wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu Mstaafu, Mheshimiwa Jaji Joseph Sinde Warioba jana ameongea mbele ya Wahariri wa Vyombo Vya Habari.

Nimemsikiliza kwa makini Mzee Warioba. Huyu ni mmoja wa Viongozi Wastaafu wenye busara na hekima. Ni wenye kuheshimika sana.

Kwetu Wachambuzi, Mzee Warioba ni aina ya Viongozi unayepaswa kumsikiliza kwa kituo, kwa kila tungo inayotoka kinywani mwake. Kila tungo yake yumkini huacha tafsiri pana.

Kwa kumsikiliza, ni dhahiri Mzee Warioba alikuwa na bungo limemkwama kooni kwa muda mrefu. Kwamba alitaka kulitema. Hata hivyo, kuna niliyojiuliza;

Je, Mzee Warioba alilenga kufikisha ujumbe wake kwa Wananchi au Serikali? Au, hilo la mwisho kupitia la kwanza?

Kama ni hilo la mwisho, kwanini Mzee Warioba , kama anavyosema mwenyewe, ni mwenye kuongea na wengi bila mipaka, achague njia hiyo?

Si raia wengi wa Jamhuri ya Muungano wenye kuweza kufunguliwa milango wakati wote kwa mazungumzo na Rais wa Jamhuri, au kupokelewa simu zao wakati wowote wakiwa na jambo kubwa.

Naamini Mzee Warioba ni mmoja wa raia wachache hao wenye nafasi hiyo. Ni kwanini Mzee Warioba alitumia njia ya kwanza kufikisha ujumbe wake kwa Serikali?

Je, njia hiyo itasaidia kuimarisha umoja, upendo, amani na mshikamano wetu?

Maswali?
Na swali la kwanza Kwa Mzee Warioba likatoka kwa Mhariri na mwanahabari mwandamizi Deodatus Balile
Huyu alikuwa na mawili; la idadi ndogo ya wagombea wa upinzani kwenye Serikali za Mitaa na vurugu na vitendo vya mauaji bila kujali ni wafuasi wa vyama gani.

Balile anaulizia lilipo tatizo kama nafasi zilikuwa 64,000 na wapinzani waliweka wagombea 14,000.

Tafsiri yangu:

Inahusu uhaba wa wagombea wa upinzani. Hivyo, je, tudhani pia ni nakisi ya demokrasia?

Je, tudhani pia tatizo la uhaba wa wagombea wa upinzani ni CCM?
Wajibu wa polisi?

Mzee Warioba amewalaumu polisi, na zaidi Serikali kuwaingiza polisi kwenye siasa.

Jambo jema ni kuwa, Mzee Warioba hakusema wala kupendekeza jeshi hilo lifutwe.

Maana, ni kweli Jeshi la Polisi lina mapungufu yake na linahitaji kujengewa uwezo zaidi, lakini, hakuna mbadala wake na nchi ikatulia.

Kama taasisi, polisi ina wachache wasio na uadilifu, lakini, tuna polisi wengi nchi hii wanaojitoa mhanga kwa ajili ya kulinda raia na mali zao.

Ni polisi hao hao, moja ya majukumu yao waliopangiwa, ni kuwalinda viongozi wetu wakiwemo wastaafu.

Mzee Warioba ni mmoja wa wastaafu hao wanaolindwa saa 24 na Jeshi la Polisi. Ni kwa sheria na amri za kijeshi, bila kujali polisi hao ni wapenzi wa vyama gani.

Ni Tafakuri Jadidi.
Maggid Mjengwa.

Pia soma
Sasa Mbona Wewe Majid Ni mwandishi Mkongwe sana umeamua Kuandika Kwa Kutumia Plat form hii?
1:Warioba alichokuwa anakusema siyo kumshauri Rais Nini afanye, alikuwa anatoa Elimu jumuishi juu ya Siasa, na Demokrasia Kwa jamii Pana Kwa ujumla wake
2:Warioba hakuna mipaka inamzuia Nini aseme Kwa wananchi Kwa ujumla wake lakini pia hatuna uhakika pengine ushauri huo kasha toa kwenye chama chake au viongozi wake
3:Hakuna sababu ya Kuona kwamba yeye alitakiwa asiseme Yale hadharani Kwa sababu, waliofanya Yale waliofanya Kwa utashi na weredi kabisa
 
Tafakuri Jadidi:

Ninapotafakari Alichosema Mzee Warioba?

Makamu wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu Mstaafu, Mheshimiwa Jaji Joseph Sinde Warioba jana ameongea mbele ya Wahariri wa Vyombo Vya Habari.

Nimemsikiliza kwa makini Mzee Warioba. Huyu ni mmoja wa Viongozi Wastaafu wenye busara na hekima. Ni wenye kuheshimika sana.

Kwetu Wachambuzi, Mzee Warioba ni aina ya Viongozi unayepaswa kumsikiliza kwa kituo, kwa kila tungo inayotoka kinywani mwake. Kila tungo yake yumkini huacha tafsiri pana.

Kwa kumsikiliza, ni dhahiri Mzee Warioba alikuwa na bungo limemkwama kooni kwa muda mrefu. Kwamba alitaka kulitema. Hata hivyo, kuna niliyojiuliza;

Je, Mzee Warioba alilenga kufikisha ujumbe wake kwa Wananchi au Serikali? Au, hilo la mwisho kupitia la kwanza?

Kama ni hilo la mwisho, kwanini Mzee Warioba , kama anavyosema mwenyewe, ni mwenye kuongea na wengi bila mipaka, achague njia hiyo?

Si raia wengi wa Jamhuri ya Muungano wenye kuweza kufunguliwa milango wakati wote kwa mazungumzo na Rais wa Jamhuri, au kupokelewa simu zao wakati wowote wakiwa na jambo kubwa.

Naamini Mzee Warioba ni mmoja wa raia wachache hao wenye nafasi hiyo. Ni kwanini Mzee Warioba alitumia njia ya kwanza kufikisha ujumbe wake kwa Serikali?

Je, njia hiyo itasaidia kuimarisha umoja, upendo, amani na mshikamano wetu?

Maswali?
Na swali la kwanza Kwa Mzee Warioba likatoka kwa Mhariri na mwanahabari mwandamizi Deodatus Balile
Huyu alikuwa na mawili; la idadi ndogo ya wagombea wa upinzani kwenye Serikali za Mitaa na vurugu na vitendo vya mauaji bila kujali ni wafuasi wa vyama gani.

Balile anaulizia lilipo tatizo kama nafasi zilikuwa 64,000 na wapinzani waliweka wagombea 14,000.

Tafsiri yangu:

Inahusu uhaba wa wagombea wa upinzani. Hivyo, je, tudhani pia ni nakisi ya demokrasia?

Je, tudhani pia tatizo la uhaba wa wagombea wa upinzani ni CCM?
Wajibu wa polisi?

Mzee Warioba amewalaumu polisi, na zaidi Serikali kuwaingiza polisi kwenye siasa.

Jambo jema ni kuwa, Mzee Warioba hakusema wala kupendekeza jeshi hilo lifutwe.

Maana, ni kweli Jeshi la Polisi lina mapungufu yake na linahitaji kujengewa uwezo zaidi, lakini, hakuna mbadala wake na nchi ikatulia.

Kama taasisi, polisi ina wachache wasio na uadilifu, lakini, tuna polisi wengi nchi hii wanaojitoa mhanga kwa ajili ya kulinda raia na mali zao.

Ni polisi hao hao, moja ya majukumu yao waliopangiwa, ni kuwalinda viongozi wetu wakiwemo wastaafu.

Mzee Warioba ni mmoja wa wastaafu hao wanaolindwa saa 24 na Jeshi la Polisi. Ni kwa sheria na amri za kijeshi, bila kujali polisi hao ni wapenzi wa vyama gani.

Ni Tafakuri Jadidi.
Maggid Mjengwa.

Pia soma

Namshauri kila akionga maji yawe ya kijani alafu atumie sabuni ya njano, mwili utazidi kutakata na nyota itang’aa zaidi
Tuwe na jioni njema.
Salamu kwa Bw Balile waitu Mushanage
 
Mzee Warioba kasema kapigiwa simu na waandishi wengi sana, kila mmoja anataka kuongea naye kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa. Akaona hawezi kuongea nao mmoja mmoja, akaona ni bora awaite wote pamoja kwenye press conference aongee nao wote pamoja.

Mjengwa anauliza kwa nini Warioba hajaongea na watu wa serikali, hajasikia sehemu hii?

Mjengwa hajasikia Warioba aliposema anaongea na kila mtu, kuanzia watu wa serikali mpaka wapinzani?
 
Mzee Warioba kasema kapigiwa simu na waandishi wengi sana, kila mmoja anataka kuongea naye kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa. Akaona hawezi kuongea nao mmoja mmoja, akaona ni bora awaite wote pamoja kwenye press conference aongee nao wote pamoja.

Mjengwa anauliza kwa nini Warioba hajaongea na watu wa serikali, hajasikia sehemu hii?

Mjengwa hajasikia Warioba aliposema anaongea na kila mtu, kuanzia watu wa serikali mpaka wapinzani?
Mjengwa ni miongoni mwa Chawa wa mwanzo kabisa
 
Mjengwa ni muandishi mkongwe ila mchumia tumbo na mpenda kutumika ukitaka kumjua vizuri angalia vipindi vya tbc vile vya kipropaganda vinaendeshwa na ayubu ryoba
Namjua toka nikiwa naye JKT na alikuwa rafiki wa karibu. Hakuna shida kuwa chama chochote, lakini ni vema kulitetea taifa letu kuliko propaganda au maslahi binafsi.
 
Tafakuri Jadidi:

Ninapotafakari Alichosema Mzee Warioba?

Makamu wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu Mstaafu, Mheshimiwa Jaji Joseph Sinde Warioba jana ameongea mbele ya Wahariri wa Vyombo Vya Habari.

Nimemsikiliza kwa makini Mzee Warioba. Huyu ni mmoja wa Viongozi Wastaafu wenye busara na hekima. Ni wenye kuheshimika sana.

Kwetu Wachambuzi, Mzee Warioba ni aina ya Viongozi unayepaswa kumsikiliza kwa kituo, kwa kila tungo inayotoka kinywani mwake. Kila tungo yake yumkini huacha tafsiri pana.

Kwa kumsikiliza, ni dhahiri Mzee Warioba alikuwa na bungo limemkwama kooni kwa muda mrefu. Kwamba alitaka kulitema. Hata hivyo, kuna niliyojiuliza;

Je, Mzee Warioba alilenga kufikisha ujumbe wake kwa Wananchi au Serikali? Au, hilo la mwisho kupitia la kwanza?

Kama ni hilo la mwisho, kwanini Mzee Warioba , kama anavyosema mwenyewe, ni mwenye kuongea na wengi bila mipaka, achague njia hiyo?

Si raia wengi wa Jamhuri ya Muungano wenye kuweza kufunguliwa milango wakati wote kwa mazungumzo na Rais wa Jamhuri, au kupokelewa simu zao wakati wowote wakiwa na jambo kubwa.

Naamini Mzee Warioba ni mmoja wa raia wachache hao wenye nafasi hiyo. Ni kwanini Mzee Warioba alitumia njia ya kwanza kufikisha ujumbe wake kwa Serikali?

Je, njia hiyo itasaidia kuimarisha umoja, upendo, amani na mshikamano wetu?

Maswali?
Na swali la kwanza Kwa Mzee Warioba likatoka kwa Mhariri na mwanahabari mwandamizi Deodatus Balile
Huyu alikuwa na mawili; la idadi ndogo ya wagombea wa upinzani kwenye Serikali za Mitaa na vurugu na vitendo vya mauaji bila kujali ni wafuasi wa vyama gani.

Balile anaulizia lilipo tatizo kama nafasi zilikuwa 64,000 na wapinzani waliweka wagombea 14,000.

Tafsiri yangu:

Inahusu uhaba wa wagombea wa upinzani. Hivyo, je, tudhani pia ni nakisi ya demokrasia?

Je, tudhani pia tatizo la uhaba wa wagombea wa upinzani ni CCM?
Wajibu wa polisi?

Mzee Warioba amewalaumu polisi, na zaidi Serikali kuwaingiza polisi kwenye siasa.

Jambo jema ni kuwa, Mzee Warioba hakusema wala kupendekeza jeshi hilo lifutwe.

Maana, ni kweli Jeshi la Polisi lina mapungufu yake na linahitaji kujengewa uwezo zaidi, lakini, hakuna mbadala wake na nchi ikatulia.

Kama taasisi, polisi ina wachache wasio na uadilifu, lakini, tuna polisi wengi nchi hii wanaojitoa mhanga kwa ajili ya kulinda raia na mali zao.

Ni polisi hao hao, moja ya majukumu yao waliopangiwa, ni kuwalinda viongozi wetu wakiwemo wastaafu.

Mzee Warioba ni mmoja wa wastaafu hao wanaolindwa saa 24 na Jeshi la Polisi. Ni kwa sheria na amri za kijeshi, bila kujali polisi hao ni wapenzi wa vyama gani.

Ni Tafakuri Jadidi.
Maggid Mjengwa.

Pia soma
Huyu Maggid ni chawa hana moral authority ya kuhoji!
 
Tafakuri Jadidi:

Ninapotafakari Alichosema Mzee Warioba?

Makamu wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu Mstaafu, Mheshimiwa Jaji Joseph Sinde Warioba jana ameongea mbele ya Wahariri wa Vyombo Vya Habari.

Nimemsikiliza kwa makini Mzee Warioba. Huyu ni mmoja wa Viongozi Wastaafu wenye busara na hekima. Ni wenye kuheshimika sana.

Kwetu Wachambuzi, Mzee Warioba ni aina ya Viongozi unayepaswa kumsikiliza kwa kituo, kwa kila tungo inayotoka kinywani mwake. Kila tungo yake yumkini huacha tafsiri pana.

Kwa kumsikiliza, ni dhahiri Mzee Warioba alikuwa na bungo limemkwama kooni kwa muda mrefu. Kwamba alitaka kulitema. Hata hivyo, kuna niliyojiuliza;

Je, Mzee Warioba alilenga kufikisha ujumbe wake kwa Wananchi au Serikali? Au, hilo la mwisho kupitia la kwanza?

Kama ni hilo la mwisho, kwanini Mzee Warioba , kama anavyosema mwenyewe, ni mwenye kuongea na wengi bila mipaka, achague njia hiyo?

Si raia wengi wa Jamhuri ya Muungano wenye kuweza kufunguliwa milango wakati wote kwa mazungumzo na Rais wa Jamhuri, au kupokelewa simu zao wakati wowote wakiwa na jambo kubwa.

Naamini Mzee Warioba ni mmoja wa raia wachache hao wenye nafasi hiyo. Ni kwanini Mzee Warioba alitumia njia ya kwanza kufikisha ujumbe wake kwa Serikali?

Je, njia hiyo itasaidia kuimarisha umoja, upendo, amani na mshikamano wetu?

Maswali?
Na swali la kwanza Kwa Mzee Warioba likatoka kwa Mhariri na mwanahabari mwandamizi Deodatus Balile
Huyu alikuwa na mawili; la idadi ndogo ya wagombea wa upinzani kwenye Serikali za Mitaa na vurugu na vitendo vya mauaji bila kujali ni wafuasi wa vyama gani.

Balile anaulizia lilipo tatizo kama nafasi zilikuwa 64,000 na wapinzani waliweka wagombea 14,000.

Tafsiri yangu:

Inahusu uhaba wa wagombea wa upinzani. Hivyo, je, tudhani pia ni nakisi ya demokrasia?

Je, tudhani pia tatizo la uhaba wa wagombea wa upinzani ni CCM?
Wajibu wa polisi?

Mzee Warioba amewalaumu polisi, na zaidi Serikali kuwaingiza polisi kwenye siasa.

Jambo jema ni kuwa, Mzee Warioba hakusema wala kupendekeza jeshi hilo lifutwe.

Maana, ni kweli Jeshi la Polisi lina mapungufu yake na linahitaji kujengewa uwezo zaidi, lakini, hakuna mbadala wake na nchi ikatulia.

Kama taasisi, polisi ina wachache wasio na uadilifu, lakini, tuna polisi wengi nchi hii wanaojitoa mhanga kwa ajili ya kulinda raia na mali zao.

Ni polisi hao hao, moja ya majukumu yao waliopangiwa, ni kuwalinda viongozi wetu wakiwemo wastaafu.

Mzee Warioba ni mmoja wa wastaafu hao wanaolindwa saa 24 na Jeshi la Polisi. Ni kwa sheria na amri za kijeshi, bila kujali polisi hao ni wapenzi wa vyama gani.

Ni Tafakuri Jadidi.
Maggid Mjengwa.

Pia soma
Tafakuri Jadidi :-
Maggid Mjengwa anataka kumtisha Mzee ???!!
😂😂😅😳
 
Tafakuri Jadidi:

Ninapotafakari Alichosema Mzee Warioba?

Makamu wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu Mstaafu, Mheshimiwa Jaji Joseph Sinde Warioba jana ameongea mbele ya Wahariri wa Vyombo Vya Habari.

Nimemsikiliza kwa makini Mzee Warioba. Huyu ni mmoja wa Viongozi Wastaafu wenye busara na hekima. Ni wenye kuheshimika sana.

Kwetu Wachambuzi, Mzee Warioba ni aina ya Viongozi unayepaswa kumsikiliza kwa kituo, kwa kila tungo inayotoka kinywani mwake. Kila tungo yake yumkini huacha tafsiri pana.

Kwa kumsikiliza, ni dhahiri Mzee Warioba alikuwa na bungo limemkwama kooni kwa muda mrefu. Kwamba alitaka kulitema. Hata hivyo, kuna niliyojiuliza;

Je, Mzee Warioba alilenga kufikisha ujumbe wake kwa Wananchi au Serikali? Au, hilo la mwisho kupitia la kwanza?

Kama ni hilo la mwisho, kwanini Mzee Warioba , kama anavyosema mwenyewe, ni mwenye kuongea na wengi bila mipaka, achague njia hiyo?

Si raia wengi wa Jamhuri ya Muungano wenye kuweza kufunguliwa milango wakati wote kwa mazungumzo na Rais wa Jamhuri, au kupokelewa simu zao wakati wowote wakiwa na jambo kubwa.

Naamini Mzee Warioba ni mmoja wa raia wachache hao wenye nafasi hiyo. Ni kwanini Mzee Warioba alitumia njia ya kwanza kufikisha ujumbe wake kwa Serikali?

Je, njia hiyo itasaidia kuimarisha umoja, upendo, amani na mshikamano wetu?

Maswali?
Na swali la kwanza Kwa Mzee Warioba likatoka kwa Mhariri na mwanahabari mwandamizi Deodatus Balile
Huyu alikuwa na mawili; la idadi ndogo ya wagombea wa upinzani kwenye Serikali za Mitaa na vurugu na vitendo vya mauaji bila kujali ni wafuasi wa vyama gani.

Balile anaulizia lilipo tatizo kama nafasi zilikuwa 64,000 na wapinzani waliweka wagombea 14,000.

Tafsiri yangu:

Inahusu uhaba wa wagombea wa upinzani. Hivyo, je, tudhani pia ni nakisi ya demokrasia?

Je, tudhani pia tatizo la uhaba wa wagombea wa upinzani ni CCM?
Wajibu wa polisi?

Mzee Warioba amewalaumu polisi, na zaidi Serikali kuwaingiza polisi kwenye siasa.

Jambo jema ni kuwa, Mzee Warioba hakusema wala kupendekeza jeshi hilo lifutwe.

Maana, ni kweli Jeshi la Polisi lina mapungufu yake na linahitaji kujengewa uwezo zaidi, lakini, hakuna mbadala wake na nchi ikatulia.

Kama taasisi, polisi ina wachache wasio na uadilifu, lakini, tuna polisi wengi nchi hii wanaojitoa mhanga kwa ajili ya kulinda raia na mali zao.

Ni polisi hao hao, moja ya majukumu yao waliopangiwa, ni kuwalinda viongozi wetu wakiwemo wastaafu.

Mzee Warioba ni mmoja wa wastaafu hao wanaolindwa saa 24 na Jeshi la Polisi. Ni kwa sheria na amri za kijeshi, bila kujali polisi hao ni wapenzi wa vyama gani.

Ni Tafakuri Jadidi.
Maggid Mjengwa.

Pia soma

Very POOR ANALYSIS ...!!
 
Zamani miaka ya 2000 nilikuwa Nasoma Sana gazeti la Rai kabla halijauzwa kwa Rostam. Majid Mjegwa alikuwa anaandika hoja za maana sijui Nini kilitokea wakabadilik na kuwa na hoja mfu. Tanzania inarudi nyuma Sana kwa great thinkers Sasa hivi kabakia generali ulimwengu.
 
Back
Top Bottom