Magonjwa ya kuku na tiba zake

Magonjwa ya kuku na tiba zake

Hapa kuna mawili makosa ulifanya
1.haukuzingatia ratiba au muda mzuri wa kuchanja maana huwa ni kila baada ya miezi mitatu

2. Uliwachanja tayari washaathirika
Niliwachanja siku ya saba baada ya kuanguliwa. New castle na gumboro walipita salama lakini baada ya miezi miwili wakaipata hiyo ndui japo haikuwa kali maana iliwacheleweashea spidi ya ukuaji kakini hakukuwa na vifo. Nafikiri kwenye suala la muda ndo labda halikuwa sawa maana kipindi hicho ni kike kipindi cha mgao wa umeme sana nafikiri ile chanjo inawezekana kuna wakati ilikosa ubora wake kwa kutohifadhiwa kwenye joto stahiki.
 
Niliwachanja siku ya saba baada ya kuanguliwa. New castle na gumboro walipita salama lakini baada ya miezi miwili wakaipata hiyo ndui japo haikuwa kali maana iliwacheleweashea spidi ya ukuaji kakini hakukuwa na vifo. Nafikiri kwenye suala la muda ndo labda halikuwa sawa maana kipindi hicho ni kike kipindi cha mgao wa umeme sana nafikiri ile chanjo inawezekana kuna wakati ilikosa ubora wake kwa kutohifadhiwa kwenye joto stahiki.
Yeaaah na hapo napo wauza madawa wanatupiga changa la macho maana ile dawa mwish n 8°C ikizidi hapo ubora wake unaisha
 
Yeaaah na hapo napo wauza madawa wanatupiga changa la macho maana ile dawa mwish n 8°C ikizidi hapo ubora wake unaisha
Kabisaa maana unaweza kuta umewapiga chanjo zote na ugonjwa ukawapitia kumbe chanzo ni utunzaji mbaya wa madawa.
 
Me kuku wananitesa wanataga sehemu moja na wanakula mayai, yani unakuta kuku wawili wanakaa sehem moja ukitenganisha wanarudi . Shida nini?
 
Back
Top Bottom