Timu iliyofungwa na Simba katika mechi ya kwanza ilishamtimua Kocha wake. Sasa inapata matokeo. Imetoa sare na wababe wote wa Simba.
- Kocha hajafukuzwa
- Benchi la Ufundi halijaguswa
- Wachezaji hawajachunguzwa au kuwajibishwa
- Viongozi hawajafukuzwa wala kuhojiwa
Simba kuweni serious. Hii ni Klabu Bingwa Barani Afrika. Mnatuwakilisha Tanzania. Mkiaibishwa tunaaibishwa sote. Mkifanikiwa na kupata sifa tunapata sifa sote.
Simba haiwezi kubaki kama ilivyo sasa!
Kufukuzwa sio suluhisho kwa sababu zifuatazo
1. Kila jambo linakuwa na lengo. Lengo la Club ya simba kwenye mashindano ya mwaka huu limeshatimia. Ilikuwa ni kufauru kuingia hatua ya makundi.
2. Timu iliyofukuza kocha (J.Soura) lengo lake lilikuwa ni zaidi ya kuingia hatua ya makundi. hivyo hata maandalizi yao yalikuwa ni tofauti na ya Simba.
3. Simba ni "Under dog" kwenye kundi hili. Hivyo hata wakimaliza nafasi ya tatu ni mafanikio makubwa zaidi.