INAUZWA Magodoro mawili 5×6 yanauzwa..

INAUZWA Magodoro mawili 5×6 yanauzwa..

Eti huyu naye ni mke wa mtu!!!
Juzi kaja na uzi kule MMU akimshtumu mama mkwe wake.

Wanaume tuwe makini kwa kweli kwenye kuoa, namhurumia mwanaume mwenzangu aliyemuoa huyu.
Kwenye ukweli lazima tuseme acheni kujiendekeza,kununua godoro la maana ni sh. Ngapi kwa mfano!? Hata kama atajitetea ni la mdogo wake lakini yeye alishindwa kumungezea pesa? Mimi hapana kwa kweli zama hizi kulalia godoro hizo No
 
Kwenye ukweli lazima tuseme acheni kujiendekeza,kununua godoro la maana ni sh. Ngapi kwa mfano!? Hata kama atajitetea ni la mdogo wake lakini yeye alishindwa kumungezea pesa? Mimi hapana kwa kweli zama hizi kulalia godoro hizo No
Sijasema magodoro ni ya mdogo wangu... ni yangu ila yalikuwa yanatumiwa na mdogo wangu.
Binafsi bado sijaona ubaya wa magodoro hayo ndo maana nimethubutu kuyanadi hadharani.
Nauza magodoro, kitanda, meza ya kioo na majaba ya maji ili nirudishe chumba kimoja nibaki na viwili kwa vile sasa naishi peke yangu hivyo sihitaji kuzungukwa na vitu vingi.. jiko la gesi na mtungi mkubwa nilishauza wiki mbili zilizopita.. hivyo dadangu lady Aj nisamehe kama nimekuchefua..ila naomba unitumie namba yako ya simu ili siku nyingine kabla sijaweka tangazo la biashara jf.. nikupigie tu-discuss kwanza ili nisikuchefue tena.
 
Kwenye ukweli lazima tuseme acheni kujiendekeza,kununua godoro la maana ni sh. Ngapi kwa mfano!? Hata kama atajitetea ni la mdogo wake lakini yeye alishindwa kumungezea pesa? Mimi hapana kwa kweli zama hizi kulalia godoro hizo No
Ndio utumie maneno ya kebehi na kejeli??!
Unaposema "matandiko ya mbwa" ukumbuke kuna watu wanalala chini na wangependa walau kuyapata hayo "matandiko ya mbwa".
Jaribu kuwa mstaarabu mwanamke.

Ficus.
 
Halafu we Black chinese acha chai zako mara nimetumbuliwa vyeti feki mara mdogo wangu alikuwa analalia kuwa straight kama kusaidia kuyanunua upate nauli tukusaidie. Halafu umegongea sana hayo magodoro. Hilo la juu hapo katikati utadhani lilikuwa maalum kupigia katerelo
 
Halafu katakuwa kamelambwa sana na wana au kameolewa na alternative ndo maana kanadhani kila mwanaume ni adui yake..
Etii nani kakwambia nna uadui na mwanaume? Yaani kusema ukweli hivyo vigodoro ndo kuna kutoa povu la umbea usengenyaji na uongo kiasi hiki? Lol kweli wana viumbe wazito
 
Halafu we Black chinese acha chai zako mara nimetumbuliwa vyeti feki mara mdogo wangu alikuwa analalia kuwa straight kama kusaidia kuyanunua upate nauli tukusaidie. Halafu umegongea sana hayo magodoro. Hilo la juu hapo katikati utadhani lilikuwa maalum kupigia katerelo
Kaka vyeti feki havinihusu mi nimejiajiri.. nilitaka furahisha baraza tu.
 
Halafu we Black chinese acha chai zako mara nimetumbuliwa vyeti feki mara mdogo wangu alikuwa analalia kuwa straight kama kusaidia kuyanunua upate nauli tukusaidie. Halafu umegongea sana hayo magodoro. Hilo la juu hapo katikati utadhani lilikuwa maalum kupigia katerelo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] mpe mpe huyo hahaha
 
Duuh.. ndo maana ana roho mbaya!!...
b822e8a664b77591f6ffe90f13fe86b8.jpg
 
Back
Top Bottom