Freedom tommorrow
JF-Expert Member
- Jan 31, 2015
- 1,795
- 1,131
Naomba niwakumbushe kuanzia miaka ya 1970 mpaka miaka 1990. Tanzania iliwahi kuwa na makipa mahiri sana walipokuwa langoni. Yule ambaye hakuwai kuwaona hata mmoja kati ya hawa nitakaowataja hapa chini basi ni kweli walikosa uondo, ingawa wengi wao wameshatoweka duniani lakini bado tunawakumbuka. Je nani alikuwa kipa bora? Mimi naona ni marehemu athumani mambosasa
1. athumani mambosasa- alikuwa na kipaji kikubwa sana alipokaa langoni- alichezea simba
2. omari mahadhi bin jabir- alikuwa pia na kipaji kikubwa sana jezi yake ilikuwa namba 0- simba
3. hamisi kinye- alikuwa haomtoki mpira mkononi. Uliwahi kumtoka siku yanga ilipocheza na majimaji ya songea mwanzoni mwa miaka 1980, iliukwa ni mpira uliopigwa na selestin sikinde mbunga-alichezea yanga
4. juma pondamali- alikuwa na madaha na mbwembwe nyingi alipokua langoni- alichezea pan africa
5. joseph fungo- alikuwa mgumu sana kufungika- alichezea yanga
6. iddi pazi- alikuwa kipa mzuri sana miaka ile. Ndie aliyekuwa mpigaji mzuri wa penalt-alichezeasimba
7. madata lubigisa- alitamba sana kipindi chake baada ya kuwa na defence imara ya kina george masatu- alichezea pamba ya mwanza.
8. ali bushiri- akikaa golini alikuwa anapendeza, taifa stars walipata taabu sana kumfunga walikuwa wanakutana na zanzibar. Alichezea kmkm ya zanzibar
9. james msigala- alikuwa kipa mrefu sana, na alikuwa afungiki kwa mipira ya juu- alichezea plisner
10. Mohamed mwameja- alikuwa hafungiki kirahisi katika penalt, ndiye aliyeipa ubingwa simba kwenye michuano ya afrika na kati kule zanzibar-alichezea simba
11. Ramadhani korosheni- ni kipa mzuri alikuwa anadaka vizuri sana vichwa vya mbizi vya abeid mziba-alichezea small simba ya zanzibar.
12, Kichochi Lemba- Alivuma kwa umahiri wake alipokuwa langoni na wakati mwingine alikuwa anavaa kofia akiwa golini pia alijua sana kucheza mipira cross na mipira ya kona- Alichezewa RTC KAGERA
Ama kweli magolikipa tulikuwanao
1. athumani mambosasa- alikuwa na kipaji kikubwa sana alipokaa langoni- alichezea simba
2. omari mahadhi bin jabir- alikuwa pia na kipaji kikubwa sana jezi yake ilikuwa namba 0- simba
3. hamisi kinye- alikuwa haomtoki mpira mkononi. Uliwahi kumtoka siku yanga ilipocheza na majimaji ya songea mwanzoni mwa miaka 1980, iliukwa ni mpira uliopigwa na selestin sikinde mbunga-alichezea yanga
4. juma pondamali- alikuwa na madaha na mbwembwe nyingi alipokua langoni- alichezea pan africa
5. joseph fungo- alikuwa mgumu sana kufungika- alichezea yanga
6. iddi pazi- alikuwa kipa mzuri sana miaka ile. Ndie aliyekuwa mpigaji mzuri wa penalt-alichezeasimba
7. madata lubigisa- alitamba sana kipindi chake baada ya kuwa na defence imara ya kina george masatu- alichezea pamba ya mwanza.
8. ali bushiri- akikaa golini alikuwa anapendeza, taifa stars walipata taabu sana kumfunga walikuwa wanakutana na zanzibar. Alichezea kmkm ya zanzibar
9. james msigala- alikuwa kipa mrefu sana, na alikuwa afungiki kwa mipira ya juu- alichezea plisner
10. Mohamed mwameja- alikuwa hafungiki kirahisi katika penalt, ndiye aliyeipa ubingwa simba kwenye michuano ya afrika na kati kule zanzibar-alichezea simba
11. Ramadhani korosheni- ni kipa mzuri alikuwa anadaka vizuri sana vichwa vya mbizi vya abeid mziba-alichezea small simba ya zanzibar.
12, Kichochi Lemba- Alivuma kwa umahiri wake alipokuwa langoni na wakati mwingine alikuwa anavaa kofia akiwa golini pia alijua sana kucheza mipira cross na mipira ya kona- Alichezewa RTC KAGERA
Ama kweli magolikipa tulikuwanao