Maggid Mjengwa achambua hoja za Jaji Sinde Warioba

Maggid Mjengwa achambua hoja za Jaji Sinde Warioba

U
Zamani miaka ya 2000 nilikuwa Nasoma Sana gazeti la Rai kabla halijauzwa kwa Rostam. Majid Mjegwa alikuwa anaandika hoja za maana sijui Nini kilitokea wakabadilik na kuwa na hoja mfu. Tanzania inarudi nyuma Sana kwa great thinkers Sasa hivi kabakia generali ulimwengu.
Uchawa ukizidi unapofusha macho na Akili !
 
Naona ameandika kwa tahadhari kubwa sana kiasi cha kujiuliza sijui waandishi wetu wa habari, wamerogwa na nani!! Maana wengi siku hizi wanaandika makala yao kwa kuongozwa na matumbo, badala ya ubongo.
Hivi Tanzania mna waandishi wa wa habari bado ?

Maana siku hizi mtu ukiweza kumsifia tu mama Abdul kwenye account zako za mitandao ya kijamii ushakuwa mwandishi wa habari na unapata kazi kwenye media.

Mfano Baba Levo, Mwijaku , Sufiani, Masanja hao ndio waandishi wenu.

Tido Muhando alikuwa sawa kusema awamu ya 5 ilileta comedy journalism.
IMG_20240628_203315.jpg
unafikiri wataandika nini zaidi ya kusema mama anaupiga mwingi?
 
Tafakuri Jadidi:

Ninapotafakari Alichosema Mzee Warioba?

Makamu wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu Mstaafu, Mheshimiwa Jaji Joseph Sinde Warioba jana ameongea mbele ya Wahariri wa Vyombo Vya Habari.

Nimemsikiliza kwa makini Mzee Warioba. Huyu ni mmoja wa Viongozi Wastaafu wenye busara na hekima. Ni wenye kuheshimika sana.

Kwetu Wachambuzi, Mzee Warioba ni aina ya Viongozi unayepaswa kumsikiliza kwa kituo, kwa kila tungo inayotoka kinywani mwake. Kila tungo yake yumkini huacha tafsiri pana.

Kwa kumsikiliza, ni dhahiri Mzee Warioba alikuwa na bungo limemkwama kooni kwa muda mrefu. Kwamba alitaka kulitema. Hata hivyo, kuna niliyojiuliza;

Je, Mzee Warioba alilenga kufikisha ujumbe wake kwa Wananchi au Serikali? Au, hilo la mwisho kupitia la kwanza?

Kama ni hilo la mwisho, kwanini Mzee Warioba , kama anavyosema mwenyewe, ni mwenye kuongea na wengi bila mipaka, achague njia hiyo?

Si raia wengi wa Jamhuri ya Muungano wenye kuweza kufunguliwa milango wakati wote kwa mazungumzo na Rais wa Jamhuri, au kupokelewa simu zao wakati wowote wakiwa na jambo kubwa.

Naamini Mzee Warioba ni mmoja wa raia wachache hao wenye nafasi hiyo. Ni kwanini Mzee Warioba alitumia njia ya kwanza kufikisha ujumbe wake kwa Serikali?

Je, njia hiyo itasaidia kuimarisha umoja, upendo, amani na mshikamano wetu?

Maswali?
Na swali la kwanza Kwa Mzee Warioba likatoka kwa Mhariri na mwanahabari mwandamizi Deodatus Balile
Huyu alikuwa na mawili; la idadi ndogo ya wagombea wa upinzani kwenye Serikali za Mitaa na vurugu na vitendo vya mauaji bila kujali ni wafuasi wa vyama gani.

Balile anaulizia lilipo tatizo kama nafasi zilikuwa 64,000 na wapinzani waliweka wagombea 14,000.

Tafsiri yangu:

Inahusu uhaba wa wagombea wa upinzani. Hivyo, je, tudhani pia ni nakisi ya demokrasia?

Je, tudhani pia tatizo la uhaba wa wagombea wa upinzani ni CCM?
Wajibu wa polisi?

Mzee Warioba amewalaumu polisi, na zaidi Serikali kuwaingiza polisi kwenye siasa.

Jambo jema ni kuwa, Mzee Warioba hakusema wala kupendekeza jeshi hilo lifutwe.

Maana, ni kweli Jeshi la Polisi lina mapungufu yake na linahitaji kujengewa uwezo zaidi, lakini, hakuna mbadala wake na nchi ikatulia.

Kama taasisi, polisi ina wachache wasio na uadilifu, lakini, tuna polisi wengi nchi hii wanaojitoa mhanga kwa ajili ya kulinda raia na mali zao.

Ni polisi hao hao, moja ya majukumu yao waliopangiwa, ni kuwalinda viongozi wetu wakiwemo wastaafu.

Mzee Warioba ni mmoja wa wastaafu hao wanaolindwa saa 24 na Jeshi la Polisi. Ni kwa sheria na amri za kijeshi, bila kujali polisi hao ni wapenzi wa vyama gani.

Ni Tafakuri Jadidi.
Maggid Mjengwa.

Pia soma
Huyu naye ni chawa kama Lucas Mwashambwa tu.
 
Zamani miaka ya 2000 nilikuwa Nasoma Sana gazeti la Rai kabla halijauzwa kwa Rostam. Majid Mjegwa alikuwa anaandika hoja za maana sijui Nini kilitokea wakabadilik na kuwa na hoja mfu. Tanzania inarudi nyuma Sana kwa great thinkers Sasa hivi kabakia generali ulimwengu.
Amezisalimisha akili zake kwa lile guluguja Amos Makalla
 
Kuna wakati wanaambiwa na kushauriwa ila hawataki kusikia.
Ndio maana unaona approach inabadilika
 
Mjengwa ungekuwa ni mtu anayeheshimika ningesema umejiondolea heshma kisa njaa!
Uwezo wako wa kupambana na hoja za mzee kweli unaishia hapo?!
Mzee Warioba ni raia huru umwelewe kama alivyojibu.
 
Tafakuri Jadidi:

Ninapotafakari Alichosema Mzee Warioba?

Makamu wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu Mstaafu, Mheshimiwa Jaji Joseph Sinde Warioba jana ameongea mbele ya Wahariri wa Vyombo Vya Habari.

Nimemsikiliza kwa makini Mzee Warioba. Huyu ni mmoja wa Viongozi Wastaafu wenye busara na hekima. Ni wenye kuheshimika sana.

Kwetu Wachambuzi, Mzee Warioba ni aina ya Viongozi unayepaswa kumsikiliza kwa kituo, kwa kila tungo inayotoka kinywani mwake. Kila tungo yake yumkini huacha tafsiri pana.

Kwa kumsikiliza, ni dhahiri Mzee Warioba alikuwa na bungo limemkwama kooni kwa muda mrefu. Kwamba alitaka kulitema. Hata hivyo, kuna niliyojiuliza;

Je, Mzee Warioba alilenga kufikisha ujumbe wake kwa Wananchi au Serikali? Au, hilo la mwisho kupitia la kwanza?

Kama ni hilo la mwisho, kwanini Mzee Warioba , kama anavyosema mwenyewe, ni mwenye kuongea na wengi bila mipaka, achague njia hiyo?

Si raia wengi wa Jamhuri ya Muungano wenye kuweza kufunguliwa milango wakati wote kwa mazungumzo na Rais wa Jamhuri, au kupokelewa simu zao wakati wowote wakiwa na jambo kubwa.

Naamini Mzee Warioba ni mmoja wa raia wachache hao wenye nafasi hiyo. Ni kwanini Mzee Warioba alitumia njia ya kwanza kufikisha ujumbe wake kwa Serikali?

Je, njia hiyo itasaidia kuimarisha umoja, upendo, amani na mshikamano wetu?

Maswali?
Na swali la kwanza Kwa Mzee Warioba likatoka kwa Mhariri na mwanahabari mwandamizi Deodatus Balile
Huyu alikuwa na mawili; la idadi ndogo ya wagombea wa upinzani kwenye Serikali za Mitaa na vurugu na vitendo vya mauaji bila kujali ni wafuasi wa vyama gani.

Balile anaulizia lilipo tatizo kama nafasi zilikuwa 64,000 na wapinzani waliweka wagombea 14,000.

Tafsiri yangu:

Inahusu uhaba wa wagombea wa upinzani. Hivyo, je, tudhani pia ni nakisi ya demokrasia?

Je, tudhani pia tatizo la uhaba wa wagombea wa upinzani ni CCM?
Wajibu wa polisi?

Mzee Warioba amewalaumu polisi, na zaidi Serikali kuwaingiza polisi kwenye siasa.

Jambo jema ni kuwa, Mzee Warioba hakusema wala kupendekeza jeshi hilo lifutwe.

Maana, ni kweli Jeshi la Polisi lina mapungufu yake na linahitaji kujengewa uwezo zaidi, lakini, hakuna mbadala wake na nchi ikatulia.

Kama taasisi, polisi ina wachache wasio na uadilifu, lakini, tuna polisi wengi nchi hii wanaojitoa mhanga kwa ajili ya kulinda raia na mali zao.

Ni polisi hao hao, moja ya majukumu yao waliopangiwa, ni kuwalinda viongozi wetu wakiwemo wastaafu.

Mzee Warioba ni mmoja wa wastaafu hao wanaolindwa saa 24 na Jeshi la Polisi. Ni kwa sheria na amri za kijeshi, bila kujali polisi hao ni wapenzi wa vyama gani.

Ni Tafakuri Jadidi.
Maggid Mjengwa.

Pia soma

Asante Maggid kwa kuwa umetimiza wajibu wako wa kikatiba wa kusema fikra zako bila kukataliwa wala kudharauliwa.
Swali langu kwako ni hili, leo hii wangapi wamenyimwa fursa hiyo hiyo ya kikatiba, sababu wanachouliza hakiwapendezi wana siasa? Wengine mpaka kuumizwa na kujeruhiwa au kupotea kabisa?

Mbona maswali ya nani ni mtu anayejulikana na nani hajulikani katika uhalifu unaoendelea huwa hayaulizwi, ila inatokea shida pale maslahi ya siasa za chama dola yakiulizwa?

Vinginevyo tukae kimya. Ukimya hauna maana hakuna maswali. Ila ukiuliza unaweza kuwa public enemy, unless ujitumbukize kwenye lile group la kuimba sifa.

Mimi sitauza baraka yangu ya mzaliwa wa kwanza kwa bakuli ya dengue, halafu nikaishia kulialia, kama vile Esau alivyopiga mahesabu yake vibaya kwa Jacob mdogo wake
 
Tafakuri Jadidi:

Ninapotafakari Alichosema Mzee Warioba?

Makamu wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu Mstaafu, Mheshimiwa Jaji Joseph Sinde Warioba jana ameongea mbele ya Wahariri wa Vyombo Vya Habari.

Nimemsikiliza kwa makini Mzee Warioba. Huyu ni mmoja wa Viongozi Wastaafu wenye busara na hekima. Ni wenye kuheshimika sana.

Kwetu Wachambuzi, Mzee Warioba ni aina ya Viongozi unayepaswa kumsikiliza kwa kituo, kwa kila tungo inayotoka kinywani mwake. Kila tungo yake yumkini huacha tafsiri pana.

Kwa kumsikiliza, ni dhahiri Mzee Warioba alikuwa na bungo limemkwama kooni kwa muda mrefu. Kwamba alitaka kulitema. Hata hivyo, kuna niliyojiuliza;

Je, Mzee Warioba alilenga kufikisha ujumbe wake kwa Wananchi au Serikali? Au, hilo la mwisho kupitia la kwanza?

Kama ni hilo la mwisho, kwanini Mzee Warioba , kama anavyosema mwenyewe, ni mwenye kuongea na wengi bila mipaka, achague njia hiyo?

Si raia wengi wa Jamhuri ya Muungano wenye kuweza kufunguliwa milango wakati wote kwa mazungumzo na Rais wa Jamhuri, au kupokelewa simu zao wakati wowote wakiwa na jambo kubwa.

Naamini Mzee Warioba ni mmoja wa raia wachache hao wenye nafasi hiyo. Ni kwanini Mzee Warioba alitumia njia ya kwanza kufikisha ujumbe wake kwa Serikali?

Je, njia hiyo itasaidia kuimarisha umoja, upendo, amani na mshikamano wetu?

Maswali?
Na swali la kwanza Kwa Mzee Warioba likatoka kwa Mhariri na mwanahabari mwandamizi Deodatus Balile
Huyu alikuwa na mawili; la idadi ndogo ya wagombea wa upinzani kwenye Serikali za Mitaa na vurugu na vitendo vya mauaji bila kujali ni wafuasi wa vyama gani.

Balile anaulizia lilipo tatizo kama nafasi zilikuwa 64,000 na wapinzani waliweka wagombea 14,000.

Tafsiri yangu:

Inahusu uhaba wa wagombea wa upinzani. Hivyo, je, tudhani pia ni nakisi ya demokrasia?

Je, tudhani pia tatizo la uhaba wa wagombea wa upinzani ni CCM?
Wajibu wa polisi?

Mzee Warioba amewalaumu polisi, na zaidi Serikali kuwaingiza polisi kwenye siasa.

Jambo jema ni kuwa, Mzee Warioba hakusema wala kupendekeza jeshi hilo lifutwe.

Maana, ni kweli Jeshi la Polisi lina mapungufu yake na linahitaji kujengewa uwezo zaidi, lakini, hakuna mbadala wake na nchi ikatulia.

Kama taasisi, polisi ina wachache wasio na uadilifu, lakini, tuna polisi wengi nchi hii wanaojitoa mhanga kwa ajili ya kulinda raia na mali zao.

Ni polisi hao hao, moja ya majukumu yao waliopangiwa, ni kuwalinda viongozi wetu wakiwemo wastaafu.

Mzee Warioba ni mmoja wa wastaafu hao wanaolindwa saa 24 na Jeshi la Polisi. Ni kwa sheria na amri za kijeshi, bila kujali polisi hao ni wapenzi wa vyama gani.

Ni Tafakuri Jadidi.
Maggid Mjengwa.

Pia soma
'Mzee Warioba ni mmoja wa wastaafu hao wanaolindwa saa 24 na Jeshi la Polisi. Ni kwa sheria na amri za kijeshi, bila kujali polisi hao ni wapenzi wa vyama gani"! Kifungu hiki Maggid anataka kutuambia mzee Warioba hana shukuruani, hapa tatizo la Maggid ni kuamini mzee Warioba analindwa kwa hisani ya mama Samia na CCM, sikutegemea kuwa anamawazo finyu kiasi hicho.
Kheri ya Maggid kuliko mwanajf mwenzetu wa kanda ya ziwa habari kama hizi huwa hashiriki kabisa.
 
Back
Top Bottom