johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Pamekuwa na hekaheka ya Wazazi wa Wanafunzi wa Shule za Msingi kuitwa shuleni kupokea zawadi za magodoro madogo ya Watoto
Tunamshukuru Mungu wa mbinguni kwa hilo na tungependa tu kujua zawadi hizo zinatolewa na Mbunge wetu Askofu Dr Gwajima au zinatolewa na GSM wa Timu ya Wananchi
Jumaa Mubarak
CCM oyee 😄
Tunamshukuru Mungu wa mbinguni kwa hilo na tungependa tu kujua zawadi hizo zinatolewa na Mbunge wetu Askofu Dr Gwajima au zinatolewa na GSM wa Timu ya Wananchi
Jumaa Mubarak
CCM oyee 😄