INAUZWA Magodoro mawili 5×6 yanauzwa..

[emoji15] wewe binti, umetungiwa bafuni na ukazaliwa chooni?


daaah, aliekupa ww ndiye kamnyima yule. aiseee.....!!!
Mimba ni mimba tu hata kama imetungiwa mtini, na aliyenipa Mimi alinipa kwa sababu ya juhudi na si kujilegeza na kudhani kua nimeumbwa kua masikini No
 
Kaka kwa hicho chumba kilivyo, naona kama necta hawajakuonea, naliona kabati la ngu hapo chini
Kaka chumba hakitumiki hicho.. mdogo wangu kamaliza chuo kakaa kusubiri ajira mpaka kakata tamaa.. kaamua kwenda kujaribu kilimo bush kwetu.. ndo maana nauza vitu nirudishe chumba kwa wenyewe... hata kitanda kinauzwa pia.
 
Eti huyu naye ni mke wa mtu!!!
Juzi kaja na uzi kule MMU akimshtumu mama mkwe wake.

Wanaume tuwe makini kwa kweli kwenye kuoa, namhurumia mwanaume mwenzangu aliyemuoa huyu.
Acha unafki wewe,zile godoro haziendani na thamani iliyotajwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…