Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ok mkuu nimekupata nutakucheki nipo serious.Yote ni 5*6.. kwa moja nipe angalau 80.. ukinunua yote utanipa 150k tu kaka..
Waswahili wanadharau kweli kweli...Ukishanunua sitokupangia matumizi.. unaweza hata kuwalazia mbwa.. ni uamuzi wako ndugu..
Binafsi nayalalia mwenyewe.
wenye hizo nguo wako wapi? wanafanya nini na nani? kwann wafanye hicho wanachokifanya wakiwa wametoa nguo?
sasa kwanini zimetupwa hivo? sio bure kuna watu watakua wanatenda dhambiWatu kwa kukagua umenifanya nirudi kuangalia tena[emoji2][emoji2]dahhh nguo zinawenyewe mkuu[emoji16]
Hata kama utaumia ukweli lazima uambiwe.Lugha yako sio mzuri sie wengine tunalalia mkeka nimeumia sana na kauli yako.
Nafugwa na shemeji yako ambaye Mimi Dada yako nimeolewa,ila si kwa kumtumika kwa godoro hizo Kha!?Si bure unafugwa kwa shemej yako.hata bei ya godoro hujui
Mimba ni mimba tu hata kama imetungiwa mtini, na aliyenipa Mimi alinipa kwa sababu ya juhudi na si kujilegeza na kudhani kua nimeumbwa kua masikini No[emoji15] wewe binti, umetungiwa bafuni na ukazaliwa chooni?
daaah, aliekupa ww ndiye kamnyima yule. aiseee.....!!!
NtakutafutaUkishanunua sitokupangia matumizi.. unaweza hata kuwalazia mbwa.. ni uamuzi wako ndugu..
Binafsi nayalalia mwenyewe.
Tangazo lao wiki ijayo.. vuta subira tumalize biashara ya godoro kwanza.Mkuu hiyo ndoo na kitenga cha nguo chafu huuzi?
Kaka chumba hakitumiki hicho.. mdogo wangu kamaliza chuo kakaa kusubiri ajira mpaka kakata tamaa.. kaamua kwenda kujaribu kilimo bush kwetu.. ndo maana nauza vitu nirudishe chumba kwa wenyewe... hata kitanda kinauzwa pia.Kaka kwa hicho chumba kilivyo, naona kama necta hawajakuonea, naliona kabati la ngu hapo chini
Shibe mwana malevya... Vidole havilingani kauli hizi zitakuponzaHivi haya nayo ni magodoroo au matandiko ya mbwa?
Dua La kuku halimpati mwewe atii, chapa kaziShibe mwana malevya... Vidole havilingani kauli hizi zitakuponza
Nimeshatema Mkuuwe dada weee, tema mate chini. wako watu hata hilo godoro unalosema ni la mbwa wanalitamani hawalipati. Mungu yupo ujue.
Eti huyu naye ni mke wa mtu!!!Hivi haya nayo ni magodoroo au matandiko ya mbwa?
Acha unafki wewe,zile godoro haziendani na thamani iliyotajwaEti huyu naye ni mke wa mtu!!!
Juzi kaja na uzi kule MMU akimshtumu mama mkwe wake.
Wanaume tuwe makini kwa kweli kwenye kuoa, namhurumia mwanaume mwenzangu aliyemuoa huyu.