Magoli 10 ya kufungwa katika mechi mbili,Simba inabaki vipi kama ilivyo?


Kufukuzwa sio suluhisho kwa sababu zifuatazo

1. Kila jambo linakuwa na lengo. Lengo la Club ya simba kwenye mashindano ya mwaka huu limeshatimia. Ilikuwa ni kufauru kuingia hatua ya makundi.
2. Timu iliyofukuza kocha (J.Soura) lengo lake lilikuwa ni zaidi ya kuingia hatua ya makundi. hivyo hata maandalizi yao yalikuwa ni tofauti na ya Simba.
3. Simba ni "Under dog" kwenye kundi hili. Hivyo hata wakimaliza nafasi ya tatu ni mafanikio makubwa zaidi.
 
Kocha kaenda kutumia style(kufunguka) ile ile tuliofungwa na As vita badala ya kulinda na kushambulia kwa kustukiza.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naweza kubaliana na consultant kwamba aina ya chakula kwa wachezaji wa Simba na ni tatizo,ukilinganisha na Alahly.Wenzetu wanatumia zaidi raw food (Ngano).Hiki chakula humpa mtu nguvu na uwezo wa juu Sana katika kufikiria.Hivyo maamuzi yao uwanjani yanakuwa sahihi sana na kwa haraka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ten percent mkuu ...mbaya sana
 
Kwa ligi mbovu hivi hata uwachukue hao unaowasema msaada wao utakuwa ni mdogo sana!! Kwani kwenye ligi ya ndani watakuwa hawana ushindani ki vile, hivyo wanaona kuwa wamefika, viwango lazima vitashuka tu ngoja wakutane na wanaume wenzaolazima watepete tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…