black chinese
JF-Expert Member
- Aug 1, 2016
- 1,148
- 1,228
Kaka hayo magodoro unayodhani ya kisasa ukiyavua foronya yanakuwa hivyo... huwezi kuamini kama hizo zote ni Dodoma ila tu nimeyavua foronya.Sikujua kama magodoro ya namna hiyo yapo hadi leo hii.
Ulistahili kutumbuliwa.
Ukishanunua sitokupangia matumizi.. unaweza hata kuwalazia mbwa.. ni uamuzi wako ndugu..Hivi haya nayo ni magodoroo au matandiko ya mbwa?
Yote ni 5*6.. kwa moja nipe angalau 180k.. ukinunua yote utanipa 350k tu kaka..Mkuu chukua 70 kwa Hilo la 5*6
Lugha yako sio mzuri sie wengine tunalalia mkeka nimeumia sana na kauli yako.Hivi haya nayo ni magodoroo au matandiko ya mbwa?
Hii ni nyundo ya kichwaUkishanunua sitokupangia matumizi.. unaweza hata kuwalazia mbwa.. ni uamuzi wako ndugu..
Binafsi nayalalia mwenyewe.
Ngoja tukishuka kitandani nitakujibu..wenye hizo nguo wako wapi? wanafanya nini na nani? kwann wafanye hicho wanachokifanya wakiwa wametoa nguo?
Siyo vzur najua viganja havilingani.mungu hapendi ivoHivi haya nayo ni magodoroo au matandiko ya mbwa?
Mkaushieni huyu jamaa.. mkiendelea kumlaumu mtakuwa mnakufuru Mungu.. hata yeye pamoja na ubongo wake ameumbwa na Mungu huyu huyu ambaye wote tunamwabudu..Siyo vzur najua viganja havilingani.mungu hapendi ivo
Hakika una busara nimependa ustaarabu wakoMkaushieni huyu jamaa.. mkiendelea kumlaumu mtakuwa mnakufuru Mungu.. hata yeye pamoja na ubongo wake ameumbwa na Mungu huyu huyu ambaye wote tunamwabudu..
Si bure unafugwa kwa shemej yako.hata bei ya godoro hujuiHivi haya nayo ni magodoroo au matandiko ya mbwa?
Well noted chiefMkaushieni huyu jamaa.. mkiendelea kumlaumu mtakuwa mnakufuru Mungu.. hata yeye pamoja na ubongo wake ameumbwa na Mungu huyu huyu ambaye wote tunamwabudu..
[emoji15] wewe binti, umetungiwa bafuni na ukazaliwa chooni?Hivi haya nayo ni magodoroo au matandiko ya mbwa?