Magoli ya Simba kwa Stand Utd ni mepesi sana, nini kipo nyuma ya pazia?

Magoli ya Simba kwa Stand Utd ni mepesi sana, nini kipo nyuma ya pazia?

Simba hivi sasa ni mwendo wa kununua mechi tu dah kwa hali hii soka la bongo tutasubiri sanaa.
 
Mtanange wa leo wa ligi kuu bara, uliopigwa katika dimba la Kambarage pale Shinyanga, Simba ameibuka na ushindi wa goli 2-0. Hongereni kwa hilo.

Ila kuna kitu kinanipa mashaka, magoli waliyofunga ni marahisi sana, yaani wamerahisishiwa namna ya kupata magoli hayo, kwa kifupi ni kama kupigana na mlevi aliyepo chakari.

Goli la kwanza ni la penati. Mpira umemgusa mchezaji wa Stand begani, refarii akakimbilia kutenga tuta, na John Bocco akafunga.

Goli la pili, offside ya wazi kabisaaaaa, John Bocco alibaki pekee yake na kipa halafu yule kipa sikuelewa ni kwa namna gani mpira uliompitia karibu ashindwe walau hata kuugusa. INASHANGAZA!

Inaonekana Simba kwa sasa wanapeleka miamala pande mbili, kwa wasimamizi wa mchezo bila kusahau kwa mabeki na magolikipa wa timu pinzani. Hebu kumbuka walau goli la faulo alilofungwa kipa wa Lipuli juzi, ni AIBU.

Mpira wetu bado una safari ndefu sana.

Nawasilisha...
Pole mtani wangu.[emoji16][emoji16][emoji16].
Mbona magoli yote yalikuwa ya kusisimua! ni kwakuwa ulikua na matarajio makubwa ya kufungwa Simba.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Karia-Simba
Kidau-Simba
.Mguto-Simba
Wambura-Simba
Ndimbo-Simba
Waziri--Simba!!!
 
Karia-Simba
Kidau-Simba
.Mguto-Simba
Wambura-Simba
Ndimbo-Simba
Waziri--Simba!!!
 
Mtanange wa leo wa ligi kuu bara, uliopigwa katika dimba la Kambarage pale Shinyanga, Simba ameibuka na ushindi wa goli 2-0. Hongereni kwa hilo.

Ila kuna kitu kinanipa mashaka, magoli waliyofunga ni marahisi sana, yaani wamerahisishiwa namna ya kupata magoli hayo, kwa kifupi ni kama kupigana na mlevi aliyepo chakari.

Goli la kwanza ni la penati. Mpira umemgusa mchezaji wa Stand begani, refarii akakimbilia kutenga tuta, na John Bocco akafunga.

Goli la pili, offside ya wazi kabisaaaaa, John Bocco alibaki pekee yake na kipa halafu yule kipa sikuelewa ni kwa namna gani mpira uliompitia karibu ashindwe walau hata kuugusa. INASHANGAZA!

Inaonekana Simba kwa sasa wanapeleka miamala pande mbili, kwa wasimamizi wa mchezo bila kusahau kwa mabeki na magolikipa wa timu pinzani. Hebu kumbuka walau goli la faulo alilofungwa kipa wa Lipuli juzi, ni AIBU.

Mpira wetu bado una safari ndefu sana.

Nawasilisha...
Nina wasiwasi mpira haujacheza wewe Yani unamlaumu kipa badala ya beki kwenye free header? Na unalaumu goli la kichwa Cha kudundisha ? Yani Kama unajua mpira uwezi kumlaumu kipa ila mpongeze mpigaji tuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Simba hivi sasa ni mwendo wa kununua mechi tu dah kwa hali hii soka la bongo tutasubiri sanaa.
Nyie jana Mlitoa shilingi ngapi mtani..


PUMBAFu wenzenu Wanapamban kutembeza bakuli nyie mnaenda kumuonga refa!..jana mlibebwa mwanzo mwisho mpaka na penat ya bure mkaishindwa vyura nyie

Young kilimanjaro
 
Ile mechi waliofungwa na stand nayo ichungwe . Haiwezekani wafungwe goli moja tu tena na mchaga wa kishimundu
Jana madogo wanabaniwa dhidi ya Rambirambi fc hukupost k2. kila gem ya simba ichunguzwe na zen vipi? hamkupewa penalt ya uwongo jana japo hamna mfungaji?
 
Back
Top Bottom