johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Zawadi ya magodoro si zawadi , wapeni vitu vya maanaPamekuwa na hekaheka ya Wazazi wa Wanafunzi wa Shule za Msingi kuitwa shuleni kupokea zawadi za magodoro madogo ya Watoto
Tunamshukuru Mungu wa mbinguni kwa hilo na tungependa tu kujua zawadi hizo zinatolewa na Mbunge wetu Askofu Dr Gwajima au zinatolewa na GSM wa Timu ya Wananchi
Jumaa Mubarak
CCM oyee π
Ni heri godoro lakini, kuliko kanga na tishetiZawadi ya magodoro si zawadi , wapeni vitu vya maana
Mwanao zawadi itamfikia Ili awe analala Unono πZawadi ya magodoro si zawadi , wapeni vitu vya maana
Njoo uchukue godoro, majibu utayapata hapa shuleni Kawe B,Pamekuwa na hekaheka ya Wazazi wa Wanafunzi wa Shule za Msingi kuitwa shuleni kupokea zawadi za magodoro madogo ya Watoto
Tunamshukuru Mungu wa mbinguni kwa hilo na tungependa tu kujua zawadi hizo zinatolewa na Mbunge wetu Askofu Dr Gwajima au zinatolewa na GSM wa Timu ya Wananchi
Jumaa Mubarak
CCM oyee π
Haitaji hilo anahitaji kitu bora zaidiMwanao zawadi itamfikia Ili awe analala Unono π
Mambo wayapendayo CCM kuadaaa wananchi wenye njaaa..au nasema uongo madam wanguπMida ya takrima ndio hii.....
KabisaNi heri godoro lakini, kuliko kanga na tisheti
Waniletee na mie vitengeMambo wayapendayo CCM kuadaaa wananchi wenye njaaa..au nasema uongo madam wanguπ
Wazazi wamefurahia sana ππKabisa
Watoto wengi wanalala kwenye mikeka
Huyo ansyegawa kufanya la maana ni nani sio jambo la msingi
Wamebubujikwa machozi ya furaha, furaha zaidi wataionesha kwa boksi la kupigia kuraWazazi wamefurahia sana ππ
Bila kusahau t-shirt na kofia uvae upendeze madamπWaniletee na mie vitenge
Lazima mzazi afurahiWazazi wamefurahia sana ππ
Hawiwezi kuwa Gwajima. Gwajima anadaiwa safari ya Marekani na wapiga kura wakePamekuwa na hekaheka ya Wazazi wa Wanafunzi wa Shule za Msingi kuitwa shuleni kupokea zawadi za magodoro madogo ya Watoto
Tunamshukuru Mungu wa mbinguni kwa hilo na tungependa tu kujua zawadi hizo zinatolewa na Mbunge wetu Askofu Dr Gwajima au zinatolewa na GSM wa Timu ya Wananchi
Jumaa Mubarak
CCM oyee π
Hapa Buhongwa, mtaa wa SHIBAYI juzi tumeuza sana kadi za CHADEMA za zamani, CCM walikuwa wanapita pita baadhi ya nyumba..bei ni elfu 4-6, siyo mbaya lakini tumebaki na zetu mpya zile za kidigitali, wao hawajui kuzitofautisha.Hatuna namna sasa tunakusanya kusanya hivyo hivyo angalau unapata kilo ya sukari maana ndiyo wakati wenyewe: Dar mnahongwa, Mwanza tunauza.Ni heri godoro lakini, kuliko kanga na tisheti
Wape wewe hivyo vitu vya maana.Zawadi ya magodoro si zawadi , wapeni vitu vya maana
Kanywe chai kwanza seems umeamka na njaa kali kijana ππππWape wewe hivyo vitu vya maana.
Wapumbavu mnaleta uswahili na ujuaji kwenye kila jambo.
Moron.