Magolikipa waliotamba zamani nchini

James Kisaka alikuwa ni kiboko.
Alikuwa anazuia mikwaju ya Celestine Sikinde Mbunga.
 
Makipa waliotamba miaka ya 1970-1980

Elias Michael-Yanga
Kitwana Manara-Cosmo/Yanga
Muhidin Fadhili-Yanga
Patrick Nyaga-Yanga/Pan Africa
Mbaraka Salum -Simba
Hassan Mlapakolo -Simba
Greyson Mwamaja-Simba
John Semainda-Simba
Omary Mahadhi-Simba
Hemedi Mussa-Reli Moro/Tanga
Athuman Mambosasa -Simba
Juma Pondamali-Yanga/Pan African
William-Mwadui
Hussein Komba -Pamba Mza
Hamisi Boko -Pamba Mwanza
Machapati-Balimi
 
Peter Manyika- Yanga
Hamis Makene - Coastal
Mackenzi Ramadhan - Simba
 
Pia msiahau markezi Ramadhan huyu alikuwa golkipa mahiri wa Simba sc
 
Steven Nemensi wa simba
Ofen Martin ''Chusa'' Ushirika enzi hizo
Peter Manyika wa Yanga
Steven Nemes alianzia Majimaji, akaja Yanga alikocheza muda wa kutosha.
 
Patrick Nyaga - Mseto - Yanga
Semainda - Simba
Mbaraka - Simba
Bernald Madale - Yanga
Dunia Adonis - Yanga
Idi Msakaa (Ally Yusuph) - Pan Africa
Hamis Korosheni - KMKM
Ally Bushiri - Malindi
Ridhaa Hamsin - Malindi
 
Umemsahau Diffu wa COSMOS. Elias Michael wa Yanga, Kitwana MANARA wa Yanga na timu ya taifa. Patrick Nyagah Pan Africa, Mkandawile Simba, Muhidini Yanga
 
Umemsahau Diffu wa COSMOS. Elias Michael wa Yanga, Kitwana MANARA wa Yanga na timu ya taifa. Patrick Nyagah Pan Africa, Mkandawile Simba, Muhidini Yanga
Naongeza Mbaraka Salum wa Sunderland miaka ya sitini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…