Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye ukweli lazima tuseme acheni kujiendekeza,kununua godoro la maana ni sh. Ngapi kwa mfano!? Hata kama atajitetea ni la mdogo wake lakini yeye alishindwa kumungezea pesa? Mimi hapana kwa kweli zama hizi kulalia godoro hizo NoEti huyu naye ni mke wa mtu!!!
Juzi kaja na uzi kule MMU akimshtumu mama mkwe wake.
Wanaume tuwe makini kwa kweli kwenye kuoa, namhurumia mwanaume mwenzangu aliyemuoa huyu.
Sijasema magodoro ni ya mdogo wangu... ni yangu ila yalikuwa yanatumiwa na mdogo wangu.Kwenye ukweli lazima tuseme acheni kujiendekeza,kununua godoro la maana ni sh. Ngapi kwa mfano!? Hata kama atajitetea ni la mdogo wake lakini yeye alishindwa kumungezea pesa? Mimi hapana kwa kweli zama hizi kulalia godoro hizo No
Kwani kaka unadhani godoro hizi unaweza kuutandika usingizi wa shilingi ngapi kabla hayajaisha kabisa ili tuitathmini upya bei?!..Acha unafki wewe,zile godoro haziendani na thamani iliyotajwa
Unafiki wangu uko wapi hapo?Acha unafki wewe,zile godoro haziendani na thamani iliyotajwa
Ndio utumie maneno ya kebehi na kejeli??!Kwenye ukweli lazima tuseme acheni kujiendekeza,kununua godoro la maana ni sh. Ngapi kwa mfano!? Hata kama atajitetea ni la mdogo wake lakini yeye alishindwa kumungezea pesa? Mimi hapana kwa kweli zama hizi kulalia godoro hizo No
Halafu katakuwa kamelambwa sana na wana au kameolewa na alternative ndo maana kanadhani kila mwanaume ni adui yake..Af mdada kama huyu ambae ana roho kama hii lady nan sjui anaonekana ana sura mbaya sana..af katakua kanakisiran
Uza godoro huko acha kuingilia maisha ya mtu binafsi!Halafu katakuwa kamelambwa sana na wana au kameolewa na alternative ndo maana kanadhani kila mwanaume ni adui yake..
Hee.. kumbe shemela nae yuko humuhumu!!..Uza godoro huko acha kuingilia maisha ya mtu binafsi!
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Af mdada kama huyu ambae ana roho kama hii lady nan sjui anaonekana ana sura mbaya sana..af katakua kanakisiran
Etii nani kakwambia nna uadui na mwanaume? Yaani kusema ukweli hivyo vigodoro ndo kuna kutoa povu la umbea usengenyaji na uongo kiasi hiki? Lol kweli wana viumbe wazitoHalafu katakuwa kamelambwa sana na wana au kameolewa na alternative ndo maana kanadhani kila mwanaume ni adui yake..
Kaka vyeti feki havinihusu mi nimejiajiri.. nilitaka furahisha baraza tu.Halafu we Black chinese acha chai zako mara nimetumbuliwa vyeti feki mara mdogo wangu alikuwa analalia kuwa straight kama kusaidia kuyanunua upate nauli tukusaidie. Halafu umegongea sana hayo magodoro. Hilo la juu hapo katikati utadhani lilikuwa maalum kupigia katerelo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] mpe mpe huyo hahahaHalafu we Black chinese acha chai zako mara nimetumbuliwa vyeti feki mara mdogo wangu alikuwa analalia kuwa straight kama kusaidia kuyanunua upate nauli tukusaidie. Halafu umegongea sana hayo magodoro. Hilo la juu hapo katikati utadhani lilikuwa maalum kupigia katerelo
Ngoja niwasiliane na Mange Kimambi anitumie picha yako niianike..Etii nani kakwambia nna uadui na mwanaume? Yaani kusema ukweli hivyo vigodoro ndo kuna kutoa povu la umbea usengenyaji na uongo kiasi hiki? Lol kweli wana viumbe wazito
huyu dada nahisi ndoa yake haiko poaAf mdada kama huyu ambae ana roho kama hii lady nan sjui anaonekana ana sura mbaya sana..af katakua kanakisiran